Great Thinkers

JF's Great Thinkers' home | If you want to be enrolled, contact us

JF Prefixes:

Bado sijajua kwa usahihi mpaka wa uchanga wa umri wa Taifa lolote ni miaka mingapi, ila nikiitazama Tanzania bado naona miaka 50 bado taifa hili ni changa. Katika uchanga huu ni lazima tukubali...
7 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari wana JF, Hali ya nchini kwetu Tanzania hadi hapa tulipofika kwa sasa haijalishi kuwa tunaenda wapi mana tayari tumefika pabaya… Kwa kundi ama hali yoyote ile ifikapo pabaya dawa...
50 Reactions
126 Replies
18K Views
Salaam, Friedrich Hegel was a 19th c German philosopher who proposed among other things that in any society there is an order (economic, social and political) that will grow to the state of its...
7 Reactions
14 Replies
2K Views
Mh Zitto naomba utufafanulie sisi wana JF, ushirikiano wako na serikali ya CCM. Tunajua siasa si uadui lakini ndani ya CCM kuna ushahidi wa kutosha kuwa siasa ni uadui. Mfano, Kuna uthibitisho wa...
10 Reactions
41 Replies
9K Views
Mwaka 2015 sio mbali, na kwa mara nyingine tena watanzania tutapata fursa ya kutumia haki yetu ya kikatiba kumchagua mtu mmoja ambae tunaamini kwamba ndiye atakaefaa kutuongoza kama taifa katika...
15 Reactions
81 Replies
17K Views
Mkapa ajuta • Ahuzunishwa wageni kuhodhi uchumi na Mwandishi Wetu | Tanzania Daima~Sauti ya Watu RAIS mstaafu, Benjamin Mkapa, amesema anajutia kitendo chake cha kuliingiza taifa...
1 Reactions
72 Replies
13K Views
Hakuna kitu sikipendi kama Unafiki na sintaweza kuvumilia hata ikiwa kipenzi changu ndiye mkisiwa..Mh.Zitto naomba sana maelezo yako... habari ndio hii:- From foes to partners: Tales of Zitto...
23 Reactions
272 Replies
38K Views
Mambo mengi yamesemwa kuhusu tatizo la umeme nchini Tanzania, mimi nitaanza kwa kugusia mambo machache yanayoonyesha matatizo ya umeme yalivyokuwa makubwa ndani ya bara letu la Afrika...
6 Reactions
88 Replies
13K Views
Wadau. NIMEKAA nikitafakari utendaji wa idara yetu ya Usalama wa Taifa. Hii ni taasisi muhimu sana kwa usalama wa nchi na wananchi wake, nchi zote idara hii ina heshima kubwa ndani ya jamii. Kwa...
12 Reactions
39 Replies
6K Views
Hii ni mchango katika kupambana na lindi la umaskini kwa mtu mmoja mmoja na hatimaye nia iweze kuingia miongoni mwetu ili kubadilisha mitazamo yetu(Taifa kwa ujumla)
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni jambo lisilohitaji mjadala kwamba serikali ya awamu ya nne, hasa katika kipindi cha minne imefeli katika maeneo yote yanayohusiana usimamizi wa rasilimali za nchi kwa manufaa ya walio wengi na...
7 Reactions
18 Replies
3K Views
Niliwahi kusema hapa kwamba wanaomshauri raisi na kumuandikia Hotuba walikuwa wanaboa, kwakuwa hawakuwa hata wana-capture issues muhimu na kumfanya Raisi aongelee vuvumi na mambo ambayo mengine...
3 Reactions
6 Replies
3K Views
Rejea thread ya Roulette ya tarehe 19 mwezi huu (Link) kua leo kutakua na mjadala kati ya Matola na zomba kuhusu tathmini ya utawala wa Rais Kikwete tokea aingie madarakani mwaka 2005 hadi sasa...
32 Reactions
103 Replies
15K Views
Madudu mengi na ya hatari yanayotokea katika siasa za nchi yetu yanaashiria kuwa idara yetu ya Usalama wa Taifa imefika mwisho kiutendaji. Ebu ona:- -Rais akamteua Chenge baada ya kuvunjwa kwa...
8 Reactions
215 Replies
42K Views
Mjomba wangu daktari, salamu sana, Ama baada ya salamu, Kwanza nitoe shukrani kubwa kwa kunirudishia majibu ya kina nilipokuuliza swali kwa nini mama na mpenzi wake baba waliamua kuniita...
31 Reactions
33 Replies
8K Views
Science is a systematic enterprise that builds and organizes knowledge in the form of testable explanations and predictions about the universe. Aristotle: Science refers to the body of reliable...
7 Reactions
2 Replies
3K Views
Nimekuwa nikifuatilia ukuaji wa uchumi wa daftari wa nchi zetu za Africa Mashariki hasa (Tanzania, Kenya na Uganda). Leo naomba wajuzi watusaidie kujua zaidi.. Uchumi wa daftari wa Tanzania...
2 Reactions
17 Replies
11K Views
Hamna afadhali, tunabaguliwa na watu wote. Wahindi, Wachina, Warusi, Wayahudi, Walatini nakila jamii zinatuona kama takataka. Hivi kibaya ni kipi haswa ambacho tumekifanya? Thousands of Israelis...
2 Reactions
31 Replies
5K Views
Wana JF, Imefika wakati sasa kuanza kuhoji nani haswa ni Mzanzibari Asilia kihistoria maana tunakoenda sasa si huko na katika kujua haya inatupasa kupitia historia yetu hata kabla Waajemi na...
5 Reactions
15 Replies
7K Views
Heshima Mkuu! Professor Ali Mazrui katika moja ya kitabu chake "The African Condition" aliandika Mwl. Nyerere is an "Intellectual Cannibal". Baada ya kusoma context ya matumizi ya maandishi...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…