Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

...mambo mengine tukisema ni ujinga wa mwafrika, tunakosea. Huu wizi wa vifaa vya hospitali, mfano huu wa kuiba mashine ya saratani, ni ujinga wa mtanzania. hii ni Inside job, inayowahusisha...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
TUAMKE JAMANI TUSILALE, MAPAMBANO BADO........ Napenda kwanza kutoa shukurani zangu za dhati kabisa kwenu ninyi wanachuo wenzangu kwa mshikamano mliouonyesha kipindi chote cha mapambano dhidi ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Consumption & Corruption: Politics should be about equitable development and distribution of resources to benefit the most people. But, people are also responsible on how they affect each other...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
2009-02-05 06:40:00 MPs want heads to roll over ATCL saga By Faraja Jube, Dodoma THE CITIZEN The Government yesterday came under pressure from MPs to take a decisive action against...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pikipiki kuwakaanga viongozi CCM Arusha Mussa Juma, Arusha KAMATI ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) mkoani Arusha, imependekeza zichukuliwe hatua za kinidhamu dhidi ya viongozi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
I have written a "couple" of letters to some human rights group and a couple of foreign envoys suggesting to them that their respective countries should offer political asylum to Tanzanian...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Akubali kurusha Ndege mbovu za ATCL, Akubali kununua Ndege Mbovu Aokolewa na Waziri wa Kilimo Mramba hatimae anena Zitto: wahusika waliofikisha hali hii lazima waadhibiwe, Kwanini viongozi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kila Jumapili ya Tatu ya mwezi wa Tano watu wote ulimwenguni huwasha mishumaa kuwakumbuka waliopoteza Maisha kutokana na UKIMWI/AIDS.Serikali za Nchi nyingi sana zimeifanya siku hii kuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Meneja wa Shoprite kizimbani kwa kuwafungia chumbani wafanyakazi RAIA wa Kizungu, ambaye ni Meneja Mkuu wa duka la kuuza bidhaa za kusindika maarufu kama Shoprite, amefikishwa kizimbani...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
interview with Erik van Veen. He is the Chief Commercial Officer of MTN Uganda one of the continental telco and mobile leaders in Africa. Erik is a member of the mailing list and offered some...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kuna habari kuwa kituo kidogo cha polisi kilichopo katika jengo la stendi kuu ya moshi mjini kimeuzwa na sasa ni duka la kuuzia mikate (grocery) naomba kwa waliopo karibu na huko watupe habari kamili.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau wa JF naomba msaada wenu. Nimekuwa napata Lottery Winning Notification kutoka UK kuwa nimeshinda lottery na hivyo nastahili ku-claim fedha kibao.Always nimekuwa napuuzia kwa kufikiri ni...
0 Reactions
20 Replies
8K Views
RAIA yeyote atakayepatikana amevaa vazi la jeshi au linalofanana na vazi hilo atatumikia kwenda jela miaka 20. Rai hiyo imetolewa mjini Dodoma Bungeni na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga...
0 Reactions
24 Replies
8K Views
President Barack Obama lifted the ban on US funding for international organisations that offer advice or perform abortions yesterday, as he expanded his project of rolling back George Bush's...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Habari zaidi! Wanafunzi 140 UDSM wamejifukuzisha chuo’ Theopista Nsanzugwanko Daily News; Tuesday,February 03, 2009 @20:00 WANAFUNZI 138 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Mlimani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zilizonifikia sasa hivi zinasema kuna ajali imetokea Kimara baruti njia ya kuingilia Kituo cha Mafuta BP ( BAHAMA MAMA ) ajali hiyo imehusisha gari aina ya hiace yenye namba T74 AVJ(...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wadau kuna habari nimezipata muda si mrefu kwamba kuna vita kati ya koo ya Wairege na Wanyabisi na kuna mwanakijiji mmoja kajeruhiwa na kapelekwa hospitali. Je kuna mdau anaweza kutuabarisha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari nyingi zinazohusu ufisadi naona hazina takwimu za kuzitia nguvu. Hali hii si nzuri kwani watu wanaweza kuchafuliana majina kwa sababu binafsi. Tujenge utamaduni wa kujenga hoja zenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huyu mwandishi anazungumzia kesi ya Zombe na wenzake kufanyika Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu. Wakati kesi hii iko Mahakama Kuu na ilikuwa ikiendeshwa na Jaji Masati, manake kesi za mauaji...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hadija Jumanne na Zacharia Osanga BARAZA la Waganga na Watafiti wa Tiba Asilia nchini, wamempa miezi miwili Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kufuta amri yake ya kufungia leseni zao na vinginevyo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom