Hamjambo wana jamii forums. Nadhani wengi wenu mmekuwa mkiona baadhi ya picha na maelezo ya watanzania wenzetu wenye shida ambao mara nyingi huwa wanatumia vyombo vya habari katika kuomba msaada...
As many of you are aware of the scandal regarding the Uhuru Park in Moshi, it is mind boggling to note that todate the Goverment have not take any actions against the people who signed the...
Me naona kizazi kijacho kitakua tofauti kidogo na hichi cha kwetu, nakumbuka enzi zile nikiwa junior schools nikienda shule kila mkubwa ninayekutana nae lazima nimsalimie, ila siku hizi hawa...
Hii vurugu inaendelea maeneo ya Nyakato National karibu na kituo cha polisi cha Mwatex, magari yamezuiliwa. Tutaendelea kuwajulisha nini chanzo cha vurugu, ila habari nyepesi ni kwamba kuna kundi...
Hivi karibuni karibuni habari kuhusu mapacha watu zimepamba moto. Lakini mpaka sasa hakuna mtu au chombo cha habari kilichohoji dhana ya mapacha watatu. Kwa muda mrefu tumeelewa mapacha watu kuwa...
NIMEFURAHISHWA SANA NA KITENDO CHA MWANA JF KUHOJI KUHUSU KUONDOKA KWA MWANDISHI EZEKIEL KAMWAGA WA MWANAHALISI, INGAWAJE NIKO NJE YA NCHI NAOMBA NIWAONJESHE KIDOGO KUHUSU HUYU KAMWAGA ALIVYOANZA...
nafurahishwa na waziri Mwinyi jinsi alivyo makini, mwenye uelewa, stahaa na mwenye kujiandaa.
Anapojibu maswali anaonyesha uelewa, ukomavu na usikivu.
Anaweza kujenga hoja bila kutegemea msaada...
Wakuu umefanyika utafiti Tanzania na inaonyesha kuwa harufu mbaya ya soksi chafu ni mtego bomba kabisa wa kunasia mbu. Mtego huo una uwezo mkubwa mara 4 zaidi ya mitego ya "kawaida". Hivyo basi ni...
Nawaomba kuwakumbusha ofisi ya waziri mkuu watambue tatizo lililopo ni janga lakitaifa kama mengine yanavyotokea!matharani mafuriko njaa n.k!Kwani kuiachia Wizara ya nishati nikuitwisha mzigo...
Nalileta hili kuhusiana na kinachoendelea katika Mbunge letu kwa sasa, nilijua ni Makinda tu hawezi kumudu kuongoza mijadala, J. Mhagama naye naona hakuna lolote ameshindwa kabisa kuhimili...
Kuzimika Kwa Taa Neshno: Serikali Imehuzunishwa Sana |
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Serikali...
90%ya watu wanapokuwa wazee hupata shida sana za kiuchumi na hii hufanya wawe ni watu wanaoumwamwa maramara kwa sababu ya msongo wa mawazo,wanakuwa ni watu wakuwaona watu wote ni wabaya hii ni kwa...
Katika pita pita zangu kitaa nikakuta magroup ya watu kibao maeneo ya Nyakato Nation nilipofika maeneo ya Mwatex ndio jamaa wakasema kuwa mwanajeshi alikuwa na pikipiki akapigwa na Mapolisi so...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.