Kama umeshind green card; fuatilia hapa chini kabla hujafanya maamuzi yoyote. Citizen Tv ya Kenya wameenda extra mile katika kuwaelimisha wadau wenye ndoto ya kwenda kuishi 'unyamwezini'...
Naiona hii article ya huyu dada kutoka www.observer.ug kuwa inafaa kuisoma na kuijadili.
Kwa mtazamo wangu, mimba isiwe kikwazo cha kumpa m/mke elimu ambayo ni muhimu na ni haki kwa binadamu wote...
Wadhamini wasweka rumande kwa kuvaa suruali mlegezo
Monday, 25 October 2010 07:47
Na James Magai
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala Ijumaa iliyopita iliwasweka mahabusu siku 14 wadhamini...
Masikini Tanzania yetu!
Masikini Tanzania yetu!
Habari za leo zimenishutua pale niliposikia Profesor Magembe ambaye ni waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi kuwa Elimu itakuwa kuanzia darasa la...
habari zenu jamani wadau wa JF.
mimi hili jambo limenikaa mda mrefu nalichambua na kutafakari,zaidi sana linazidi kuniboa.:A S cry:
nimeangalia kampeni nyingi za siasa kama si kuona hata...
MJINI UWANJA WA FUJO,KILA MTU ANACHEZA NGOMA ANAYOTAKA!!WENYE NYUMBA MPO???
Huyu dada pichani ni mkazi wa hapa jijini Dar alikuwa kapanga huko Magomeni kwa mwaka mzima nyumba ya dada mmoja...
Ndugu wana jamii forum,ningependa kujua kulikoni gazeti letu maarufu la MWANANCHI halipatikani mtandaoni? Ama ndio wameshafungiwa? kwani tangu asubuhi najaribu kufunguwa website yao inagoma,napata...
Heshima zenu wakuu.
Naulizia kama kuana anayejua uwezekano wa underground water drilling in Moshi. Je kuna kampuni au watu binafsi wanaotoa hii huduma? Je inacost kiasi gani.
Natanguliza...
Nimefurahi tena kusikia kuwa Kiranja Mkuu kakumbushia umma kuwa hahitaji kura zetu....nadhani kuna watu wamemuomba wampe kura, sasa yeye kasisitiza jana mwanza kuwa hahitaji kura zetu za...
Ile kampuni giant na kongwe ya simu nchini, imeuzwa na vodafone wanatake over, huku upande wa operations L-link watakuwa wakisimamia
wafanyakazi wameshaanza kupewa barua, ila haijulikani kama...
Jamani kama mtakuwa mnachunguza siku hizi maoni kwenye Michuzi Blog yamepungua sana labda kwa asilimia 70 hivi. Michuzi blog ilikuwa ndio sehemu ya kupata maoni mengi kwa issue mbalimbali za...
Tuesday, 26 October 2010 12:35 Gazeti la Mwananchi0diggsdigg
Vitabu vya Historia darasa la nne ambavvyo maelezo yake yanakanganya wasomaji.kulia ni ushahidi kuwa kitabu hiki kina baraka zote...
Jamani nimependa sana Verse za Marehemu Lucky Dube, hasa kipindi hiki, hebu someni na nyie, hio verse nyekundu ndo nzuri
Those that smoke marijuana
Wanna thank you, Father
For making it grow...
BA Launches Dar-Joburg Flights
Posted on: Mon, 25 Oct 2010 11:43:14 EDT
Symbols: BAIRY
Dar es Salaam, Oct 25, 2010 (Tanzania
Daily News/All Africa Global Media via COMTEX) -- BRITISH...
Source: Gazeti la...Ukweli na uwazi
Na Haruni Sanchawa
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Saidi Mwema na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Lewis...
Nilisikia kwenye redio moja ya bongo kuwa wakristu wa madhehebu yote watafanya ibada ya pamoja kuombea amani uchaguzi mkuu siku mbili kabla ya 31 Oct. 2010. Sasa sijui na dini nyingine watafanya hivi?
Wakati Rais akipigia kelele uhuru wa vyombo vya habari na maadili yake yafanye kazi kwa haki na upendo , kuna baadhi ya waandishi na wamiliki wa hivi vyombo vya habari viko mstari wa mbele katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.