U.S. Navy rescues Tanzanian ship, nabs 8 pirates
1 hr 53 mins ago
NAIROBI (Reuters) A U.S. Navy warship prevented an attack on a Tanzanian ship and apprehended eight suspected pirates in the...
2010-02-10 12:14:00
Who are the best and worst MPs?
Spekear Samuel Sitta shakes hands with Mwananchi news editior Daniel Mwaijega as features editor Rashid Kejo looks on. Kejo and Mwaijega...
Hatimaye professor Mwesiga Baregu amesaini mkataba na chuo kikuu cha mtakatifu Augustino baada ya kuzuiliwa na serikali kufundisha chuo kikuu Dar. Habari za ajira yake zimethibitishwa na Mkuu wa...
Source: http://www.dailynews.co.tz/home/?n=7674
MAJOR General Nelson Mkisi, a former National Service Chief, died in Dar es Salaam on Saturday. He was 78.
A statement issued by the Tanzania...
If U were born on the 1st, 10th, 19th, 28th of any month U r number 1...
If U were born on the 2nd, 11th, 20th, 29th of any month then U r number 2...
If U were born on the 3rd, 12th...
Jumamosi kama ilivyo kawaida ni siku ambayo kunakuwa na harusi nyingi,bahati nzuri mimi ni mmojawapo kati ya wageni waalikuwa kwenye harusi moja kubwa ambayo niliichangia fedha nyingi kiasi...
Protests as Arusha is named world's 8th ‘worst city'
Did ‘Travel Bible' drive only on Sanawari rugged, filthy road?
By Arusha Times Reporter
It was once described by former US...
Sina uhakika kama hii kitu imeshawahi kuwa posted hapa ila nikaona badala ya kuiacha tu niiweke ila wadau waangalie....!
http://www.lshtm.ac.uk/prospectus/funding/DFID_Shared_Scholarships.htm...
Imenishangaza sanaa, yaani kile chumba cha kuchukulia mizigo kwa abiria wa ndani ya TZ pale uwanja wetu wa ndege wa KIMATAIFA HAKUNA CHOO .....!!!!!!!!!!!!!! Yaani ukibanwa na haja pale lazima...
Wanajamvi, kuna afisa wa ubalozi wetu huko uchina huwatumia(vijana wetu)email ya kuwataka wajiandikishe katika tovuti ya ubalozi huo,na asiyefanya hivyo akikosa mkopo asipige kelele.
Sasa wazee...
Bila shaka wadau wote mpo poa baada ya kuzindushwa na kujivalentainisha vya kutosha.Mimi ndugu wadau kuna kitu nimeona juu ya hili tamasha kuu na zito kitaifa,binafsi sikuona mantiki yoyote ya...
Asilimia 75 ya watanzania waliohojiwa na Shirika lisilokuwa la kiserikali linajihusisha na utafiti wa masuala ya siasa, uchumi na kijamii wameonyesha kuwa wangependa Rais Jakaya Mrisho Kikwete...
Hii thread ni matokeo ya maoni mwili matatu toka thread ya eRRy84 ktk jamii photos iliyoonyesha camera yenye umbo la silaha ndogo sijui ni bunduki, bastola au pistol maneno hayo huwa...
Wakuu naomba mnisaidie kidogo. Nawatafuta watu wafuatao hapa chini so kama kuna unaemfahamu naomba unijulishe au kama wenyewe wamo humu itakua bomba zaidi.
Alice Maimu, Leah J Malunda, Emannuel Y...
Hiyo picha hapo Rostam akimuonyesha waziri mkuu maendeleo katika jimbo lake, Napenda kuwaambia watz wenzangu tuweke pembeni chuki za ubaguzi na Wivu, Hayo mambo ndio yanayoturudisha nyuma...
Mwishoni mwa wiki iliyopita Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Salum Londa alijichukulia hatua mikononi na kwenda kulisawazisha eneo la jeshi pale Kawe Posta ili kuwapa unafuu wakazi wanaokatisha eneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.