Habarini za mchana
Jamani mimi kuna kitu kinanitatiza, nashindwa hata kuelewa. Kwa kawaida mtu unapokata ticket ya ndege as RETURN TICKET si huwa inaandika unaondoka lini na kurejea lini...
To better understand the background and environment that breeds situations of abuse of OFWs:
"It was like a bad dream" is the way one migrant worker from the Philippines summed up his experiences...
Hivi inawezekana JF kukawa na membaz ambao wako real willingly kutoa details zao?namaanisha kwamba no zao zikajulikana kwa mfano hili tatizo la Jf for these two daiz,mm niko tayari kutoa my no ili...
Leo nimeona Barua ofisini ya kukumbushia wale waliopata mkopo kwenye Bodi ya mikopo na bado hawajaanza kulipa waanze kufanya hivyo mara moja lasivyo mwajiri pamoja na mwajiriwa atachukuliwa hatua...
Kuna ujenzi unaendelea katika kanisa hili ila tatizo kubwa limekuwa ujenzi umekuwa hauendi katika speed inayotakiwa japokuwa hela ya kutosha ipo ya kazi kuendelea
Ujenzi umesimama kwa muda sasa...
Nina hakika nchi za Kiafrika na Kiarabu kwa pamoja zikikataa kufanya biashara au kuwa na ushirikiano wowote na Wayahudi haitochukua muda suluhisho la serikali mbili, yaani, ile ya Kiyahudi na ile...
Wadau wa JF,
Kwa kweli hili suala la mgao wa umeme TENA nchi nzima limenisikitisha sana. TANESCO sucks big time na uongozi wake wote. Iweje watangaze umeme utakuwa historia halaf ndani ya miezi...
Je sheria hii mpya ya uchaguzi iliyosainiwa kwa mbwembwe zote kama ilivyokuwa imeahidiwa hapo awali itaweza kupunguza rushwa katika uchaguzi na hivyo kutupatia viongozi bora? Kama hivyo ndivyo...
jerry muro akoswa risasi
habari ambazo gazeti hili ilizipata kutoka kwa chanzo chake cha kuaminika zilisema jerry ambaye alikuwa mahakamani hapo katika kesi yake anayotuhimiwa kuomba rushwa na...
If there was a time when the Church And mosque needed to pray was now! The world is worse now than Sodom and Gomorrah please rise up and pray!
Man's inhumanity to man. A bus was ambushed...
wanasiasa waongo,
madaktari waongo, wa kichwa anapasuliwa mguu na wa mguu anapasuliwa kichwa.
Wachina , Wamerekani na Warusi wote waongo,
Wanaume waongo ,
wanawake waongo,
Mashehe waongo...
Nimejaribu kufuatilia hizi NGOs zinazoanzishwa hapo Ikulu baada ya utawala mpya kuingia madarakani. Hapo mwanzo nilijua ya kwama 'Fursa sawa kwa wote" ni mali ya watanzania chini ya usimamizi wa...
GGA FUNERAL
A Tanzanian family was puzzled when the coffin of their dead mother arrived from the US . It was sent by one of her daughters. The dead bodywas so tightly squeezed inside the coffin...
Kutakuwapo na mgao wa umeme katika mikoa yote ya Tanzania Bara kuanzia saa 12 jioni hadi saa nne usiku kila siku,Kaimu Mkurugenzi wa Tanesco Stephen Mabada amesema leo.
Katika taarifa yake kwa...
Wandugu, Nahisi kuna mgao unaoendelea Tanesco kwani huku Arusha ikifika saa moja jioni matatizo! Je kwa vile Tanesco ni damudamu na CCM wanaogopa wakitangaza kipindi hiki kura hazitatosha? Vipi...
Nimesikia taarifa kuwa TBC1 wanaanzisha kipindi kitakachoitwa "Selebuka"
Kwa uelewa wangu ni kwamba wameiga mfumo wa "Strictly come Dancing" au "Dancing with the Stars" vilivyoanzia Uingereza...
Habari wakuu.
Nina rafiki zangu wanataka kwenda Matema Beach wakati wa Easter. wanahitaji kujua mengi kuhusu Matema beach, lakini pia wana option mbili, kuchukua usafiri binafsi kutoka Arusha au...
Nipo nasikiliza Jahazi kutoka Clouds FM....
Kitu sijakipenda ni namna Kibonde ametumia kipindi cha leo kusema maneno mbofumbofu dhidi ya Sugu....asili ya ugomvi ukiwa ni mradi wa Zinduka...
Mi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.