Yawezekana ukafanya siri baada ya tar 31 ikawa sio siri tena si mbbaya kuwahabalisha wenzao kw muda huu mfupi yawezekana watu wengi wamekula kasa kwa wagombea wetu utakapokuja kutueleza...
Taarifa za uhakika zilizonifikia bweni la wanaume katika Sekondari ya Lugoba iliyopo wilayani Bagamoyo jimbo la Chalinze limeungua moto. Chanzo cha moto hakijajulikana na polisi kutoka kituo...
Happy birthday, Mr. President!
Hafla fupi ya rais kikwete akisherehekea siku yake ya kuzaliwa usiku wa kuamkia leo
Friday, October 8, 2010
Keki safi kabisa ikimeta meta kabla ya kukatwa...
Habari kutoka katika chanzo cha UHAKIKA zinadokeza kuwa yule kigogo maarufu katika kesi ya EPA yupo katika COMA kwenye hospitali maarufu jijini mwenye habari zaidi uwanja ni wako!
Huyu jamaa ni mlipa visasi namba moja nchi hii, na pia ni mlipa fadhila mkubwa.
1. P. Mang'ula aliyekuwa mkti wa kampeni za CCM 2005 alionyesha kutomkubali matokeo yake kila alikojaribu kugombea...
Watuwazimatanzania?
Tuko pamoja tangu miaka mitano iliyopita.
Ila kwa mada hii imebidi niweke wazi lila raia mwema katika jamii ya watanzania kuwadhibitishia kuwa mimi binafsi ni mwanajeshi jwtz...
Mratibu wa mdahalo wa Prof. Lipumba jana alichagua maeneo saba ya kumuuliza Profesa ambayo yalikuwa katika nyanja za utawala bora, uchumi, serikali ya umoja, udini, staili za kampeni za CUF, hatma...
Kauli ya waziri wa Elimu na mafunzo ya Ufundi kuwa vijana wanaomaliza darasa la saba wataendelea moja kwa moja na kidato cha kwanza bila mchujo wa mtihani mara tu CCM ikipewa ridhaa mwaka huu...
It is time for change
time 4 changes!
Time 4 liberation!
Time 4 revolution!
Time 4 removal of rampart corruption!
Time 4 eradication of poverty!
Time 4 all tanzanians to enjoy our resources...
Of late kuna E-mail going around from TCRA asking ISP to block some sites(zeutamu2) hivi according to the INFORMATION ACT of tanzania is it RIGHT to do that?... and if you look closely karibu...
Baada ya kujikita wazi kwenye uwanja wa siasa kuifanya blog yake kuwa propaganda mashine CCM, blog ya michuzi ni kama imekufa. naona hata vijana mhiri waliokuwa wakiifa supoti kwa kumwaga atkos za...
NI MIEZI MINNE SASA WANAZUONI WA VYUO VYA UMMA HAWAJAPATA MISHAHARA MIPYA,NAWAZA LABDA WAO SI MUHIMU KAMA WATUMISHI WENGINE WALIOKWISHA KUPATA.
JAMA WANAFUNZI HAWATAPIGA KURA NA WAHADHIRI WAO...
Army, youth MPs future uncertain
Speaker Edward Ssekandi yesterday said there will be no nomination for the army, the youth, the women and other interest groups represented in Parliament...
Habari nilizozipata punde toka Zanzibar ni kwamba ndege moja inayomilikiwa na kampuni inayoitwa TAN-WING (yenye reg.No: 5H-PAY), aina yake CessnaF406, au Caravan-II imetua na kuharibika vibaya...
Na Richard Makore
28th October 2010
Umoja wa Mabaraza ya Habari Duniani (WAPC), umelaani vitisho vilivyotolewa na Serikali ya Tanzania vya kutaka kufungia magazeti ya Mwananchi na Mwanahalisi...
Habari za uhakika ni kwamba kampuni iyo inavunjwa rasmi na wafanyakazi wameshaanza kufanyiwa interview na wale wanaofaulu wanahamia TRA na matawi yake...stay tuned...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.