Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

(20 April 2008, Atlantic Ocean, Brazil) In 1982 Lawn Chair Larry, beloved survivor of a Darwin-worthy attempt, attached 45 helium weather balloons to his comfortable Sears lawn chair, packed a...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mkazi mmoja wilayani Mpanda mkoani Rukwa anashikiliwa na polisi kwa kosa la mauaji baada ya kumuua mtoto wake kwa kumpiga risasi akidhani ni ngedere wakati akilinda shamba lake la mahindi.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tanzania yaenda Kenya kuchunguza wafungwa Shadrack Sagati Daily News; Friday,January 09, 2009 @21:15 Serikali imetuma maofisa wake katika magereza mawili Kenya kwa ajili ya kuchunguza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mgonja fails to get court permission to see ailing mother FAUSTINE KAPAMA Daily News; Friday,January 09, 2009 @21:15 Former Permanent Secretary with Treasury, Gray Mgonja, has asked the...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimesimuliwa na jamaa yangu ambaye ni mmoja wa wahanga wa tapeli huyu! Huyu jamaa Jonh Alex ana vijiduka vitatu ambavyo hujifanya anauza vifaa vya ujenzi kutengeneza computer pamoja na mabati...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
wakuu hii sasa kali..Yaani unanunua vitu without using them!!the story is really interesting!!sijui mnaionaje maana bongo ukifanya hivi utaambiwa unakufuru au?? Shopaholic crushed to death by...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ofisa CHADEMA aporomoka na lifti ghorofani *Ni kutoka ghorofa ya kumi, ashtuka ubongo Na Joyce Magoti OFISA Habari na Uenezi wa CHADEMA, Bw. Devid Kafulila, amenusurika kifo baada...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimekuwa na kawaida kila siku kuwasiliana na ndugu na jamaa kupitia international calls. Cha ajabu leo siku ya pili jamaa zangu wote walio katika mtandao wa Vodacom nimekuwa siwapati. Nilidhani...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Mbatia amepotoka Tahariri Tanzania Daima~Sauti ya Watu TUMEPOKEA kwa masikitiko na mshtuko mkubwa kauli iliyotolewa mwishoni mwa wiki na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MHnafikiri mpaka sasa ndie waziri unaeongoza kwa kuandikwa kwenye magazeti yakinukuu kauli zako mbali mbali bila vitendo...kwa kukusaidia tu watanzania usione wamekaa kimya si wajinga wanasikia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Duh! Hi nayo ni tamu haswaaa kwa wenzangu na mimi ambao tuliumaliza mwaka 2008 tukiwa very busy na tukauanza mwaka mpya 2009 tukiwa somehow tume-delay kidogo kiasi cha kushindwa kwenda sambamba na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtandao wa Kampuni ya TiGo haufanyi kazi tokea asubuhi wana tatizo gani au mafisadi wamewaingilia kuwakwamisha kwakuwa ni mtandao wa bei nafuu watueleze mapema kabla hatujahamia kampuni...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
mara nyingi nimekuwa nikijiuliza, kikwete na urafiki wake na Rais wa Sudan, yule gaidi anayewasapoti janjawid kuwaua watu weusi wa kusini ambao wengi wao ni wakristo. matatizo mengi yametokea, na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wiki kadhaa baada ya TANROADS kutekeleza amri ya rais aliyoitoa alipokuwa akizindua barabara huko shinyanga ..ya kutaka barabara kama ya morogoro road kuanzia chalinze kuwekewa matuta,kutokana na...
0 Reactions
51 Replies
8K Views
Naomba kuuliza hili swali? Ni nini chanzo cha U-Terrorist? Kwa nini mambo hayo yanatokea? Kwa nini watu wa West na wanaosapoti mambo ya West ndio Target? Kwa nini inahusishwa na Uislam na...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Jamani Wazalendo wenzangu naomba tupige kura hapa ili tuutangaze mlima kilimanjaro kuwa upo Tanzania. Nafasi ndo hii. Ingia hapa New7Wonders: The official global voting platform of New7Wonders na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
...true or just conspiracy? naona ipo all over google Schiller Institute- Kissinger's 1974 Genocide Plan- NSSM 200-Exposed Join Food For Peace Movement
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wabunge Mtwara wakacha kikao cha maendeleo na Hassan Issa, Mtwara Tanzania Daima~Sauti ya Watu WADAU wa maendeleo mkoani hapa juzi waligeuka mbogo dhidi ya wabunge wao, baada ya kupewa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Iranian envoy appeals to Kikwete over Gaza... 2009-01-07 12:05:08 By Guardian Reporter Iranian ambassador to Tanzania Abbas Vaezi has challenged President Jakaya Kikwete, who currently...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom