Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Habari za asubuhi wana JF, samahani naombeni mwenye kufahamu code hii ni ya nch gani, +161....... nimejeribu kutafuta ktk google nimechemka, kazi njema
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi karibuni nilishinda TZS 1,000,000 kwenye vocha kwaruza ya TIGO sasa nikaenda TIGO customer care centre pale opposite na Posta House, Ohio Street cha kushangaza wakasema hawawezi kushughulikia...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Jamani naombeni msaada. nataka kujitoa kwenye SMS kutoka SIMBA SPORT CLUB kutoka namba 15556. Naona sasa wanafanya mchezo kwani wananitumia SMS fupi fupi ambazo zinaweza kuwa moja. Naona kama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naamini kuna wana JF ambao ni wataalamu wa Hali ya Hewa Jamani.Juzi nilikuwa Shinyanga yaani Joto ni Kali kuliko Maelezo na Sasa Nipo Mtwara natamani Kuhamia Baharini. Nini Kinaendelea na Je Nchi...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Tanzanite's Child Labor Mererani in northern Tanzania is the only place on earth where the precious stone tanzanite is mined. Every day thousands of children risk their lives in poorly...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nilikua naangalia taarifa ya habari ya ITV nikajikuta nimepatwa na hasira sana. siku zote najua jk brain yake haipo ok ila leo kadhibitisha asilimia mia kuwa there is a nut missing. yaani...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Katika hali ya kushanganza chuo kikuu cha Dar es salaam kimewatangazia wanafunzi wanaotarajia kujiunga na chuo hicho kuja kuchukua admission letters kuanzia jumatatu ya leo (Tar. 18/10/2010)...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jana 18th oct 2010 kimetokea kisa kimoja ktk shule ya uhuru mchanganyiko dar es salaam, ambapo wanafunzi wa darasa la nne zaidi ya 30 walivuliwa viatu. Kiasa cha kuvuliwa viatu kwa wanafunzi hao...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani naomba tafakari ya picha hii Sasa na hii ndio kiboko ya yote
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimesikia taarifa ya habari ya saa saba mchana huu Radio TBC ikieleza kuwa kuna watu wamekamatwa leo ktk Bus litokalo Dar-Mtwara wakiwa na vifaa haramu vinavyotumika kutengeneza mabomu ya mkono(...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Thousands of climbers are risking their health by emulating celebrities who have scaled Mount Kilimanjaro, scientists are warning. Top of the world: Office worker Julianne McGregor...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
NINATAKA KUTOA MAONI YANGU KWA KUTUMIA TU UHURU WANGU WA KUTOA MAONI. NINYI MASHABIKI WA CHADEMA MSIJE KUNISHAMBULIA NI USHAURI WANGU. 1. Kwa kuwa Sheikh Yahya aliahidi kutoa ulinzi wa majini kwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Dhahabu yafumka Matombo na Joseph Malembeka, Morogoro ENEO la Matombo, wilaya ya Morogoro Vijijini limevamia na makundi makubwa ya watu kutoka sehemu mbalimbali nchini kutokana na eneo hilo...
1 Reactions
6 Replies
6K Views
CCM badala ya kumtafuta mchawi ni kwa nini tunamfuta kazi JK ambaye kabla ya uchaguzi kuanza, Makamba alidai CCM haina mtaji mwingine wa kisiasa ila JK wakati mtaji stahili ni itikadi sasa waelewe...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
By Gwynne Dyer WTH this law Israel buys an exit ticket from the family of nations,” wrote Israeli journalist Nahum Barnea last week in the newspaper Yedioth Ahronoth. “The proposed loyalty...
0 Reactions
0 Replies
875 Views
Source: http://vijana.fm/2010/09/28/tunawasilisha-tzelect-chombo-cha-ushahidi/ Vijana FM inatumia Crowdmap, chombo kilichojengwa na Ushahidi, kukusanya taarifa, mawazo na uzoefu wakati wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto. Tulikuwa Mimi na Kikwete kwenye kingo ya mto mmoja mkubwa. Ng'ambo kulikuwa na kundi kubwa la watu wakisikiliza kampeni za kikwete. Kama kawaida yanke akamwaga...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kumekucha sasa si wakati wakulala ile ndoto ya cuf ya kuikamata ikulu ya zanzibar zazidi kupotea baada ya vigogo wake wawili kurudi ccm chama cha kijani chenye mvuto na ushindi wa kishindo na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwisho chali Bigbro allstars 2010. UTI (Nigeria) ashinda zile US do'z 200000/= akifuatiwa na Munya(Zimbabwe) ,Lerato (SA)
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 13 October 2010 CCM yafika mwisho wa barabara | Gazeti la MwanaHalisi KIONGOZI yeyote aliyekaa madarakani muda mrefu akianza kutapatapa, ujue mwisho wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom