Great Thinkers

JF's Great Thinkers' home | If you want to be enrolled, contact us

JF Prefixes:

Viongozi vijana nchini Tanzania wamegawanyika katika makundi mawili. (1) Real Leaders and (2) Leaders Wannabees. Aina hizo mbili za viongozi wanaweza kutofautsiha kama ifuatavyo: Viongozi wa...
1 Reactions
0 Replies
6K Views
The Beautiful Young African Woman And The Old White Lover-A Sickening Trend? Have you taken a quiet stroll through the priced restaurants in town on a good day or night? Especially the Accramall...
7 Reactions
21 Replies
16K Views
Kwa mzalendo yeyote yule hamu yake kubwa ni kuona Taifa lake likipiga hatua. Mabadiliko haya sio mabadiliko ya mali tu bali total transformation of human being. Binadamu akibadilika kiakili na...
7 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwanza ningependa kumshukuru mungu muumba kunipa nafasi hii ya kuandika waraka huu kwenu ndugu zangu. Namuomba anielekeze fikra nilizonazo zitoke kama ninavyokusudia kutoka kichwani kwangu na...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu - Heshima Mbele Naomba kuuliza ni zipi tofauti za madaraka na mamlaka kati ya Meya, Mkuu wa Wilaya na Mbunge. Na mipaka yao ni ipi. Pia kati yao ni nani anaongoza vitengo na taasisi...
0 Reactions
6 Replies
12K Views
Kama ni ya Kisiasa je siasa gani tunataka? Na je siasa hiyo ndiyo itakayoweza kubadili hali duni ya wengi na kuleta hayo yanayodaiwa kuwa ni maisha bora? Na hayo masha bora ni yapi? Ni ya kisasa...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Napendekeza nadharia tete (Hypotheses) zifuatazo, lengo kuu ikiwa ni kutupa sote nafasi ya kuzipima nadharia hizi tete, kwa kutumia uzoefu wetu na uelewa wetu juu ya utamaduni wa CCM, hasa kwa...
19 Reactions
84 Replies
17K Views
Somo la hisabati ni somo ambalo naweza kusema limekuwa ni daraja la mafanikio ya binaadamu kitaaluma (ambayo mpaka sasa duniani kote ndio kitu kinachochukuliwa kama mlango wa mafanikio ya kimaisha...
4 Reactions
99 Replies
22K Views
Lifuatalo ni zoezi la utabiri juu ya mshindi Urais uchaguzi Mkuu 2015 baina ya CCM na Chadema; Lakini kabla hatujaenda kwenye hatua nyingine yoyote, ningependa kuwasilisha takwimu za idadi ya...
19 Reactions
115 Replies
19K Views
Obama kafanikiwa kutetea kiti chake cha urais. Uchaguzi umeenda haraka na kwa uwazi na matokeo yametoka bila kigugumizi. Mshindani wake kakubali matokeo na mwisho wa siku maisha yanaendelea...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Na. Martin M. Malima Tangazo la Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe la kugombea Urais kama atapitishwa na Chama chake cha Chadema linaripotiwa na vyombo vya habari kuzua tafrani...
18 Reactions
115 Replies
14K Views
Wakuu inaweza kuwa ni rahisi sana kunyosheana vidole na kuumizana kutokana na hali inayoendelea sasa hapa Tanzania. Naona ni busara tukijadili THEORIES zinazoweza kutueleza ni kwanini hili...
18 Reactions
17 Replies
3K Views
Kwanza niseme RUSHWA kama neno lilivyo ni KOSA pale linapotawala jamii fulani Lakini kwa mantiki ya KUOMBA na KUPOKEA SIO kosa hata kama ulichoomba ni rushwa, kifo au Sumu! Bado wahusika...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Salaam wana JF, Ikiwa imebaki miaka mitatu kufika mwaka 2015, yaani ukomo wa muda Umoja wa Mataifa(UN) iliyotoa kwa nchi 193 wanachama(miaka 15 toka mwaka 2000), malengo kadha wa kadha(Malengo...
2 Reactions
0 Replies
7K Views
Heshima Mbele Ni muda sijaanzisha Mada hapa ila kuna jambao ambalo limekuwa likinitatiza kwa muda sasa ila naamini nyie mnaweza kuwa mnajua? Hivi kwanini Lowassa anautaka Urais? akichaguliwa...
17 Reactions
61 Replies
10K Views
Ningependa kujua ni sababu gani iliyomfanya Nyerere ajikite zaidi katika juhudi za ukombozi wa bara la Afrika kiasi cha kumfanya atumie muda mwingi, rasilimali za Taifa na maisha ya Watanzania...
5 Reactions
32 Replies
14K Views
DHANA YA 'DAMAGE CONTROL' Kwa mara ya mwisho tuligusia namna ambayo siku 14 zilipita bila uongozi wa Chadema kutoa ufafanuzi , maelezo au majibu sakata la AR. Siku 14 ni nyingi sana kuachia...
54 Reactions
328 Replies
45K Views
Jana nimepata fursa ya kusoma taarifa za kamati mbili zilizokuwa zinachunguza tukio la kuuawa kwa mwandishi wa habari wa Channel ten Daudi Mwangosi. Lakini kikubwa nilichokuwa nakisubiri ni ripoti...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Malawi yaiomba Tanzania kuahirisha mkutano wa mpaka Send to a friend Sunday, 09 September 2012 10:02 Madikizela at Mbamba bay SERIKALI ya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ndugu wana Jamii ya wazalendo, Ni dhahiri kabisa sera ya majimbo ya chadema yenye lengo la kurejesha mamlaka kwa wananchi, na kuondoa mamlaka ya wateule wachache kama wakuu wa mikoa na wilaya...
10 Reactions
10 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…