first lady ampelekea nguza sabuni jela, ila haijajulikana maana uchaguzi haujaisha sasa sijui ni wa NCCR au CHADEMA au APPT au CCM mi sijui. ila anawakaribisha mafisadi jela:evil:
Gavana Mweusi wa Massachusetts Ashinda Uchaguzi!
Gavana Deval Patrick, ameshinda katika uchaguzi wa jana. Ataongoza mkoa wa Massachusetts miaka minne zaidi. Gavana Patrick ni mweusi wa...
Hii dhambi ni mimi au hawa walio nipa hili box?
Nilifiwa na baba yangu marafiki wakanifungashia box kufika kijijini nikafungua box baada ya wazee kutumia kilichomo kijiji kilichafuka ikawa balaa...
Miaka mitano iliyopita ilikuwa ni miaka ya mapambano na mafisadi, kuvunja baraza la mawaziri mara kwa mara, safari zisizokwisha, kupanda kwa bei ya bidhaa, kushuka kwa thamani ya shilingi ya...
...our nation...Tanzania...has a total debt of 10 bil USD....for the quicker understanding of the burden...every living human in this nation owes the lenders tshs 332,000/=...of which Tshs...
MUNGU Baba, wewe uliyetukuka sana, wewe ustahiliye kuabudiwa na kila kiumbe, wewe MUNGU wa mababa zetu, tuko mbele zako wana wako, tuko mbele zako leo Baba, tunakuja tena kwa kulia na kuomboleza...
Miaka mitano iliyopita ilikuwa ni miaka ya mapambano na mafisadi, kuvunja baraza la mawaziri mara kwa mara, safari zisizokwisha, kupanda kwa bei ya bidhaa, kushuka kwa thamani ya shilingi ya...
Most users ever online was 16,925, Yesterday 1st Nov at 04:40 PM.
It will take another 5 good years to bit this new record. Previous record was 5,000 +
Ndugu wanaforum naomba msaada wenu.
Kulikuwa na post moja ambayo ilikuwa na discussion juu ya ujenzi wa nyumba.
Sasa na mimi naomba kuuliza jee ni katika hatua gani ya ujenzi nahitaji kumwita...
jamani kuna tetesi kuwa mimba ya dk.buriani batilda ambayo baba wa hiyo mimba hajulikani imeharibika kutokana na stress za uchaguzi baada ya kubwagwa na mh.lema ktk jimbo la arushaa. habari hizi...
pita maeneo kadhaa ya sinza ,ni vituo vichache sana vinauza mafuta. Pita vituo vya BP, hawana mafuta. Wanaogopa uchaguzi au?
Acheni woga maisha yaendelee kama kawa. Chadema weraaaaaaaaaaaaaaaaa
kauli mbiu ya "mapinduzi daima," pamoja na mambo mengine inawakilisha dhana kwamba madaraka ya kuongoza nchi, milele na milele yatabakia mikononi mwa kundi dogo la Wazanzibari waliotwaa madaraka...
nataka kuanzisha kitu kinaitwa maisha foundation,ambapo itakuwa na wanachama 100 tu, watakaochangia laki moja moja kila mwisho wa mwezi na kila mwisho wa mwezi mtu mmoja atachukua milioni kumi...
Waungwana nawasalimu kwanza asubui hii! Natafuta bendera za vyama vya upinzani nataka niwaandalie zawadi fulani naombeni mwenye bendera ya chama anirushieni jamani.
Niwatakie asubui njema:israel:
Sababu za kuchelewa ujenzi Barabara ya Mandela zatajwa
Kutokamilika katika muda uliopangwa kwa ukarabati wa barabara ya Nelson Mandela jijini Dar es Salaam kunatokana na sababu za kiutendaji...
Ushindi wa chama cha CUF wa viti vitatu kwenye ngome ya chama cha mapinduzi inadhihirisha kuwa chama hiki ni cha wa wazanzibari wote tofauti na CCM ambayo huishia kupata viti upande wa unguja tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.