Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Ingekuwa katika kuzaa watoto kwenye familia,/ mke na mume wangeweka zamu ya kubeba mimba familia ingekuwa na watoto wangapi kama ameanza mke!?
0 Reactions
0 Replies
694 Views
Mtoto wa ajabu amezaliwa akiwa na viungo vinne vya uzazi vya kiume, sehemu za kutolea haja kubwa mbili moja ikiwa mgongoni pamoja na mguu mkubwa wenye vidole sita ambao nao umeota kati kati ya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Serikali imeingilia kati bei ya saruji nchini kwa kushusha ushuru wake inayoagizwa nje kutoka asilimia 35 mpaka 25..mbali na saruji, pia serikali itapunguza ushuru wa vifaa vingine vya ujenzi na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
?Mkuu wa Tume ya Uchaguzi ya Liberia ambaye amekuwa akituhumiwa kumpendelea Rais Ellen Johnson Sirleaf amejiuzulu, siku chache kabla ya kufanyika duru ya pili ya uchaguzi wa rais nchini humo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wapendwa nawasalaam. Nikiwa mwanajamii, ningependa kujua nani atakayelipwa mabilioni ya Dowans Alafu mjamaa anasema hawajui, na wala hana haja ya kuwajua, hawajawahi kumfuata!! sasa mimi...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
?Mkuu wa Tume ya Uchaguzi ya Liberia ambaye amekuwa akituhumiwa kumpendelea Rais Ellen Johnson Sirleaf amejiuzulu, siku chache kabla ya kufanyika duru ya pili ya uchaguzi wa rais nchini humo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, Mie nimekuwa najiuliza kwa miaka mingi iwapo Taifa letu lina identity katika mambo yafyatayo 1.Mavazi - 2. Ngoma- 3. chakula - 4. michezo na kadhalika.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
katika mtaa wa indira gadhi hapa jijini dar ukingo wa kuzuia vitu vinavyoanguka toka ghorofani umeanguka na kuharibu gari nne ambazo ni aina ya tax kama dakika kumi zimepita. Chanzo cha uzio huo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Don’t count on us to help you out of your single-currency hole, China tells Europe We cannot ‘provide a cure for the European malaise’ ina will ride to the rescue of the single currency were...
0 Reactions
0 Replies
902 Views
And if you want to leave a mark in this world, do what this dude is doing, please follow the link Orijino komedi na mtu mzito. - YouTube
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni wiki moja sasa imepita tangu chuo kifunguliwe lakini bado wanafunzi hawajapata pesa yao ya mkopo has wananafunzi wa mwaka wa 2 na wa 3. Wanafunzi wa kitivo cha elimu walimbana rais wao aitwaye...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Jana nilikwenda kumwona babu yangu hospital ya mwananyala, nilishtushwa kwa hali niliyoikuta. 1. kitanda kimoja watu wawili, harufu nzito kupita kiasi. nilipotaka kujua tatizo lake walinambia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Huyu mama alikuwa mmiliki wa majumba kadhaa maeneo ya masaki, mikocheni na mbezi jijini daressalam hata uingereza alikuwa na majumba, aliendesha biashara zake kwa mafanikio makubwa. Alianza na...
1 Reactions
26 Replies
5K Views
Nimekutana na muumini mwenzangu ambaye anafanya kazi Botswana na kunieleza jinsi immigration yao isivyolala usingizi kama ya kwetu. Kule kupata kibali cha kufanya kazi ni kitu kigumu na kinafuata...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Rais wa Sudan, Omar Al Bashir amesema nchi yake ilitoa msaada wa wapinzani wa Libya waliomuondoa madarakani Kanali Muammar Gaddafi. Katika hotuba kupitia televisheni, Bashir alisema hatua hiyo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Suala la kukimbiza mwenge wa uhuru Tanzania nzima ni suala ambalo linaigharimu Nchi mamilioni ya fedha wakati huo huo mwenge huo huwa unakua unafungua na kuweka mawe ya msingi kwenye miradi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kifo cha Gaddafi na maajabu ya Watanzania Prudence Karugendo MAPINDUZI ya umma ya Libya yaliyoung’oa utawala wa miaka 42 wa Kanali Muammar Gaddafi na hatimaye kusababisha kifo cha...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Wakuu wetu wengi wamekuwa wakikabiliwa na maradhi mbalimbali na kupelekwa India kwa matibabu zaidi baada ya hospitali zetu za hapa nchini kushindwa.Wapo wengi toka siku za nyuma na mpaka hivi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Manzese Tiptop nieneo katika jiji la dar es Salam linalo kua kwa kasi ya ajabu chaajabu hapa ni Serekali kutokuweka mipango madhubuti ya ukuaji wa hili eneo haswa katika eneo la miundo mbinu ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
This is an extremely good article. Everyone should read it… AFTER YEARS OF TELLING PEOPLE CHEMOTHERAPY IS THE ONLY WAY TO TRY...
0 Reactions
0 Replies
822 Views
Back
Top Bottom