Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wanajamii niko Pretoria, South Africa kikazi katika moja ya mambo yaliyonivutia hapa ni habari za kuwepo kwa chama cha wanafunzi wa elimu ya juu kilichotimiza umri wa miaka 20 jana october 26...
0 Reactions
0 Replies
988 Views
The Tanzania shilling hit a new, all-time low at 1,765 against the US dollar on Tuesday despite last week’s interventions by the central bank meant to stop further depreciation of the currency...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Najaribu kufikiria kama kikundi cha Al-Shaabab kilifadhiliwa na yule marehemu gwiji wa ugaidi aliyezikwa baharini ? Sababu kubwa hili kundi la Al-Shaabab linazidi kushamili, kwenye ukanda wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Magic FM walitangaza tetesi kuwa kuna mtu alikuwepo ghorofa ya 8 katika hotel ya Hyatt Regency (ex-Kilimanjaro) na alikuwa anataka kujirusha iwapo hataonana na kuongea na IGP Mwema in person...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Gazeti hili liliokuwa linasifika sana kwa kutoa "sure" za mambo yanayoendelea kisiasa nchini limeshakuwa a town rag. Wakuu msijisumbue kununua uozo wa gazeti hili ambalo tayari habari zake...
0 Reactions
47 Replies
4K Views
Leo tarehe 26/10/2011 imekuwa ni siku ya mshangao kwangu. Mishale ya sa nne asubuhi nilinunua muda wa maongezi wa shilingi kupitia tigo pesa lakini kitu cha ajabu nilijibiwa kwamba nyongeza ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
-Watanzania tunayo kazi moja, kumpiga. Julius Nyerere -war does not decide who is right but who is left. Bernard Shaw.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Closed
Baada ya kama saa moja hivi (sawa na saa tisa EST), saa nane CST karibu sawa na saa nne EAT mwanasheria na mwanaharakati wa mazingira Bw. Tundu Lissu atakuwa nami moja kwa moja toka jijini Dar...
0 Reactions
83 Replies
11K Views
Ticts kuna mgomo toka saa moja asubuhi leo ,madai ya hisa na ongezeko la mishaara ,baadhi ya mabosi wazungu wanyanyasaji na wanajiripa mabilioni ya pesa ,
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari nilizozipata kupitia mtandao wa nchi kavu kuhusiana na Gazeti la Mwanahalisi ambalo huwa linatoka kila wiki siku ya jumatano ni kua wiki hii halijatoka huku mikoani hakuna hata matumaini...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Maiti ikinasuliwa kutoka kwenye moja ya magari yaliyopata ajali katikaeneo la pipeline mkoani Mbeya, ajali hiyo imetokea hivi punde. Tutawaletea taarifa juu ya chanzo na mengineyo kadiri...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
NHC inatangaza uuzaji wa nyumba zake mpya[sina idadi]zilizoko Arusha mtaa wa Wachagga. Ukubwa ni sqm165.Master bedroom moja,vyumba vitatu vya kulala,dinning,spacious sitting room,na ina balcony...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wana jf katika pitapita zangu mida hii nimelifuma gari fuso lenye kibin nyeupe na box body ya blue namba T 264 ACA mkoani wa arusha maeneo ya lemara mabwawan kwan walikuwa wamelificha...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Nyie juzi tu hapa mmetutangazia mgao umeisha mpaka january leo moshi mjin hapa siku ya pili hamna umeme na hakuna taharifa zozote za maana. Mnataka sisi tuwaeleweje au tuwatukanie wazazi ndo mjue...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hawa wabunge hawana mchango wowote kwa chama sijui walifikaje hapo walipo Na wewe endeleza LIST........
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa habari za uhakika nikwamba walio enda nje kwa matibabu hawatarudi kwa hali inavyoonyesha na lengo la wa2 flani walio wawekea sumu nikuwa wawili kati ya walioenda walirudi salama coz waliiwahi...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Heshima mbele.Nimesoma hii katika TL ya Twitter katika akaunti ya Salva Rweyemamu,nimeona tujuzane nini kinajiri hapa. Twitter
0 Reactions
60 Replies
7K Views
WATANZANIA wametakiwa kujenga utamaduni wa kujitangaza hadharani mara wanapopimwa na kubainika kuwa na maambukizi ya virusi vya Ukimwi. Mwito huo umetolewa na kiongozi wa Mbio za Mwenge wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Na Woinde Shizza,Moshi BAADHI ya Vijana wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) wa Mjini Igunga waliohusika na kitendo cha kumwagia tindikali kijana mmoja ambaye ni mfuasi wa chama cha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi. juzi mjini dodoma katika jitongoji cha njendengwa kuna vurugu zilijitokeza wakati wananchi zaidi ya 2000 (nyumba)500 walipobomolewa nyumba zao na tinga tinga kumpisha...
4 Reactions
60 Replies
6K Views
Back
Top Bottom