Wana JF
Kuna tetesi kuwa kuanzia kesho diesel na petrol vitakosekana, nimejaribu kufuatilia miji ya dar na arusha ni kweli jioni hii kuna foleni kwenye vituo vya mafuta, hili litapelekea mitambo...
Na Stella Aron
JESHI la Polisi limewatia nguvuni askari wake wanane kwa kuhusika na wizi wa stika za wiki ya nenda kwa usalama zilizoibiwa hivi
karibuni katika Ofisi ya Mkuu wa Kikosi cha...
IMEKUWA desturi ya polisi wa TANZANIA kuua wananchi migodini kwa risasi ilimradi tu kulinda maslahi ya wakoloni waliobadilika na kuitwa wawekezaji! kitendo cha polisi kanda maalum hussani mkoani...
Serikali kupitia naibu waziri wa nishati na madin imesema kuwa kuanzia sasa mgao wa umeme umeshaisha hadi mwezi january,amesema kuwa hilo limesababishwa na kujaa kwa baadh ya mabwawa na pia kuna...
BE WARNED! The Video You Are About To Watch Is Very Disturbing. Depressing Indeed.
This sad story is of a Chinese toddler, Yue Yue, who was run over by two cars on Wednesday this week, and was...
Hivi viongozi wetu huwa hawasafiri na kuona miji mingine mikubwa
inavyo endeshwa????????
hivi hizi bodaboda zinavyo ongezeka na bajaji na kuzidisha kero jijini hapa
hakuna anaetazama na kuliona...
Huyu msemaji wa ikulu kwenye akaunti yake sijui ni yeye au kuna watu wanamchezea wanapost vitu vya kushangaza mfano kukiri kuwa kweli rais alihongwa suti,wenye account twitter search...
Juzi na jana, vyombo vya habari vimeripoti juu ya harambee iliyofanyika huko Yombo Dovya kwa ajili ya ujenzi wa taasisi moja ya kidini (dhehebu la Anglikana). Mgeni rasmi katika hafla hiyo alikuwa...
Basi la delux limepinduka na kuteketea KWA moto muda huu abiria wote kasoro abiria nane tu, wamepoteza maisha.lilikuwa na abiria 58,NA LILIKUWA LINAENDA DODOMA,limepata ajali misugusugu maeneo ya...
Pia imetumika kwenye video ya Baby (Cash Money) -Fire Flame http://www.youtube.com/watch?v=DALvNCbgcKg
<a href="http://www.youtube.com/watch?v=DALvNCbgcKg">
Hatua ya Nape kutoa pendekezo la kukutana viongozi wa CCM na Chadema kujadili kuhusu kupinga malipo ya Dowans si kitu cha kukichukulia kiulaini, nyuma ya pazia kuna kitu kinachozungukwa na hivyo...
kundi la majambazi waliokuwa na buduki mbili aina ya SMG leo saa 12 alfajiri wamewapiga risasi na kuwaua askari wawili wa JWTZ katika tukio la utekaji nyara wa magari wilayani biharamulo mkoni...
Nimekuwa nikifatilia mitazamo ya wanasiasa ndani ya AFRIKA ambao wengi wao wamelaani kuuawawa kwa GADDAFI lakini bwana SLAA kwake ni furaha kama waasi wa LIBYA ndipo nikagundua SLAA ni kivuli cha...
Nimetokea Tanga kuwlekea Dat njiani nimekuta ajali mbili zote ni mabasi ya abirii
Dar Express kabla ya kufika Kabuku limeanguka barabarani limelalia upande mmoja bahati mbaya ckuweza kupata...
Inasemekana meli hiyo imekwama katika eneo ilipozama MV Spice Islander kwa zaidi ya masaa nane na kuzua taharuki kubwa kwa abiria wanosafiri na Chombo hicho.
source: Michuzi BLOG
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.