Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Ally Sonda,Moshi MBUNGE wa Vunjo(CCM) Aloyce Kimaro amepiga marufuku tabia ya baadhi watu wa jimbo hilo kuishi maisha ya kuombaomba, badala yake amewataka wafanye kazi itakayowapatia kipato...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Heshima mbele wakuu wana JF world wide. Will UN troops bring peace in Africa as in Europe? Today we need to rethink about our life our society in our Africa,maana nimewaza sana na nimeumia...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wanafunzi 3 wa chuo kikuu Muhimbili wamekufa maji jana jioni wakati wakiogelea kwenye ufukwe wa Geza Ulole huko KIgamboni. Wanafunzi hao ni: Issa Kennedy MD mwaka wa nne Khatibu Mzee MD mwaka wa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kikwete avicharukia vyombo vya habari na Mwandishi Wetu Tanzania Daima~ya Watu RAIS Jakaya Kikwete, amevionya vyombo vya habari kuwa, serikali yake haitavivumilia iwapo vitajiingiza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwema akiri uwezo wa Polisi mdogo Gloria Tesha Daily News; Tuesday,January 13, 2009 @20:00 MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali (IGP), Said Mwema, amekiri kuwa uwezo wa Polisi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Uchaguzi wa Ghana umemalizika kwa wapinzani kuchukua madaraka ya kuiongoza dola ya Ghana. Uchaguzi ulikuwa huru na wa haki kutokana na maelezo ya wanasiasa na vyombo vingi vya habari. Je...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Service or Selfishness? Kitengo cha uchunguzi cha Zogby International kimeonyesha na kugunduwa kuwa asilimia 69.2 ya Watanzania are “strongly agree” that rushwa na/au ufisadi ni tatizo kubwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimekuwa nikipata mkanganyiko kuhusu matukio ambayo yanastahili kuimbiwa ubeti mmoja na yale yanayostahili beti zote mbili za wimbo wa Taifa wa Tanzania. Utakuta wakati wa tukio fulani linaimbwa...
0 Reactions
9 Replies
9K Views
Nimekutana na hizi picha mtandaoni ambazo zimepigwa hapa nchini Tanzania. Hizi picha si za kuvijunia hata kidogo. Na hili suala si lazima mtu aende darasani kujua ni makosa kumruhusu mtoto kunywa...
0 Reactions
43 Replies
8K Views
Mambo ya Bongo sasa hivi kiboko; kuna mashopingi moli kama ya mtoni, Maubungo Plaza, Mayfair Plaza na maplaza mengine mengi tuuu! Maapatimenti, mariili esteti broka, mabangaloo, na maskai skrepa...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Ambassador Inaugurates Jitegemee Secondary School January 7, 2009 Mark Green, right, the U.S. ambassador to Tanzania, cuts a ribbon during a dedication ceremony at the Jitegemee Sec. School in...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama ana-uwezo wa kuandika text message zote hizi je ana-mda wa kusoma kweli? THIS KID'S A TEXT MANIAC OMG! 14,528 MESSAGES IN A MONTH! HOLD THE PHONE! Greg Hardesty tries to pry a...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeona hii habari bandugu naweka kama ilivyo. World's first flying car set for lift-off next month Asian News International - Text Last Updated: January 11, 2009 06:00:04 London, Jan 11...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninakumbuka zamani kulikuwa na uvumi kuwa, albino hawafi, yaani wanaishi ukifikia muda wao hutoweshwa na kwenda kusikojulikana. Ilifikia mpaka watu wakawa wanabishana kuwa ni nani aliwahi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ki-moon appoints Masanche judge at ICTR NICODEMUS IKONKO, Hirondelle, Arusha Daily News; Friday,January 09, 2009 @21:15 The United Nations Secretary General, Ban Ki-moon, has appointed...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mara nyingi ukifungua tovuti ya IPP Media ukitaka kusoma gazeti la Alasiri baadhi ya habari hazifunguki... na unakupata error message "page not found". Huu ni uzembe au ndio style mpya ya...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nimekuwa nikifuatilia hii hali ya wananchi kufurahia kupewa misaada. Kwanza kuna misaada au michango inayotolewa na viongozi kama vile wabunge, mawaziri na hata Rais mwenyewe. Pili kuna misaada...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
British Airways, Virgin Atlantic now charging half of KQ fares By PAUL REDFERN THE EAST AFRICA Posted Saturday, January 3 2009 at 09:54 Both British Airways and Virgin Atlantic have...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Controversy surrounds Jangwani plot ABDULWAKIL SAIBOKO Daily News; Saturday,January 10, 2009 @20:20 Controversy surrounds the leasing of a plot belonging to Jangwani Secondary school at...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwenzetu Ben mwishoni mwa mwaka jana baada ya Noel alipata ajali ya gari huko India (New Delhi) na sasa anaendelea vema. Leo amefanikiwa kuingia JF na kwakuwa kanifahamisha juu ya kilichomsibu...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Back
Top Bottom