Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Important for Safety - Please Read Have you ever checked that - i have not !please let us all start checking our cylinders !THIS IS VERY IMPORTANT , DON'T IGNORE IT Have U ever heard about LPG...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hawa watu ni dangerous! Fika South Africa uone walivyosambaza drugs! Kumuona Mnigeria Tanzania ujue huyu ameshindwa kwenda Ulaya,either allikataliwa visa au deported. Sijui kwa nini Uhamiaji...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanali Massawe akitia sahihi hati ya kiapo mara baada ya kuapishwa na Rais Jakaya Kikwete Ikulu leo asubui. Rais Jakaya Kiwete amewaapisha wakuu wa mikoa wapya aliowateua...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mali ya spice islander imezama, watu zaidi ya 100 wateketea kwa moto - kenya, watu 250 wateketea kwa moto DRC, soko la mbeya lateketea kwa moto, ndege yaanguka- wanne wanusurika, ndege yaanguka...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
1. Director of Information Technology For all the press that teachers and nurses get for their long hours, low pay and thankless tasks, it may be surprising to see the most hated job was that...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hospitali ya Taifa Muhimbili ilipokea mgonjwa toka Hospitali ya Mwananyamala tarehe 18/08/2011 akiwa mahututi na hajitambui. Inasemekana kuwa mgonjwa huyu aliokotwa na wasamaria wema barabarani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wewe ni mpuuzi, huenda umeshindwa kuelewa kiingereza, ujinga wako usituambukize na sisi. sasa nimekopi na kupesti hii habari ya BBC iliyoandikwa kwea kiswahili ili ujue kuwa wewe sikuonei...
0 Reactions
75 Replies
9K Views
In order to sustain the fundamental values of pursuing excellence and promoting diversity, the ENPC School of International Management offers several tuition reduction scholarship schemes...
0 Reactions
0 Replies
901 Views
Nilikwenda huko kutafuta nakala ya katiba ya Zanzibar, nilichokuta katika mtandao wa serikali (Home - Zanzibar Government) page za kiswahili na kiingereza zikiwa na vichwa vya habari visivyobeba...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Tanzania: land of constant complaints The country seems well, but corruption is rampant by M.G. Vassanji on Tuesday, September 13, 2011 10:25am - 0 Comments Marco Longari/AFP/Getty Images In...
2 Reactions
0 Replies
750 Views
Imefika hatua ya kuwa na Wizara itakayohusika moja kwa Moja na majanga haya Zikiwemo Na Helicopta. Haingii akilini kabisa hatuna Watu wenye Maono na Majanga haya. Kikosi cha ZIMA MOTO KIVUNJWE.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kikosi cha wanamaji TZ kazi yake ni kupiga gwaride tu nyakati za sikukuu? Iweje nya kati za majanga tunaagiza waopoaji? Yale manjonjo yao ya majini wakati wa maonyesho hayatoshi kufanya uopoaji...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Dsm international airport no electricity no flight is allowed to land from 8 to now!"
0 Reactions
132 Replies
12K Views
...Baada ya maafa ya meli kule Zanzibar,VODACOM kupitia kitengo chake cha VODACOM foundation waliendesha ule mchango kupitia kwenye simu,ambao ulikuwa unatuma neno msaada kwenda namba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni lini google maps itaweka mipaka mipya? Tanzania tumezidi usumbufu. Hadi leo Kigoma haifikiki kwa lami, tena sio Kigoma tu ila pia Rukwa. Kama tumeshindwa kuendeleza mikoa 26 je tutawezaje...
0 Reactions
1 Replies
895 Views
Tunahuzunika sana pia tunaumia na kunyanyasika kinafsi mana mpaka sasa hatima yetu tumekuwa kama watoto yatima mana hakuna msaada wowote tunaopata mana hata selikali inaongozwa na matamko huku...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana jf naomba tujadili hapa kwani napata uchungu kuona hata taaluma inaendeshwa kisiasa, kusoma uuguzi miaka 2 source ITV news jana usiku, kutapunguza vifo vya kina mama? Nimejaribu kufanya...
0 Reactions
8 Replies
13K Views
Wakuu hebu tuweke mwelekeo wa nchi yetu mpaka ifikapo mwaka 2015 jk atapoachia nchi tutakua kwenye hali gani kiuchumi na kisiasa? Nawakilisha
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Machozi Kila kitaka yafuta, mengine yanasogea Chozi churuta churuta, Nguoni yanaingia Walokufa hawajafata, nasaba nilozaliwa Wamekufa zinjibari, pahala tulozaliwa imewabana bahari, hawana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
fuatilia kazi za mbunge mh sugu jimboni mbeya Joseph Mbilinyi (Mr II - SUGU)
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom