Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Mchawi wa TRA ni wafanyakazi wake WIKI iliyopita Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), ilitoa taarifa ya kufafanua sababu zilizosababisha kushuka kwa makusanyo ya kodi kwa mwezi. Taarifa hiyo...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
hii ni hali ya kutojiamini mh makamba katibu wa chama cha majambazi nimetua toka mwanza dk kumi zilizopita mh makamba akiwa kiti cha mbele kwenye ndege ya airtanzania ,akaja mh tundu lisu mzee...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
hii ni hali ya kutojiamini mh makamba katibu wa chama cha majambazi nimetua toka mwanza dk kumi zilizopita mh makamba akiwa kiti cha mbele kwenye ndege ya airtanzania ,akaja mh tundu lisu mzee...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimepokea matokeo ya uchaguzi Tarime kwa furaha sana. Sisemi kwamba mimi ni mwanachama, ila matokeo yangekuwa tofauti hali ya amani iliyopo Tarime kwa sasa ingeharibika. Chama Cha Mapinduzi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwenu wandugu wote waliohusika kwa nia moja au njia katika mapigano na mauaji yaliyotokea kule TARIME.napenda kuwapa poleni sana za dhati kabla ya yote naomba mmjue si mpango wa mungu kuleta...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tunaifahamu FFU,ndiyo na hata police tunawafahamu.FFU wanapashwa kutuliza fujo na police kulinda mali za wananchi,kutunza amani iliyopo na kuhakikisha kwamba kila mtu anaishi kufuatana na maadili...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwako waziri pole sana kwa kukaa benchi na kujua umuhimu wa uraia!!! Pili napenda kukupa pole kwa kujitia aibu mwenyewe pamoja na kuiimarisha sekta ya wanahabari pasipokujua::: Najua wizara...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Taarifa zilizoingia sasa hivi zinasema kwamba kuna shehena kubwa ya simu za mkononi zimeibiwa uwanja wa ndege ya JK nyerere , watu walioiba simu hizo bado wanatafutwa toka mapema leo asubuhi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
A Connecticut homeowner has been busted for sending her real-estate agent to the hospital - after he unknowingly took a bite of her ginger cake made with pot, cops said. Adrian Prevalla, 28, was...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Members of public had a Moi day present along Thika Road on Friday afternoon, when a a truck full of Beer overturned scattering all the beers along the Road.
0 Reactions
20 Replies
42K Views
Our Prime Minister,Honorable Pinda was in Namibia for a state visit.He seems to have been impressed by what he saw in that country in general terms. Specifically he had time to visit the Namibian...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hakika jamii yetu inashangaza,si mkubwa wala mdogo kila kitu kutoka Marekani au Ulaya ndicho cha kuigwa.Tumeiga hata visivyoigwa.Mabinti zetu sasa wanatembea uchi kwa visingizio vya kwenda na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mawaziri wa elimu Ndg.Jumanne Maghembe na Utumishi Hawa Ghasia wametoa tamko la pamoja wakisema kwamba mgomo wa waalimu ambao utafanyika takriban wiki mbili zijazo si halali,kwa vile matatizo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Watanzania kwa bahati mbaya hatuko makini sana.Nimeshasema mara nyingi kwamba tumepoteza kabisa uwezo wa kuweza kutambua ukweli na uwongo,na uovu na wema.Sasa tunapoendelea kulalamikia ufisadi na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mabweni UDSM yalanguliwa na Mobini Sarya Tanzania Daima~Sauti ya Watu WIMBI la kuuza vyumba vya kulala wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) sehemu ya Mlimani, limeshika...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Date::9/5/2008 Rais Kikwete asema siasa basi, sasa tuendeshe nchi kisayansi Rais Jakaya Kikwete, ametoa tahadhari kuwa kuendesha mambo kisiasa hakuna tija ya kutosha isipokuwa kisayansi...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Na Mwandishi Wetu POLISI Zanzibar imetangaza orodha ya watu saba waliyokutwa wamekufa katika mazingira ya kutatanisha, akiwamo mwanamke aliyeuawa kwa kukatwa shingoni katika Mkoa wa Kusini...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
na Mwandishi Wetu KUMEIBUKA mauaji ya kutatanisha katika Manispaa ya mji wa Zanzibar ambapo katika kipindi cha wiki moja watu sita wamekutwa wamekufa akiwemo mfanyabiashara mmoja mwenye asili...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hakuna shaka kwamba hali ya Tanzania kwa sasa ni tete,kiuchumi na hata kisiasa.Takwimu tunazopewa za kukua kwa uchumi sisi lolote ni danganya toto.Haingii akilini kwamba uchumi wa nchi ukue halafu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimekuwa mkazi wa Dar kwa muda mrefu na nimekuwa nikishuhudia vipindi mbalimbali vya maisha ya wakazi wake kwa namna ya pekee. Tabia za wananchi hawa au wakazi wa Dar hazitabiliki kiasi cha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom