Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Tangu achukue nchi kwa mbwembwe na kura nyingi mwaka 2005 ..JK amelisaidia nini taifa letu hili lenye rasilimali nyingi ..na akiondoka tukamkumbuka kwa kitu gani kizuri?..achana na safari zake...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
  • Closed
At least umeamua kuwa muwazi na kupeperusha bendera ya Membe mapema, it is vivid but my advice to ya all, it is too early kufanya hivyo. You are just showing too much kupita hata rais wako...
1 Reactions
152 Replies
11K Views
Jamani chekini tarehe,mwezi, na mwaka kwa leo 1-11-11 utaisubiri kutokea tena hii kitu
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Mheshimiwa Lema , profile yako kwenye facebook haiko active? inamiss baadhi ya inaformation unahitaji kuwa supported , michango yetu kwako hata ya mawazo ni muhimu ili kukujenga zaidi kisiasa. ni...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Nadhani itasaidia. Kwa sasa hali ya uchumi hasa mdogo (micro-level) ambao ndio hasa unawagusa wananchi wa chini moja kwa moja imekuwa mbaya sana, huku mfumuko wa bei nao ukipaa kwa kasi ya ajabu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Basi leo ndani ya A - town, nimetoka katika hotel moja kupata lunch nikiwa nimeshika chupa ya maji mkononi. Baada ya kutembea kama hatua 100, nikakuta mama mmoja aneonekana kuwa kichaa wa siku...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mwanangu Dr Kigwangalla, Pole kwa yote yaliyokupata huko Nzega na pongezi zangu za kutoka moyoni kwa kuyasema haya uliyoyasema baada ya kuona jinsi wanasiasa wa kubwa wa chama tawala cha CCM pale...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi hawa vilaza si walitangaza mgao kwisha kwa miezi mitatu...sasa mbona use..nge ni uleule wa kuzima umeme tena bila taarifa?? Hakyanani ningeweza kujiunga na al shabab huyu ngeleja ningesha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Arusha "was expecting" to host Ghadafi's case kama jamaa asingeuliwa. Bahati mbaya waasi wamemtoa roho hivyo kulikosesha jiji hili mapato ambayo yangetokana na kesi hii...... For more infos...
1 Reactions
1 Replies
955 Views
Nipo k'nyama huku umeme umezima mida hii ya saa 6 na dk 16....je hapo ulipo wewe umezima?
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Brain drain: No solution in sight to retain skilled staff Monday, 31 October 2011 19:22 By Esther Kibakaya The Citizen Reporter THE CITIZEN Henry Kimaro graduated with a diploma...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana jf, huku mbezi usiku huu tanesco wamekata umeme, sasa nahisi tumefika pabaya, hapa ni joto hapalaliki. What the hell is this!
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wanajanvi naomba msaada mwenyekujua kinachoendelea maana jamaa wanapigiwa simu hawapokei.Nina namba yao moja ya Voda tu ila customer care hawapokei au wamefirisika?'!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza wale wote waliojiunga jf siku kama ya leo ikiwamo mimi mwenyewe.Naamini kuwa wengi wao wametoa michango mizuri sana ambayo kwa namna moja ama nyingine...
0 Reactions
0 Replies
860 Views
Hello guys, Hivi karibuni tumewasikia baadhi ya viongozi wakilipigia kelele suala la ukosefu wa ajira kwa vijana wa Tz wakiwemo Lowasa,sita na Membe kwa nyakati tofauti,Najiuliza maswali mengi juu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu siku hiyo nilivyowaona nilishangaa sana ikabidi nichukue hii video tuishuhudie wanajamvi kwani nadhani wengi wetu hatujawahion konokono waki Do
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu hii picha imenifundisha kweli Tanzania tuu kwenye hali ngumu je wewe umejifunza nini?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Inasemekana mtoto aliyeifanya population ya watu duniani kufikia bilioni 7 alizaliwa dakika mbili kabla ya kutimia usiku wa manane hapo jana katika hospitali moja mjini manila nchini...
0 Reactions
1 Replies
951 Views
eti dunia idadi ya watu imeongezeka na kufikia billion7.wanasema eti mtoto wa billion saba amezaliwa Tanzania ambapo bado hajapewa jina ila kazaliwa na mwanamama Kurwa Juma. swali rangu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
CHILIGATI, MNAUYE, MWIGULU wote wa palepale kwetu singida, je sisiemu nao wana ukanda ktk uongozi?
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom