Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Daktari abaka mtoto wa ofisa usalama DAKTARI wa Hospitali ya Mkoa wa Mbeya, Haruna Nyagoli, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa, kwa kosa la kumbaka mtoto wa kike ambaye baba yake ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Eti inasemekana Nyanda nambari moja wa Simba s.c na Taifa Stars Bw. Juma Kaseja alikataa kutoa mkono wa salamu kwa mgeni rasmi Bw. Abas Kandoro mkuu wa mkoa wa Mwanza. Kwani huyu Kaseja na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu salam, naombeni msaada wenu jamani hivi ni kweli bila kutoa pesa au kuwa na refa huwezi pata ajira?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kukubaliana na matokeo ya kura za Urais ambayo Nec inatangaza hayaendani na yale ya forms za mawakala hiki ni kitendo cha aibu na ni dhambi kubwa sana, chombo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
By Salome Kitomary 4th November 2010 Mwalimu na mwanafunzi wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, mkoani Kilimanjaro wakikabiliwa na mashtaka...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Closed
Imeandikwa na Nakajumo James, Moshi; Tarehe: 4th November 2010 JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linamsaka Padri Stanslaus Sala wa Kanisa Katoliki jimbo la Moshi, Parokia ya Mtakatifu Theresa...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Nikija kusikia kuwa chenge/lowasa amekuwa spika wa bunge kama wengi wanavyotabiri basi nitakuwa wa kwanza kuhamasisha maandamano ya nchi nzima ya amani au yasiyo ya amani........nikishindwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mambo makubwa duniani yamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutokana na uwekezaji mkubwa kwenye Utafiti na maendeleo au kwa kiingereza 'Research and Development' kwa kifupi R&D. Katika hili kuna...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
UCHAGUZI MKUU 2010. 1. Zoezi hilo limekamilika, ikiwemo matokeo ya Rais, Wabunge na Madiwani. Kwa upande wa Zanzibar, Rais wa Awamu ya 7 ashaapa. 2. MADAI YA KUCHELEWA MATOKEO NA...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Washtakiwa kwa kumdhalilisha Kikwete - nipashe Mwalimu na mwanafunzi wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, mkoani Kilimanjaro wakikabiliwa na mashtaka matatu ya uchochezi na kuchapisha...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Huyu Maggid ni mnafiki (hypocrite) kweli kweli. Kabla ya uchaguzi alikuwa akijikomba kwa CCM na kubeza mabadiliko kwa kukejeli kwa maneno mbali mbali kama vile kumuita Slaa ni "mti mmoja ambao...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Manka: 'Konda' wa kike anayeishi kiume Send to a friend Thursday, 04 November 2010 13:23 0diggsdigg Stumai Baraka Na Florence Majani UKIMWANGALIA kwa wasiwasi unaweza kudhani kuwa ni...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu zangu wana JF,kutokana na matokeo ya uchaguzi kuchakachuliwa naona hii imekuwa kero na mkatisho wa tamaa kwa wapenda mabadiliko wote.Hapa namzungumzia diwani wa kata ya hananasif ndugu...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mzee wetu hakuwa na hili wala lile - alisimama kwenye foleni kama mimi na wewe. Sina uhakika kama JK & co huwa wanasubiri foleni kama hivi! Anyways, tukiachana na hayo ya akina JK lengo la msingi...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Kwa nilivyokuwa naelewa, kabla ya uchaguzi wa Oct 31, 2010 ni kwamba Compyuta inarahisisha utendaji wa kazi. lakin katika hali ya kushangaza nimesikia matumizi ya kompyuta ndio yanayosababisha...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
SOurce: Yahoo friends Kuna taarifa zinasema kuwa; Mkapa baada ya kusakamwa sana na UFISADI, siku moja akiwa nje ya nchi, alikutana na Mwandishi mmoja ambaye alikwenda huko kwa ajili ya kupokea...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Rapper Lil Wayne walked out of New York's Rikers Island jail Thursday and was set to fly to Miami for a welcome home party thrown by his record label, his publicist said. He'll soon head to a...
0 Reactions
0 Replies
873 Views
If a barber makes a mistake it is a new style If a driver makes a mistake it is an accident If a scientist makes a mistake it is an invention If a surgeon makes a mistake it is an operation...
0 Reactions
0 Replies
753 Views
:doh: Nikiona ujisikia raha sana!!
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Nimimi peke yangu au wote mwenzenu natafuta sehemu yakuchat na fl,preta,big mama,the finest,who care,katerelo,Rose 1980,bujibuji japo yupo bize na maswala ya uchaguzi,Nyani ngabu najua yupo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom