Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Howard's reign in Australia ends Staff and agencies Saturday November 24, 2007 Guardian Unlimited Prime minister John Howard today admitted defeat in Australia's general election, and...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani kwa wale watanzania tulioko US, happy thaks giving kwa kila mtu. Kwa watanzania wenzangu walioko nyumbani na sehemu zingine duniani. Kila la heri na mafanikio kwa mwaka 2007. Hii ni...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Vyanzo vyangu vya hapa USA vimethibitisha uvumi ambao kwa muda umekuwa unaendela Tanzania kuwa serikali ya marekani ina mpango wa kujenga kituo cha kijeshi cha kudumu (permanent base) nchini...
0 Reactions
72 Replies
10K Views
Hours after Pakistani President Gen. Pervez Musharraf cleared the final legal hurdle to being re-elected to a third five-year term, the 53-nation Commonwealth on Thursday suspended Pakistan from...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kweli nakubali kwamba sisi ni masikini sana na ili vyombo vya habari vijiendeshe vinahitaji fedha ambayo inatokana na matangazo,kinachoniudhi na kunikwaza ni pale ambapo unaangalia TV mara...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
It is with deep regret and sorrow that we have to inform friends and the wider Pan-African community that our father M.W. Kanyama Chiume passed away peacefully last Wednesday, November 21, 2007...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
ANGALIA HII EMAIL MWANDISHI ANASEMA IMETOKA CNN NEWS , AMETUMA EMAIL YA KUMKASHIMU MWINGINE KWA MAKUSUDI KABISA JAMANI HII NI HAKI KWELI CNN NEWS <computer20067@yahoo.com> wrote: Date: Wed...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Dumb Tanzania? Adam Lusekelo Daily News; Wednesday,November 14, 2007 @00:01 Adam Lusekelo WE are getting to be quite a nation of great pretenders. I am not surprised that nearly all...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani kuna picha nimeiweka hapa chini nisaidieni kuibandika (mimi sijui kubandika picha JF) Ukiangalia hiyo barabara na hayo magari kweli unaweza kuikana hata nchi yako. Hivi kweli maisha bora...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Howard election campaign hit by dirty tricks scandal See the fake leaflet (pdf) Barbara McMahon in Sydney Thursday November 22, 2007 Guardian Unlimited The husband of the Australian...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Poll Poll
Kila siku tunalia hali ngumu ya uchumi,mara vigogo wanaiba fedha ya nchi yet tunawafahamu hata kwa majina mmojammoja lakini najiuliza inakuwaje wakati wa uchaguzi tunawachagua hao hao tunaowaoita...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Serikali imeiagiza Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) kuzifanyia uchunguzi wa kina asasi zisizo za kiserikali (NGO`s) zinazosamehewa kodi kwa kuwa baadhi yao zinafanya biashara. Aidha, imeiagiza...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Inasikitisha sana kuona Kampuni hii yenye dhamana ya moja kwa moja na maisha ya watu imeweza kukiuka maadili yake kwa kiwango cha juu sana. Nimeona niweke hii thread hapa JF ili tuijadili maada...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwa muda sasa nimekuwa najiuliza uzuri wa CCM kumpa heshima huyu Seif . Kapewa mafao yote na ulinzi nk .Najua haki hizi ni zake tangia mwanzo hata kama alikuwa upinzani lakini kwa CCM na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Aibu tupu Dodoma 2007-11-07 15:40:07 Na Mary Edward, Dodoma Licha ya kinyang`anyiro cha uchaguzi wa Chama cha Mapinduzi CCM, kumalizika salama, lakini aibu zilizotokea huko zimebaki...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Madaktari watimuliwa SAKATA LA MOI na Lucy Ngowi Tanzania daima SAKATA la upasuaji tata katika Taasisi ya Mifupa na Tiba Muhimbili (MOI), limechukua sura mpya baada ya mgonjwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama uko UK una access na Channel 5. Kuna programme ya Blood Diamonds kwa muda wa saa nzima imeaanza 2000Hrs. Worth watching, you never know....
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni hakika kuwa CCM imepoteza mwelekeo. Viongozi na makada wake. Nimekata tamaa kiasi cha kuombea waondolewe madarakani haraka. Sina shaka na vyama shindani vya CCM, japo ni vichanga lakini...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Je tumefika mahali ambapo tulitaka kufika kama Taifa? Je hapa tulipo ndipo wazazi wetu waliposimama kulilia uhuru na kuwa Taifa walitarajia ndipo tungekuwa? Je hapa tulipo ndipo kwa haki yote...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Nakuja na habari hii ambayo inasikitisha sana lakini chanzo chake ni uongozi mbaya na rushwa kutawala Musoma na kulindana kuanzia Mkoani hadi Wizarani. Ndugu zangu, nimekuwa katika hospitali hii...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Back
Top Bottom