Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Ndugu wadaui,miezi kama miwili iliyopita tulisikia juu ya tamasha la mtandao wa jinsia tanzania(tgnp) lilivyowaalika mashoga na kuwa wazi kwa kuwataka watoe hisia zao juu ya ushoga na usagaji...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
....Jumamosi kuna maandamano yaliyoandaliwa na mashirika mbalimbali yasiyo ya kiserikali yakiongozwa na kituo cha sheria na haki za binadamu kupinga malipo kwa DOWANS nakuwa na shaka kama haya...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wabunge wa Kamati ya Huduma za Jamii wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumjulia hali Zitto Kabwe. Jamani wabunge wetu wanapenda sana promo haswa kwenye maswala ya shida, angalia hawa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Marekani wapo kwenye mpango mkakat wa kuishambulia Somalia kwa lengo la kuwatafuta na kuwaangamiza Al-Shabab wenye makaz yao Somalia! Marekani wameshaanza kuzifanyia marekebisho ndege zake ambazo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Member wanahitajika kwa mradi unaotarajiwa kuanza haraka mkoani morogoro. Fika ofisini kwetu Tabata Aroma kwa maelezo zaidi au piga simu # 0715922392, 0767922392, 0714025656, 0767025656, au email...
0 Reactions
0 Replies
725 Views
Team to probe death toll, cause of accident By Sylivester Domasa 27th October 2011 Chief Traffic Commander, Mohammed Mpinga The government has formed a committee to...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu zangu, Kuna tuliomsoma mwanafasihi Shaaban Robert. Kuna mahali kwenye kitabu chake ‘ Nchi Ya Kusadikika’ Shabaan Robert anamwelezea mchwa anayekaribia kufa. Kwamba huota mbawa...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Tunashukuru hali imepungua ya ukali wa mgao,sio haba umeme tunao siku nzima sasa.Ila nashangaa sisikii majadiliano tena kuhusu hali ya umeme wa nchi.Nadhani sio sahihi,tutasababisha hata wakirudi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana jf Inakuaje huduma za simu tulipe kodi mara mbili. 1. Ninaponunua vocha nalipa kodi. 2. Wakati napiga simu, ktk huduma zao pia wameweka na VAT. Huu si wizi wa wazi wazi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanabodi, Inasemekana Waswiss ndio mabingwa wa hospitality katika huduma za mahoteli, ila kusema la ukweli, ubingwa huo wa hospitality unakwenda sambamba na kuwakamua kisawasawa wateja wao...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani wachumi twambieni wapi tunaelekea.? Wapi wanasiasa wanaipeleka nchi? Wapinzani nanyi mnakubali hali hii?????????? Hebu tupinge hali hii. Yaani jana exchange rate was about 1,7..0 Today ...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Brazil - Rio de Janerio Niagara Falls Toronto London Singapore Daressalaam SORRY… Tanesco apologises.......... Hamna umeme........
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari JF!. Naangalia kipindi hicho...mama mmoja kutoka kigoma wilaya ya kasulu....amewachana ...yaan wazee wanalalamika kutengwa na kunyanyaswa...wanahitaji muwakilishi wao mjengoni.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jana katika kipindi cha dk45 cha ITV waziri wa Africa mashariki S. SIta alisema spika wa sasa kawekwa na MAFISADI nimesikia kuwa mama Makinda anajiandaa kuongea na waandishi wa Habari kwa...
3 Reactions
70 Replies
7K Views
Nimeona kwenye facebook mhindi yule wa mohamed enterprises anajigamba kwamba anampigia simu gavana ampe solutions za matatizo ya kuporomoka shilingi na mfumko wa bei...hivi hawa wahindi mbona...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Jamani tiGo hebu jirekebisheni upesi, hii imezidi sasa!!, wife yupo nje ya nchi ananitumia msg then mi nareply kumbe msg zangu hazipati na wakati hela nyie mmeshakata, siku ya kwanza wife alidhani...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
mgomo umetokea katika chuo cha elimu ya biashara-DSM campus.Wanafunzi wamegoma kuingia madarasan wakidai ungozi mpya unaokidhi matakwa ya NACTE.Awali alikuwepo dr Lugoe aliyehamishiwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
kukiwa kuna hali isiyolasimi ya kumiliki viwanja visivyo pimwa hadi kusababisha msongamano wa vijumba vidogodogoambavyo havina vyoo wala barabara huku tanesco na dawasco ikipeleka huduma, ni jambo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana jf nimekuwa nikimsikia sana TB JOSHUA lakini sijawahi kuona kipindi chake na sijui ni channel gani kupitia king'amuzi au
0 Reactions
11 Replies
2K Views
kama kova unasema no Maandamano ya Kupinga Dowans reason usalama basi na Mechi isiwepo cz kuna mkusanyiko
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom