Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
  • Closed
Na Magdalena Mkwama, MSHITAKIWA Mohamedi Shehe (20), mkazi wa Buguruni Malapa, amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Buguruni kujibu mashitaka ya wizi wa amplifaya. Mshitakiwa amesomewa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Jiji letu la Bongo ni kubwa lisiloisha vituko kila kukicha, Ustadhi aliyefahamika kwa jina la Shaaban Rajabu, maarufu 'Kidevu' mkazi wa Manzese jijini Dar es Salaam, hivi karibuni aliwashangaza...
1 Reactions
16 Replies
6K Views
Waziri wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta Serikali za Tanzania na Uganda zimetiliana saini hati ya makubaliano ya kuanzisha mradi wa pamoja wa nishati ya umeme utokanao...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
A 45-Year-Old grandmother did the unthinkable when she strangled her day-old granddaughter for allegedly being a ‘bastard’. Adwoa Mai, the suspect, was said to have gone into an uncontrollable...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Vijana wakikimbia kuokoa baadhi ya bidhaa zilizokuwemo kwenye mabanda yao yaliyomo katika soko la Mwanjelwa lililopo eneo la Sido Jijini Mbeya ambalo lilikiteketea kwa moto jana asubuhi. Moto...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Gay marriage 'to be made legal in Britain by 2015' The coalition is to push ahead with plans for gay marriage following the personal intervention of David Cameron. Liberal Democrat Lynne...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Akiongea DC wa igunga Fatuma kimario akiongea na waandishi wa habari mjini igunga amesema kuwa yeye ni desturi yake anapovaa nguo yoyote ni lazima avae Hijabu kwa hiyo kitendo cha kumvua hijabu ni...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Thu Sep 15, 2011 12:45pm GMT * Says move to increase fuel movement through Tanzania * Consumes 20,000 barrels per day of petroleum By Elias Biryabarema KAMPALA, Sept 15 (Reuters) -...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jamani ni tangu asubuhi M.Pesa haipatikani! Nko ugenini nina vicent vyangu kwenye m.pesa kila nkijarib kutoa inashindikana! Hii mijitu ikoje!
0 Reactions
1 Replies
971 Views
At one time or another, we have all known at least one person who has hated his or her job. That person may have suffered silently or vented constantly, but at the end of the day there was no...
0 Reactions
0 Replies
896 Views
riport ya uokoaji kutoka SA na TZ, Yatua mezani mwa SMZ. kikubwa wamekiri udhaifu wao wa kushindwa kuokoa baadhi ya miili. Kingine kikosi cha SA Kimetoa shukran kwa Ushirikiano waliopata...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakimbizi wa Burundi walikamatwa nje ya kambi ya wakimbizi mkoani Kigoma,na kupelekwa mahakamani,kujibu tuhuma.Hakimu aliwanyima dhamana baada ya watumia kukana shitaka,cha ajabu mahabusu hayo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Shoruba, mateso na manyanyaso wanayopata makamanda na wapenzi wa CDM walioko mstari wa mbele yote hayo ndiyo gharama ya kutafuta haki na uhuru wa kweli. Na bado CCM na Serikali yake watafanya...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba nisaidiwe kujua Apn, gateway ip address na gateway port
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Muda mfupi uliopita nimepita karibu na viwanja vya shule ya sekondari ya kinyerezi iliyopo manispaa ya ilala jijini dar. Nimeona watu waume kwa wake vijana wazee na watoto wote kwa ujumla wao...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tanzania ni Nchi ya ajabu sana, unaweza kufa bila siku zako kwa matukio yasiyofanana na level ya akili ya Binaadamu. Kwa mujibu wa Taarifa ya Habari ya TBC eti imepongezwa na SMZ(Serikali ya...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
nakuwa siwaelewi kabisa hawa ITV kwa jinsi walivyo na akili kama za VodaCom. Lipumba na Mtatiro wake nao ameonekana akihutubia matawi ya miti. Mtatiro amerithi kibwagizo cha Maalim Seif cha...
1 Reactions
61 Replies
6K Views
Habari wana JF mi nipo njiani nimekuta ajali ya magari mawili yamegongana katkat ya tanga na kilimanjaro na watu 5 wamefariki NA tukio lingine ABIRIA moja mwanamke amefarki kwnye gari akitokea...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Tumeona janga lingine la moto kwenye soko la Sido Mwanjelwa Mbeya mjini. Kwenye luninga ITV jana jioni na leo asubuhi sote tumeona kilichotokea. Kilichonisikitisha sana ni kitendo cha askari...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Ukiangalia ajali kubwa kubwa zilizowahi kutokea nchi hii, ni kutokana na uzembe wa wahusika na pengine serikali kwa sehemu kubwa. Zimekuwa zikitokea ajali zinazofanana fanana pasipo kupatiwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom