Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Hivi...hawa wawekezaji ni kwaajili ya JK na wenzake au ni kwamanufaa ya wasio wanachi hii ambao wanajitutumua kwa kutumikishwa bila kulipwa malipo halali, nahao waalikwa wa Sirikali ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Licha ya msongamano wa watu na foleni za magari bado ipo sifa moja kubwa ya uchafu katika jiji la Dar es salaam. Ni sifa ambayo wengi wetu huisahau katika wasifu wa jiji hili la Dar es salaam...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kampuni ya Zantel imepandisha huduma ya internet kutoka sh.50 kwa MB sasa imefika sh.120 kwa MB. Sijajua wametumia vigezo vp kupandisha gharama kwa kiasi kikubwa nilivyo wapigia cmu wanadai...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu heshima zenu! Nilishiriki kwenye mkutano fulani ambapo jamaa ambaye ana PHD kwenye engineering alitambulishwa kuwa ni Dr. J.J .. watu wakasema mbona hatumwoni akitibu wagonjwa! Ndipo...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Imetolewa mara ya mwisho: 22.10.2008 0005 EAT • Mafao EAC:Wastaafu sasa watishia kutumia makomandoo *Waonya wataadamana hadi Ikulu zote *Wataka Rais atumie uadilifu, uaminifu Na...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
John Mnyika MAKALA ya mtazamo wa Thomas Ngawaiya, aliyejitambulisha kama Mkurugenzi wa Taasisi ya Utawala Bora na Maendeleo (CEGODETA), na kuchapishwa na gazeti hili Oktoba 21, 2008 si ya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Shirika linallotambua ndoa za mashoga latua TANZANIA Katika gazeti la Tanzania la Daily News tarehe 22 October 2008 Ukurasa wa 13 Kuna shirika linaitwa PADAIDS lenye website www.Padaids.org...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mjumbe hauwawi ! Dear Satcom, Five months ago, I had a problem with the Company (SATCOM) as you could not be able to pay me when I was on my leave, and as a result I could not be able to...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Sera ya vitambulisho vya Mzanzibari mkaazi inayolenga kuwaengua wananchi kutoka Tanzania Bara kuajiriwa Zanzibar, imezua mjadala mkali miongoni mwa viongozi wa vyama vya siasa na serikali, baada...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Date::10/22/2008 Wanaorejesha fedha za EPA watajwe Maoni na Uchambuzi Mwananchi WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo amefahamisha kuwa hadi sasa kiasi cha Sh61 bilioni kati ya Sh133...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
23.10.2008 @03:35 EAT EPA cash revovery setback THE CITIZEN By Mkinga Mkinga Only Sh234 million has been recovered by the Attorney-General Johnson Mwanyika-led Bank of Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
By Martin Plaut BBC News Is the credit crisis about to send Africa into yet another downward spiral? Perhaps not. In fact it is possible that the continent could fare better than the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Periodically, e-mails warning of a scam involving calls from the 809 area code circulate. The e-mails contend that there has been fraud associated with unscrupulous pay-per-call operators in that...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Timu inayochunguza mafisadi wa Akaunti ya Malipo ya Nje (EPA), ya Benki Kuu (BoT) imesema inafanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha kazi yake kabla ya mwisho wa mwezi huu. Kwa mujibu wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
This is heavy! I hope you can watch the video. Little Kids Getting Low OR ‏this link here Kuna wazazi wameamua kuwapeleka watoto wao wakasome boarding schools wasipotoke. Mnaolea...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Hivi pale mtu anaposema kuwa 'hiyo imeingiwa na najisi' anakuwa anamaanisha nini haswa? Naomba maelezo tafadhali. Akhsanteni. "An interesting take on this seemingly-difficult subject to...
0 Reactions
4 Replies
13K Views
Alipotoka alikuja kavaa miwani meusi ya jua. Nilishangaa. Sikuacha mshangao uweke alama ya mshangao moyoni mwangu. Nikamuuliza: ' What's the matter goggles in the night?' Akanijibu:' No, no, no...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
#1: You know you aren't performing to the best of your ability We all go through slumps, bad days, even bad weeks when we just don't care, don't give it our best... but what if that week turns...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Closed
Katika mgongano wa kifikra swali jepesi kama hilo laeza kusababisha maoni mengi na ya ajabu sana. Tangia miaka ya enzi na enzi swali hilo limekuwa likipatiwa majibu tofauti kufuatana na ni nani...
0 Reactions
43 Replies
9K Views
hello, guys. i have a friend, who has a son. the son did his 'a' levels this year, and could'nt qualify for university, which is what his dad desired, for obvious reasons. so the dad told the boy...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom