Flavius,yule Myahudi wa Kigiriki,alikuwa haruhusiwi kuingia Hekaluni,kwa vile alikuwa hajatahiriwa na hajabatizwa;pia kwa vile alikuwa mpenzi mkubwa wa vitu vizuri katika sanaa na...
Wadau,
SIku ya mechi kati ya Brazil na Taifa Stars, Klabu ya Yanga ilikuwa na Mkutano Mkuu wa Wanachama. Tarehe ya Mkutano huo iligongana na tarehe ya mechi kati ya Brazil na Taifa Stars...
Leo nimesoma makala murua kutoka kwa mwandishi mahiri wa gazeti la watu makini liitwalo Raia Mwema ndugu Johnson Mbwambo ,hayo makala ni somo tosha kwa wanao itakia mema nchi hii,naomba kwa wale...
Jamani wana jamii forum wenzangu nathamini sana michango yenu na ninajua ina umuhimu mkubwa katika taifa letu....ngoja niwashauri tu jambo moja...mimi ni dada na si kaka tafadhalini tafadhalini...
WATU wanaoaminika kuwa majambazi wamevamia nyumbani kwa Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Omary Yusuf Mzee na kupora gari la mwanae lenye thamani ya Sh12 milioni.
Mbali na kupora gari hilo, watu...
Taarifa za ndani zinadokeza kuwa afisa mmoja wa NSSF (Bw. Kinunda) amejeruhiwa na kulazwa hospitali ya Aga Khan baada ya kupigwa na watu wanaodhaniwa kuwa ni vibaka huko anakoishi Kimara. Kwa muda...
Ndugu zanguni bado hali ya kuachia mambo yaende hovyo inazidi kushamiri hapa TZ kwa sasa kituo cha daladala pale Mwenge kimegeuka gulio kwani sasa daladala zinabanwa na hata abiria nao hukosa...
MPs are raising questions regarding a Sh59 billion discrepancy in the Budget read by Finance Minister Uhuru Kenyatta.
Chairman of the Budget Committee Elias Mbau raised the matter, saying the...
Jana usiku nilipata taarifa kutoka kwa jamaa yangu mmoja anayeishi Rome, Italy kwamba ndugu yake wa kike aliyekuwa amemwalika kumtembelea pale Roma, alizuiliwa uwanja wa ndege wa Fumicino yeye na...
New revenue source tip-off
By Judica Tarimo
15th June 2010
Tanzanians in diaspora offer hints
Minister of Foreign Affairs and International Cooperation, Bernard Membe
Tanzanians...
Ndugu zanguni labda yawezekana wengi wanaweza kulitetea hili lakini hii ndio hali halizi
wakati watanzania wengi wanasubiri pesa za mshaara mwisho wa mwezi inasemekana
WAH WA EWURA WANAWAJUA...
Jamani sijui niseme nini kuhusu hili tangazo la Zain la kusisitiza ni sh. Moja Tu na Kibonde wa Clouds FM linavyoboa kama nini, likifika tu uwa nabadilisha channel.
Mimi nafikiri hawa Zain...
Nimekuwa nikijiuliza hivi mtu ukiwa Banned ( Kufungiwa) Unajisikiaje, naomba wale wote waliwahi kupewa Ban na Mods watueleze Experince zao hii inaweza kuwasaidia memba wengine wasichezee Sharia za...
Wageni wanaoletwa nchini kufanya kazi kama expatriates ni mbumbumbu wa kutupwa. Eti utamwona mhasibu katoka india hajui hata kazi ya uhasibu huku Cv yake inaonesha ana masters. Kunani huku...
Ndugu zangu Simon Jengo ambaye ni Mzee wa Kanisa Azani Front Cathedral,pili ni mwalimu wa kwaya kuu Azania Front, tatu yuko kwenye kamati ya maandalizi mikutano ya kiroho ya mwalimu Christopher...
Habari nzuri kwa watanzania walio nje ya nchi na wanamipango ya kurudi nyumbani
By ROSE ATHUMANI
THE government has unequivocally recognized Tanzanians of the Diaspora as among the country's...
Hivi process yetu ya kufikia bajeti ipoje Tanzania? Najua nchi nyingi kama si zote duniani bajeti ya nchi inakua swala la kisiasa zaidi. Lakini je wataalamu mbali mbali wa serikalini haswa kwenye...
Nianze kwa kumnukuu hayati Baba wa Taifa enzi za uhai wake alipata kusema hivi kuhusu chuo kikuu.
"A university is an institution of higher learning; a place where people's minds are trained...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.