Kwa kifupi mimi nasikitishwa sana na kila leo nikisoma habari za watanzania wenzangu waliopo tanzania,update zao kwenye social network hakuna zaidi ya kulalamikia umeme kwenye magazeti nao pia...
Kila ninaposafiri kwenda mikoani nakutana na hali hii ya uharibifu wa uoto wa asili katika maeneo mbalimbali. Kwanini hali hii inaendelea kutokea katika kipindi hiki ambapo kampeni za utunzaji...
Dkt Chrisant Mzindakaya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt Chrisant Mzindakaya kuwa Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la...
ASKARI wa Hifadhi ya Taifa ya Katavi wilayani Mpanda Mkoa wa Rukwa, wanalishikilia gari la Manispaa ya Kigoma Ujiji, baada ya kulikamata likiwa na meno matatu ya tembo yenye uzito wa kilo tisa...
That sinking feeling: Woman finds giant sinkhole under her bedBy Claudine Zap
Posts
Email
By Claudine Zap | The Upshot 9 hrs ago
tweet331
Email
Print
A sinkhole formed in a house...
Naiomba kampuni ya simu ya Tigo iwe makini sana inapompatia mteja wake caller tone hasa zile za imani. maana unaomba caller tone ya kiisilamu unawekewa kwaya ya kanisa au unaomba nyimbo ya kanisa...
Nafanya tafakari....
Naiona nchi yenye maziwa na asali...
Naona viongozi wake wasiojali...
Bila huruma wakijitafunia za wote rasilimali.!
Naona wananchi wake maskini..
Wengi wao wakiwa bado...
wadau hali mnavyoina kwa sasa katika bunge letu,
je kuna mwelekeo kuwa majibu ya hovyo hovyo yatakuwa yamekoma..?
je, kuna namna yoyote ama dalili kuwa kuna siku zitakuja kupingwa ndindo katika...
Wakati nchi za dunia ya tatu wanafunzi hawana madarasa wala madawati ya kusomea ,Wenzetu huko majuu wana vyuo vyenye boarding kwa ajili ya mbwa!!Hebu angalia hapa...
Magazeti ya Mtanzania, Rai na mengine yote yanayomilikiwa na Rostam, sasa yanaonekana yako kinyume kabisa na CCM tangu suala la magamba lilipoanza.
CCM sasa imebaki na vyombo vya habari vya...
Mabingwa wa tanzania na mabingwa wa kombe la kagame wamepata mualiko wa kwenda bungeni na kombe la kagame kwa lengo la kupewa pongezi na wabunge? Je kwanini twiga stars wamesahaulika kama huu ndio...
Ndugu wana jf. Mimi si mchangiaji wa mara kwa mara lakini leo nataka niseme hili kwa kile ambacho nadhani ni mkakati wa kuhalalisha safari za raisi wetu nje ya nchi.
Kwa kutumia kipindi chake...
Mtoto wa Mhe. Rais mhe Ridhiwan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Kongamano wa kuhamasisha Uvaaji wa Ijab mwaka huu Mkoani Arusha. Vigezo na masharti kuzingatiwa! ( Radio Iman FM)
hi people,
wakazi na wanazuoni wa chuga najua mmerudi na we need to relax kwa sasa,kwa wale wadau watakaopenda ku-exchange movies na softwares please post hapa ,then we can meet,ukiwa na external...
Leo mchana nilikuwa sina salio kabisa kwenye simu ,nikamuomba jamaa yangu akanitumia 250, muda mfupi nikapokea sms kutoka namba 15556 ya msimu wa dhahabu na clouds Fm huku nikitaarifiwa na hiyo...
poleni na majukumu,
tulikuwa tunatamani sana kuwa na sehemu ambayo tunaweza tukaongea na kujadiliana kuhusu mambo ya mkoa wetu,hata kusaidiana katika shida na raha,leo nimefanikiwa kufungua group...
Nilikuwa napekua page za Facebook nikakutana na hii kali kwenye page ya Tanesco eti wanaomba radhi kwa kutokuwepo umeme.
https://www.facebook.com/pages/Tanesco/186255581435542
Tanesco
Wapendwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.