Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Ndugu zangu pamoja ya kwamba mtasema ni tabia yangu kusema hovyo, lakini naona bora tu niseme. Hii tabia ya magazeti ya wambea kama vile uwazi, amani, ijumaa na upupu mwingine kuchapisha picha za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
By In2EastAfrica - Fri Jul 22, 8:40 pm Prime Minister Mizengo Pinda, Speaker of the Parliament of the United Republic of Tanzania, Anne Makinda and former...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Matangazo ya Bunge yanaendelea zaidi ya dk 30 bila sauti - Arusha. Hii ni nini sasa incompetence au?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
JK kasema hana uwezo wa kunyeshea mabwawa, kwa hiyo anasikilizia siku mvua itakaponyesha umeme utarudi.. Amesikitika kwamba, hata yeye inamuuma kuona umeme haupo, ila angeweza angenyeshea fasta...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa mtazamo wangu, napenda kumshukuru na kumpongeza Jemedar Jairo D. kwa msaada wa kutatua tatizo la mgao wa umeme kwa kuzichangisha idara zake za wizara za nishati na madini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kampuni ya BAE system imeamua kurejesha chenji yote ya rada serikalini.Waziri wa Fedha atakiwa kuipa kampuni ya BAE system nambari ya akaunti ya BoT.
0 Reactions
0 Replies
878 Views
Kukwama kwa Bajeti ya Nishati Kasi ya CHADEMA yaizindua CCM Mwandishi Wetu 20 Jul 2011 Toleo na 195 Januari Makamba, Nape, Mukama watajwa kuhusika Sitta, Mwakyembe, Nyalandu watoa makucha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Leo mchana huko Arusha palikuwa na mgomo kubwa wa daladala hasa ziendazo maeneo ya uswahili na zile ziendazo engosheratoni hii ilichukua mpaka jioni, kutokana na taarifa ya dereva mmoja wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tanzania ya leo imekumbwa na mfumo siasa, kila kitu siasa, chakula siasa, ushuru siasa,watendaji wa wizara siasa uteuzi wa wakurugenzi siasa hii ina kera sana. Huu mfumo ni wa kibaguzi kwa maana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani mimi ni muislam ila elimu yangu ni ndogo. Naomba kufahamu, hv waislamu hatuwezi kuomba tuondokane na janga hili la umeme? Mana nakumbuka miaka fulani hv mvua ilipo sumbua na ukame...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau nawaombeni wale ambao mpo kwenye mikoa radio hii inasikika pia inasikika mtandaoni,muwe mnasikiliza kipindi cha Ijue biblia kila siku 2:30 ucku na jumamosi saa 9:00 alasiri, kipindi...
3 Reactions
6 Replies
5K Views
Niliagiza samaki sato ndoo mbili siku nne zilizopita kutoka mwanza, maeneo yetu ninayoishi tulikatiwa umeme mfululizo siku mbili. Pamoja na kujitahidi kuwakaanga wameoza, je kuna matumizi mbadala...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kutoka bungeni apaMoses Machali nccr anasema mbona mtu anastaafu serikalini kama wajeda anapigwa ukuu wa mkoa au ubalozi wakati umri umeenda.These people are unemploying the youth. Tunasubili...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Leo asubuhi Badra masoud akihojiwa channel ten amesema tatizo kubwa ni ukosefu wa fedha kwa ajili ya kuwekeza ktk vyanzo mbadala vya kuzalisha umeme nchini. kwa upanda wake Jk akihojiwa bbc...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hivi ni ajali au................... kuna vituo vya televisheni zaidi ya saba vinavyorusha taarifa za habari kati ya saa moja jioni na saa mbili usiku. Usihangaike kujaribu kuaangalia taarifa za...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hilo ni jibu la Mr. Pinda akijibu swali la mbunge aliyetaka kujua kwa nini hamchukulii hatua Bw. Jairo? Inavyoelekea hakuna mtu anayejua wajibu wake, Pinda alisema anamsubiri rais kwani ndiye...
0 Reactions
0 Replies
864 Views
Kuna network mtaani za kuaminika kuhusu uhusiano wa kikwete na Sitta. Sitta amekubali kumtetea kikwete kwa kupewa hongo na rushwa ya kimaajabu. Ufupi ni kwamba hizi ni taarifa bado za ndani ya...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Posho elimu ya juu yapanda kwa Sh 2,500/- SERIKALI itaongeza fedha za kujikimu kwa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini kutoka Sh. 5,000 ya sasa hadi Sh. 7,500 katika mwaka huu wa fedha...
1 Reactions
76 Replies
6K Views
Yap wandugu wapendwa habari kwa ujumla.Mi niko poa yani mzuri kwa sana.Nilipotea sasa nimerudi baada ya kuibiwa simu yangu ambayo niliitegemea kwa mambo ya internet na halafu nikawa shamba huko...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nilisikia jamaa mmoja akiongelea habari za umeme unaotokana na kinyesi cha binadamu. Huyo ndugu alidai kuwa umeme huo huwa una nguvu sana kinachohitajika ni kuongeza material katika source/chanzo...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom