Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wakuu, nilipojaribu kutembelea website ya hawa wadau wa habari nikakuta ujumbe huu Not Found The requested URL /daima/ was not found on this server. Additionally, a 404 Not Found error was...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Ndugu zanguni naomba kuwasilisha hoja ,kwa maoni yangu ningependa Mpoto apewe nafasi ya kutumbuiza kabla ya kuanza vikao vya CCM badala ya TOT ya Komba naamini mashairi ya Mpoto huenda...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna habari kuwa ikulu iko katika mkakati wa kutaka kumrudisha madarakani aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa Tanesco Dr. Idrisa Rashid ambaye mkataba wake ulikwisha Novemba 30 mwaka huu. Hii ina maana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi jamani naomba tujiulize ni nini kinaendelea ndani ya TANROADS? Hivi ni shirika hilihili lililofanya kazi ya kusifika chini ya DR Magufuri leo hii linasuasua? Au kuna picha inachezeka...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Closed
I wish you all my friends a happy christmass and a prosperous new year 2010. Please send same good wishes to all your friends as well.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tangu majembe na SUMATRA wameanza kushirikiana katika suala la usafiri hasa wa kwenda mikoani pale ubungo bus terminal imekuwa vurugu sana na kelo kubwa kwa abiria, Je sisi JF hatuna cha kusema...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF, Kila mwaka matokeo ya Mitihani ya Kitaifa katika ngazi mbalimbali yanapotoka huwa tunapata fursa ya kujua vijana wetu walioongoza nchi nzima katika ngazi ya darasa la saba, O Level na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
You haven’t seen real winter until you have seen this……..
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Songas gesi yetu ipo tanzania lakini kwanini wakubwa wote ni wageni? Je sisi kweli umeneja hatuwezi? -Songas Managing Director, Chris Ford - -Songas Ubungo Plant Manager, Ramakrishna 22nd...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wana Jf nimeona nilete mjadala huu hapa Jamvini. Leo asubuhi nikiwa na kunywa chai Hapa Tabaora ktk Hoteli ya MEYA,kuliibuka mjadala juu ya Dhamira ya bwana Ismail Aden Rage juu ya yeye kugombea...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mnamo mwezi wa july mwaka huu kulikuwa na zoezi la kutandika mabomba ya maji katika sehemu mbali mbali jijini la Dar es Salaam, zoezi hili la kuweka mabomba lilifanywa na wachina na kwa maelezo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
EVER WONDER WHAT SANTA LOOKS LIKE IN THE SUMMERTIME ??? . SCROLL DOWN . . . Sorta takes the joy out of Christmas, doesn't it ?!! (now that you are...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
i have received this from a friend of mine, sijui amepata wapi and thus i can not confirm the source, Kama ilishawahi wekwa hapa then mod please remove it. - wamiliki wa magari wakiyajua haya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nini mtazamo wenu ?click hiyo pic ya Dada usome kilichokuwemo.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Accident ,Accident,Accident now and then, Who said a properly trained driver is unprofitable? If the state of driver training is to be believe. Then it is time for change! Why continue the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jambo hili limenifikirisha na kunitatiza kwa muda mrefu sana jinsi gani watanzania wanavyoweza kujenga majumba ya kifahari ili hali ni watumishi wa serikali!!! Mimi ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
(Mjadada umechokozwa kule mtandao wa kwanzajamii. Nimeunasa) 22 December 2009 1 views No Comment Mdau said: Ni mchomeko tu, wadau hii imekaaje? Mzee gani anaweza akasimama na kutoa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Baada ya TANROADS Arusha kubomoa uzio wa wa hoteli ya Crest iliyofunguliwa siku kama tatu au nne zilizopita kumekuwepo na madai kadhaa kuwa Rais kakashifiwa. Wanasiasa wengine wamedai uongozi wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
<table style="width: 491px; height: 277px;" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0"><tbody><tr><td colspan="3" style="padding-left: 10px; padding-top: 5px; width: 491px;">Imani za Kishirikina...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Mfanyabiashara wa Kihindi Akamatwa na Kilo 8 za Almasi...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Back
Top Bottom