Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

DV-2010 Lottery Starts Soon! The DV-2010 Lottery begins at Noon EDT on October 2, 2008, and ends at Noon EST on December 1, 2008. You can visit http://www.dvlottery.state.gov...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimepata habari kwamba moja ya ndege ya kampuni ya atc huko mjini mwanza imelazimika kusitisha safari yake baada ya kupata madhara katika engine wakati ndege hiyo ilipotaka kuruka na ndege...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Matukia ya shule za bweni kuungua moto yanazidi kuongezeka nchini, jambo linalotia wasiwasi wazazi ambao wanapenda watoto wao wasome shule za bweni. Yapo matukio mengi ya shule kuungua...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Hali ya hewa katika jiji la Dar es Salaam ni ya mvua ya rasharasha. Haieleweki ndio mvua masika inaanza au nini? Kama ndio masika watu wa hali ya hewa waanze kutoa tahadhari kwa watu wa mabondeni...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
ZIPO hisia kuwa imefikia wakati wa kuchambua na kunyambua ni nini hasa wabunge wa Bunge linaloitwa la Taifa wawe wanazungumza wanapokuwa wanalipwa posho nono wakati wa vikao muhimu vya kitaifa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Vigogo TAZARA wasimamishwa kwa tuhuma... 2008-09-05 09:18:17 Na Thobias Mwanakatwe, PST, Mbeya Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara), Clement Muya na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
The road disappeared soon after it was (reportedly) constructed at the cost of Tsh. 100 million. It is one loss that the residents of Maji-ya-chai ward are not about to take lightly. According to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
LETS SING LOUD. TANZANIAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA. That is why we have a song to celebrate this.... Tanzaniaaa Tanzaniaaaa!! Nakupenda kwa moyo woooteee...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wananchi wagoma kupokea mradi wadai una harufu ya ufisadi Na Daniel Mjema, Hai Mwananchi WAKAZI wa Kijiji cha Mtakuja, jana walimweka kiti moto Mbunge wa Jimbo la Hai,Fuya Kimbita...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Maofisa BoT kutaja vigogo Mwandishi Wetu Septemba 3, 2008 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo Ni walioshinikiza kupitishwa kwa nyaraka feki MAOFISA wa Benki Kuu (BoT) ambao wanatajwa...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
NAPENDA muwasiliane na Kapteni Othamni Omari Msekeni ili kumsaidia katika juhudi zake za kuwakomboa Watanzania masikini na hasa wakulima, wavuvi na wafugaji vijijini. Bwana huyu ametengeneza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MAMBO mengi makubwa huko Amerika chanzo chake ni tafiti na ugunduzi uliofanywa na wanajeshi wa nchi hiyo. China, Russia, Korea na Japan hali kadhalika sehemu yao kubwa ya maendeleo imetokana na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
...habari Kwahisani ya Globalpublisherstz.com Bi. Maua Shaha (kushoto) akiunyanyua mkono wa mwanae Abdalah Mbonde, leo mchana kuwaonesha Waandishi wa Habari uvimbe unaozidi kumuongezeka kila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi hatuwezi kufanya chochote wenyewe mpaka kila kitu kibinafsishwe? Tunapenda sana kunyoosha mikono juu haraka bila kuweka mkazo wa kupambana na rushwa. Mbona wenzetu wengi wanakusanya kodi kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hotuba ya Rais aliyoitoa Bungeni tarehe 21 August, 2008
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kesi ya Lundenga Sept. 23 na Vumilia Kondo Tanzania Daima~Sauti ya watu KESI ya madai inayomkabili Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino Agency International, waandaaji wa shindano la Miss...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Je ulawiti wanaofanyiwa watoto wa kiume ni tatizo la jamii au la kisaikologia? Nimepata taarifa nisizokuwa na ushahidi nazo wa kutosha kwamba wanafunzi wa darasa la pili na la tatu katika shule...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Govt orders major traffic crackdown By Kagashe Beatus THE CITIZEN The Government yesterday ordered the police to immediately mount a countrywide crackdown on defective vehicles and...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Marafiki walimuonya Kikwete Ansbert Ngurumo MWISHONI mwa mwaka 2005, baada ya Rais Jakaya Kikwete kuingia madarakani, baadhi ya watu waliokuwa karibu naye kikazi na kifamilia walimuonya...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Kuna njama za kuwachafua zaidi Karamagi, Msabaha Peter Nyanje KWA mantiki ya kawaida, choki huwa safi baada ya kuoshwa kwa maji safi. Chombo kilicho safi, iwapo kitaoshwa na maji machafu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom