Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (Sua) cha mjini Morogoro Campas ya Mazimbu, wanatafutwa na jeshi la polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kumuua mlinzi wa chuoni hapo.
Kamanda wa...
Pope blames Catholic church's own sins for child sexual abuse cases
The pontiff says church must embrace penitence, purification, forgiveness and justice in response to wave of scandal...
IMEDAIWA kuwa wanawake wengi wanaofanya biashara ya kuuza miili yao katika maeneo ya Manzese jijini Dar es Salaam ni wake za watu na imegundulika kuwa wanaagizwa na waume zao wakafanye biashara...
Waafrika mazezeta!
Mtafiti wa TEKNOHAMA na mwandishi, Ole Jørgen Anfindsen (pichani) anasema kuwa Waafrika wana akili ndogo (IQ = intelligence quotient) kuliko watu wengine duniani...
Kwa miaka mingi sasa wananchi wengi na hasa vigogo wa CCM na serikali wamejikita ktk biashara ya nyumba za kupangisha na wanawanyonga kweli wapangaji. Cha kusikitisha ni kwamba watu hawa wenye...
People who regularly put in overtime and work 10 or 11-hour days increase their heart disease risk by nearly two-thirds, research suggests.
The findings come from a study of 6,000 British civil...
Mbunge wa igunga mh r.a ameibiwa ofisin kwake na watu wasiojulikana
wenye kujua walichofanya pikipiki 50 na basikeli 50 na fulana na kalenda
zilizokuwa na picha ya shwahiba wake hussein...
'Starving yogi' astounds Indian scientists
An 83-year-old Indian holy man who says he has spent seven decades without food or water has astounded a team of military doctors who studied him...
Hali aliyo nayo Akram hivi sasa bada ya kumwagiwa tindikaliWednesday, May 12, 2010 3:55 AM
Hizi ni picha za kusikitisha za mwanaume mwenye umri wa miaka 25 wa nchini Uingereza ambaye alipewa...
Ni miaka miwili sasa tangu jengo la ushirika lilipoungua.
Cha kusikitisha ni kwamba jengo hilo lililopo katikati ya jiji limeachwa hivyo hivyo na masizi yake, bila kuzibwa waka kufunikwa, na...
Wadau, hii ni copy and paste kutoka kwa michuzi! Nimeona si mbaya tukipeana habari hii!
Nawasilisha!!
JUZI MAJIRA YA SAA SABA USIKU RAFIKI YANGU ALIKUA ANA RUDI NYUMBANI KWAKE KUPITIA NJIA YA...
Working overtime increases heart risk, a study finds
Putting in long shifts may put extra strain on the heart, experts believe
People who regularly put in overtime and work 10 or 11-hour...
Uchovu wa Mume Kitandani Wamponza
Michelle ThomasMonday, May 10, 2010 6:56 AM
Mwanamke wa nchini Marekani ambaye hakuridhishwa na pafomansi ya mumewe kitandani anashikiliwa na polisi kwa...
Nakumbuka nikiwa darasa la kwanza tulikuwa tukipewa madaftari mapya pindi la zamani likijaa
Nakumbuka tulikuwa tukipewa uji wa buluga saa nne
Nakumbuka nilikuwa nikipanda UDA saa 1 kamili bila...
yaani, mwenzenu huwa nikichukizwa na jambo, ama kutaka kujifunza mambo mbali mbali, hufungua ka kompyuta kangu na kuingia JF aaah hunifanya kucheka sana, kufurahi, na kupata amani pale ninapokuwa...
Ni wiki 2 zilizopita tu tulishuhudia hekaheka za maandalizi ya mkutano wa World Economic Forum pale Mlimani City, katika maandalizi yale kuna ile miti ilipandwa katikati ya barabara ile ya Sam...
By ROSE ATHUMANI, 10th May 2010 @ 16:09,
DAILY NEWS
THE fight against sea piracy in the Indian Ocean has taken a push with NATO ships docking in Dar es Salaam to exchange views and ideas on how...
Inasemekana kuna mvutano kwamba Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni imeuza Kiwanja cha wazi Kata ya Msasani. Wakazi wanalalamika na Mbunge wao pia anaelezea ubadhilifu kwenye mikataba ya Kuuza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.