kumekuwepo na wingi wa watu wanaokwenda kusajili siimu zao kipindi hiki ambapo zoezi linakaribia kufungwa kiasi kwamba watu wanatumia muda mwingi sana na usumbufu mkubwa.nadhani watu wanatakiwa...
Habari zilizonifikia punde tuu ni kwamba askari polisi wa kituo cha chuo kikuu cha Dodoma wameleta maafa ya mama mmoja ambaye alikuwa akifanya biashara ya kuuza chakula kwa wafanyakazi wanaojenga...
Jarida la Kwanzajamii halikuonekana mitaani leo. Kwenye mtandao wa kwanzajamii.com nimeunasa mjadala wa wadau wenye kulaumu uongozi wa gazeti hilo kushindwa kulitoa mara moja kwa wiki na kulifanya...
Hard core criminal `retires`, surrenders to Tanga police
In an unusual occurrence, an alleged hard core criminal yesterday surrendered himself to the offices of Tanga Regional Police Commander...
Wadau kuna jambo limenipa matumaini, jana jioni nilipanda daladala pale posta hakukuwa na kugombania sana labda kwa wale waliozoea. Leo asubuhi hali ilikuwa pia sio mbaya, tumetumia dakika 30 tuka...
Waziri wa Nishati na Madini William Ngelleja akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu uamuzi wa serikali wa kuona busara ya kurudiwa kwa zabuni ya ununuzi wa mitambo miwili ya...
NCCR yataka wananchi Kigoma wapewe mamlaka ya kujiongoza
na Jacob Ruvilo, Kigoma
MWENYEKITI wa Chama cha NCCR- Mageuzi, James Mbatia, ameitaka serikali kuwapa wananchi wa mkoa wa Kigoma...
Kama ni imani za kishirikina hili liko dhahiri na wazi kabisa.
Kila ajali inayohusisha mabasi ya mohamed, utasikia tairi lilipasuka.
Kila mwaka wanauwa watu wengi mno ambao wamefanya kosa kubwa...
Niombe radhi kwa kutoshiriki kwa muda katika JF kwa muda,hii ni kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu,ingawa nilikuwa nasoma mwazo ya wenzangu.
sijui kama thread kama hii imekwisha...
IKIMBIENI ZINAA
Wiki ya Kwanza
Je! Unaamini ya kuwa Mungu anaweza kusema na watu kwa njia ya ndoto? Najua ni rahisi kuamini kuwa Mungu alisema na watu zamani kwa njia ya ndoto kama...
MKRISTO ANAANGUKAJE KATIKA ZINAA?
Kila mara nilipopata habari za watu wa Mungu walioanguka katika dhambi ya zinaa nilikuwa najikuta najiuliza swali hili, Hivi wanapataje ujasiri wa...
jama nimeuliza hilo swali kutaka kuelimishwa kwa wale wote wenye ufaham kuhusu hili manaa nimeona likitiliwa sana mkazo kiasi kwama bila ya huo mti basi kama haijasheherekewa.
nafasi hio...
hongera mwanahanari Jerry Muro kwa kutwaa mataji matatu, mojawapo la mwanahabari bora wa mwaka. hakika unastahili na ninaithamini sana kazi yako, kaza buti uendelee kung'ara.
Mwaka ndy huoo unayoyoyoma. hebu jaribu kufikiria ni kitu gani kimetukia ndani ya mwaka huu kilichokugusa saaana, aidha yin au yang, kizuri ama kibaya. Binafsi nachukia sana mwaka kuisha, kwani ni...
Ofisi ya waziri mkuu imetoa kwenye gazeti la Daily News la leo , kwa taarifa ya wananchi, miswaada miwili inyotegemewa kuletwa bugeni, nadhani kwa minajili ya uchaguzi mkuu ujao wa wabunge na...
Bunge letu ndio chombo mama cha kutunga sheria.
Lakini wengi wa wabunge hao sio wanasheria,
je hili ndilo linalotupelekea kuwa na sheria zenye wingi wa mapungufu?
Ilich Ramirez Sanchez (Carlos the Jackal)
ALIKUWA NI GAIDI, JASUSI ALIYETINGISHA DUNIA
WENGI WAMEMSAHAU, LAKINI MAMBO YAKE YALIITINGISHA DUNIA.
HAPA CHINI NI KIJISEHEMU TU CHA HISTORIA YA MAISHA...
Familia Nzima Wajinyonga Kukimbia Hali Ngumu ya Maisha (Read 6 times) Mwali Newbie
Posts: 3
Familia Nzima Wajinyonga Kukimbia Hali Ngumu ya Maisha
« on: Yesterday at 05:48:46 PM »
Watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.