Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Jamani naomba kuuliza ukweli ni upi??? juzi kati nilikamatwa na trafiki nilipita njia ni no entry pale ukitaka kuingia subway ya peuget house badala ya kuzunguka mpk holidayinn kupitia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tumeona namna JF ilivyoboreshwa na kuwa na mambo mengi zaidi. Lakini mimi kuna kitu huwa bado naona kama kinapunguza sana ladha ya JF Mosi: Mtu anaruhusiwa kupost thread nyingi atakavyo na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
jana tarehe 15/06/2010, sanamu la Yesu huko Ohio, Marekani lalipuliwa na radi! This time god takes his/her own symbol [the son] in a spectacular way, and in front of several onlookers (and...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Imethibitika pasipo shaka kuwa timu za Africa katika mashindano ya kombe la dunia 2010 ni kundi la timu dhaifu. Ukiachilia mbali Ghana iliyoshinda mechi moja kwa 'bahati' kwa njia ya penati hakuna...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
HTML{height:100%;cursor:text;} BODY{padding:3px;border:0px;margin:0px;} .PlainText,.HTML{font-family:'Lucida Console' !important; font-size: 80%;} P{margin:0em !important;padding:0em !important;}...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwanamziki mkongwe wa mziki wa dansi nchini toka nchini Kongo Kinshasa, Fredy Mayaula Mayoni (RIP) amefariki dunia siku ya 27-05-2010 huko jijini Brussels, Ubeligiji, kwa ugonjwa kansa ya ubongo...
0 Reactions
11 Replies
13K Views
Raia yeyote anaposhindwa kutimiza wajibu wake kwa Serikali mfano kulipa kodi n.k. Serikali hutumia vyombo vyake vya dola kupata haki yake. :crazy:Nimekuwa nikijiuliza hivi raia wa kawaida...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mtu kuangamiza familia yako sababu ya mapito ya dunia? Nazungumzia suala la mtu mmoja kuchoma nyumba makusudi kwa nia ya kumwangamiza baba yake na mama yake wa kambo, Hii ishu ilitokea siku...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ningependa kujua madu huyu yuko wapi siku hizi?......banned?.....au amedaili identity(ningejua hili kutokana na kuzoea hoja zake)
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Live streaming: http://www.wmitchell.edu/live.hotmail
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Juzi nilipita mtaa mmoja pale Sinza karibu na kituo cha daladala cha Mugabe, na kuona geti jeusi la nyumba moja lenye tangazo: "Private House, Nyumba Binafsi". Haraka nilipelekea kuwa wakazi wa...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Nimetembelea blogu nyingi kuona ipi ni bora na iliyotengenezwa kitaalamu kutoa fursa bora kwa watumiaji wake.Jamii forums nimegundua ndipo penyewe. Jf ina uvumilivu wa mambo mengi lakini inaogopa...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Hii nafikiri ilitokea siku chache zilizopita.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Maoni ya Katuni Mwaka jana lilitokea tukio baya la kuuawa kwa wagonjwa wa akili katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, baada ya mgonjwa mmojawapo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kumbe ile Ripoti Maarufu ya GAG, ya ukaguzi wa hesabu za serikali, ni barking dog only, seldom bite! baada ya kubainika kuwa baadhi ya Wizara, Mashirika, Halmashauri na Idara zinazojitegemea...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
The sight of a baby girl suckling on the breast of her dead mother changed Abebech Gobena's life forever. The year was 1980 and Ethiopia lay in the grip of one of the most devastating famines in...
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Nimeona sasa hivi katika Mlimani TV Mh. A.K. Malecela anasema kwamba anahujumiwa na magazeti,kwamba haya mambo amesema toka zamani lakini Speaker hakumsikiliza ''lakini leo wote mmeshuhudia, watu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jeshi la Polisi limethibitisha kumhoji Meya wa Manispaa ya Kinodoni Bw. Salum Londa kwa tuhuma za kuhusika kwake na uuzwaji wa maeneo ya wazi pasipo utaratibu. Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
leo nafikisha miaka 33,SIAMINI KAMA NI MIMI @nikikumbuka enzi ya kupika mchanga kwenye kikopo cha blue-band huku mkicheza mchezo wa baba na mama @nikikumbuka enzi za kucheza kombolela @nikikumbuka...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Iran providing humanitarian aid to Gaza is a provocation, believes former Israeli prime ministerial advisor and diplomat Yehuda Avner “The purpose is not to vendor humanitarian aid, but to put...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom