Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Collapse of euro 'would leave Britain BETTER off but if it stays we will see 10 years of austerity' Bailout contribution could rise to £40bn Get tough on Europe IDS tells Cameron as Tories hold...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wale wasanii wa bongo flava na nyimbo yao ya Miaka 50 ya Uhuru wote wanafiki. Taifa linakabiliwa majanga makubwa wao wanaimba pumba tu pale,na vibendela vyao. Pu....fu..
0 Reactions
3 Replies
2K Views
chadema waliomba(jana) lema apewe mdhamana lakini logistics zimekataa mpaka baada ya siku 14.chadema waliomba kibali cha mkutano kwa siku ya leo.lakini cdm wamekiuka hilo na kuamua kukesha eneo la...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Tangu kuondolewa au kuangushwa kwa utawala wa Gadaf,shughul za uvuvi haram zimeonekana kushka kasi,ila inasemekana kuwa boti zinazofanya shughuli hizo zinatoka nchi za jumuiya ya Umoja wa nchi za...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
EWURA mmetuhakikishia kuwa mnayo mafuta ya kutosha kumbe ni siasa tu, leo mji wa IrInga hakuna petrol kabisa tunataka majibu ya uhakika ni nini kimetokea hadi visima vyote havina Petrol wakati...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kale kamchezo kakuhaki akaunti za watu kamemdondokea kwa mara nyingine kijana sharobaro wa magogoni ndugu Rweyemamu Wenye urafiki nae kupitia twitter angalieni siri za chumbani magogoni zinavyo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamaa mmoja mkazi wa jiji hili la mwanza anaesadikika na mgambo wa jiji nusura juzi wamtoe roho wakazi wa mtaa wa makoroboi baada ya mgambo huyo kuanza kukusanya bidhaa za wamachinga zilizokua...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Taarifa za awali zinaonyesha mamillion ya fedha za walipa kodi yameliwa katika ujenzi wa nyumba ya mkuu huyo. Imethibitika katika budget ya serikali hiyo fedha haikuwepo ya kumjengea mkulu huyo...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
VODACOM imetoa namba na ya bure kwa ajili ya kuupigia kura Mlima Kilimanjaro kuwa moja kati ya maajabu saba ya dunia, jinsi ya kupiga kura andika neno KILI au KILIMANJARO, kwenda namba 15771...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hakuna kitu kinachokera kama kuona askari polisi wanaosimamia utekelezaji wa sheria wao wenywe ndio wa kwanza kuzivunja. Mara kadhaa nimekuwa nikiona askari polisi wakiendesha pikipiki bila helmet...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Resonate Consulting Group Limited (RCG) has organized a 3-day Intensive CISA Exam Boot Camp geared toward developing knowledge and practical skills to enable CISA candidates to pass CISA exam to...
0 Reactions
0 Replies
838 Views
TBC kuwa live kuonyesha jinsi kodi zetu zinavyoliwa ktk hafla ya mtoto wa malkia ni sawa? Tena juzi tu waziri mkuu wa alikotoka mtoto huyu walisema watasitisha misaada kama hatutaruhusu ushoga na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tbc muwe mnaacha ubaguzi wa kutuletea habari kibaguzi, kwanini hbr za wapigania uhuru wapya huwa hamziweki ktk hbr zenu, cpendi tabia yenu mbovu, hiyo channel ni ya taifa cyo ya chama chenu hicho...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana jamii forum habari za usubuhi, Naomba kuuliza hivi kuna mgomo wa mafuta ya gari... so far nimepita viuo takribani saba na vyote wanasema hakuna mafuta... to be precise; bamaga ya tbc...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa wale hawajafika uwanjani tuning radio sanraiz freq 94.8 baada ya mda kidogo tundu ataunguruma kutueleza yote yaliyo tokea nmc na mahakamani na juu ya wafungwa kugoma kushuka sheria inasemaje...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
habari wakuu, nafanya kazi chuo cha ualimu. hapa nna dip. ya education na digrii ya accounting and finance.......... nafanya kaxi za kufndisha tu..... muhasibu wa hapa hana elimu kabsaaaaaa...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
Unakuta mtu ana digrii ya uandishi lakini anaishia kuwa mtangazaji wa kipindi cha watoto redioni. Hii ni tofauti na fani zetu za kiume ambapo hata mtu mwenye diploma ya medicine anakabidhiwa kituo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Viongozi wa Kiislamu Tanzania walaani ushoga; wasema bora kukosa misaada
0 Reactions
16 Replies
2K Views
jaman, kwani kunamgomo wamafuta? shel ya nne nimekosa. nimepak nipo kwa daladala sasa. tafadhali tujulishane yalipo
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Military action against Iran would be a "very serious mistake fraught with unpredictable consequences", Russia's foreign minister has warned. ? Sergei Lavrov said diplomacy, not missile...
0 Reactions
2 Replies
968 Views
Back
Top Bottom