Wakuu, Nipo hapa Tegeta standi ya Bunju nashuhudia Moto mkubwa sana na kanisa la hapa barabarani limeungua na moto unazidi kusonga mbele na kuunguza mabanda ya biashara mengine. Ohhh Lord of mercy!!!!
wenye akili zetu tunaelewa sana mazingaombwe yanayochezwa so far. mazingaombwe haya yamepata hata wapiga debe. magazeti ya mtanzania na jambo leo ndo yamekuwa watoa taarifa wa kila kinachoendelea...
Global Publishers kwa kushirikiana na Clouds group wanaanda tamasha la kuwahamasisha wananchi kuwa wazalendo kwa kile walichodai kuchafuliwa kwa hali ya hewa kulikosabaishwa na maandamano na kauli...
Namuomba Rais Jakaya Kikwete asitishe mara moja ziara anazofanya kwenye wizara mbalimbali kwa sababu hazina tija kwa Taifa na zinasababisha hasara kubwa na kupoteza muda wa kazi mwingi kwa...
RAIS wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Mwashamu Thadeus Rwaichi amekemea kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na baadhi ya wana CCM za kulihusisha kanisa hilo na Chama cha...
NSSF kuanza kukopesha fedha wanachama wake Send to a friend Saturday, 19 March 2011 11:33 0diggsdigg
Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini wa NSSF,Abubakar Rajabu
Lauden Mwambona, Mwanza
MFUKO wa...
THE Government is keen to streamline the disbursement of revenue shares earned from natural resources including royalty, fees and commissions from forests and wildlife to district councils...
Waziri wa fedha Mustapha Mkulo amesema hali ngumu ya uchumi na ukali wa maisha unaowakabili watanzania serikali haitaweza kuvitatua na amewataka watanzania wasitegemee serikali itaondoa matatizo...
Wana jf,kwa bla bla za ccm na viongozi wake (kumzuia Dr magufuri asifanye kazi) juu ya maendeleo ya nchi yetu,kamwe hatutaweza kufikia kiwango hiki kama walivyo wenzetu wa nchi zilizoendelea...
Katika hali ya kutatanisha Waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige, ameitaka serikali kuipokonya kampuni ya Barrick leseni ya madini kwenye wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga, na badala yake...
Tanzania,
Nchi ya babu na bibi zangu. Nakupenda na kukutukuza.
Ila nasikitika kwamba kumbukumbu nzuri na tamu kuhusu wewe ni wimbo na bendera yako.
Vingine vyote nimevisahau. Madini, mito...
Jaribu kufuatilia hii link utapakujuwa madhara yatokanayo na nuclear
Live updates: Disaster-struck Japan in nuclear crisis | News.com.au
ikisha funguka nenda sehemu iliyoandikwa MELTDOWN EFFECTS...
ASKARI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wa Kambi ya Bavuai Migombani, amefikishwa mahakamani akikabiliwa na shitaka la kuwashambulia raia huko Jangombe wiki iliyopita.
Askari huyo MT...
Bandugu! Kaka yangu mmoja askari polisi aliuawa Juzi Shinyanga baada ya wahalifu aliokua anawalinda kumhadaa kana kwamba wanaomba kusikilizwa kidogo na alipowasikiliza ghafla wakamzidi nguvu kabla...
Na Salma Said,
WAUMINI wa dini ya kiislamu wameitaka serikali kuchukua hatua madhubuti ya kuhakikisha madanguro, baa na nyumba zenye kuendesha vitendo viovu vinaondoshwa kwa haraka kutokana na...
mchungaji lusekelo leo alikuwepo kwenye uwanja wa stedium akihubiri na kutoa upako na kusema babu wa loliondo anatibu kwa kikombe yeye anatibu kwa maombi nawakilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.