Hivi...hawa wawekezaji ni kwaajili ya JK na wenzake au ni kwamanufaa ya wasio wanachi hii ambao wanajitutumua kwa kutumikishwa bila kulipwa malipo halali, nahao waalikwa wa Sirikali ya...
Licha ya msongamano wa watu na foleni za magari bado ipo sifa moja kubwa ya uchafu katika jiji la Dar es salaam. Ni sifa ambayo wengi wetu huisahau katika wasifu wa jiji hili la Dar es salaam...
Kampuni ya Zantel imepandisha huduma ya internet kutoka sh.50 kwa MB sasa imefika sh.120 kwa MB.
Sijajua wametumia vigezo vp kupandisha gharama kwa kiasi kikubwa nilivyo wapigia cmu wanadai...
Wakuu heshima zenu!
Nilishiriki kwenye mkutano fulani ambapo jamaa ambaye ana PHD kwenye engineering alitambulishwa kuwa ni Dr. J.J .. watu wakasema mbona hatumwoni akitibu wagonjwa! Ndipo...
Imetolewa mara ya mwisho: 22.10.2008 0005 EAT
Mafao EAC:Wastaafu sasa watishia kutumia makomandoo
*Waonya wataadamana hadi Ikulu zote
*Wataka Rais atumie uadilifu, uaminifu
Na...
John Mnyika
MAKALA ya mtazamo wa Thomas Ngawaiya, aliyejitambulisha kama Mkurugenzi wa Taasisi ya Utawala Bora na Maendeleo (CEGODETA), na kuchapishwa na gazeti hili Oktoba 21, 2008 si ya...
Shirika linallotambua ndoa za mashoga latua TANZANIA
Katika gazeti la Tanzania la Daily News tarehe 22 October 2008 Ukurasa wa 13 Kuna shirika linaitwa PADAIDS lenye website www.Padaids.org...
Mjumbe hauwawi !
Dear Satcom, Five months ago, I had a problem with the Company (SATCOM) as you could not be able to pay me when I was on my leave, and as a result I could not be able to...
Sera ya vitambulisho vya Mzanzibari mkaazi inayolenga kuwaengua wananchi kutoka Tanzania Bara kuajiriwa Zanzibar, imezua mjadala mkali miongoni mwa viongozi wa vyama vya siasa na serikali, baada...
Date::10/22/2008
Wanaorejesha fedha za EPA watajwe
Maoni na Uchambuzi
Mwananchi
WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo amefahamisha kuwa hadi sasa kiasi cha Sh61 bilioni kati ya Sh133...
23.10.2008 @03:35 EAT
EPA cash revovery setback
THE CITIZEN
By Mkinga Mkinga
Only Sh234 million has been recovered by the Attorney-General Johnson Mwanyika-led Bank of Tanzania...
By Martin Plaut
BBC News
Is the credit crisis about to send Africa into yet another downward spiral?
Perhaps not. In fact it is possible that the continent could fare better than the...
Periodically, e-mails warning of a scam involving calls from the 809 area code circulate. The e-mails contend that there has been fraud associated with unscrupulous pay-per-call operators in that...
Timu inayochunguza mafisadi wa Akaunti ya Malipo ya Nje (EPA), ya Benki Kuu (BoT) imesema inafanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha kazi yake kabla ya mwisho wa mwezi huu.
Kwa mujibu wa...
This is heavy! I hope you can watch the video.
Little Kids Getting Low OR ‏this link here
Kuna wazazi wameamua kuwapeleka watoto wao wakasome boarding schools wasipotoke. Mnaolea...
Hivi pale mtu anaposema kuwa 'hiyo imeingiwa na najisi' anakuwa anamaanisha nini haswa? Naomba maelezo tafadhali. Akhsanteni.
"An interesting take on this seemingly-difficult subject to...
Alipotoka alikuja kavaa miwani meusi ya jua. Nilishangaa. Sikuacha mshangao uweke alama ya mshangao moyoni mwangu. Nikamuuliza: ' What's the matter goggles in the night?'
Akanijibu:' No, no, no...
#1: You know you aren't performing to the best of your ability
We all go through slumps, bad days, even bad weeks when we just don't care, don't give it our best... but what if that week turns...
Katika mgongano wa kifikra swali jepesi kama hilo laeza kusababisha maoni mengi na ya ajabu sana. Tangia miaka ya enzi na enzi swali hilo limekuwa likipatiwa majibu tofauti kufuatana na ni nani...
hello, guys.
i have a friend, who has a son. the son did his 'a' levels this year, and could'nt qualify for university, which is what his dad desired, for obvious reasons. so the dad told the boy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.