Miongo 4 iliyopita Tanzania imeshuhudia vyama vya siasa vyenye ushawishi mkubwa ndani na nje ya nchi,vikiongozwa na viongozi wasomi Mfano TLP chini ya Mrema Na CuF chini ya Mwenyekiti Prof Lipumba...
#VIDEO: Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kupatikana kwa Vincent Massawe (Bwana harusi) ambaye taarifa zake zilisambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba amepotea siku...
Ujumbe kutoka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) na Shirika la Nyumba la Zanzibar (ZHC) umetembelea miradi mitatu ya kimkakati inayotekelezwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC.
Ziara hiyo...
Kila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?
Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja...
Sijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.
Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.
Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.
Sasa sijui walikuwa wanamlenga...
ikitokea Umemleta demu ghetto ukidhani atakaa siku moja mara ghafla anakata wiki nzima, hujakaa sawa anafuata kwao mabegi na baadhi ya vyombo, mara ghafla anaanza kukuuliza mtoto wetu wa kwanza...
Baada ya Shirika la ndege la Tanzania (ATCL) kupigwa marufuku kukanyaga anga la Ulaya, mimi binafsi nimefurahishwa na hoja nzuri za kizalendo zilizotolewa na Watanzania wengi. Wengi wao wanalaani...
Hakuna jambo jema kama kufanya kazi ya halali hapa duniani na haijalishi iwe na hadhi gani, bali kikubwa ni halali na inakidhi mahitaji yako hata kwa kiasi fulani
Na kamwe usijisikie mnyonge kwa...
Mimi ikitokea nimepata tatizo napata msaada na support kubwa sana kutoka kwa wanawake. Hata kipindi nasoma wasichana walipenda kushirikiana na mimi katika discussions na walinisaidia materials...
Ulimhola!
Juzi nimepanda basi la kwenda makete, nimepiga zangu pamba kali, chini nimevaa raba za bei mbaya, miwani na earphones.
Safari ikaanza vizuri, AC inapuliza taratibuu huku mwendo wa basi...
Kampuni ya simu ya Telecom inayomilikiwa na serikali ya Namibia imeshambuliwa na wadukuzi na kusababisha uvujaji wa taarifa nyeti za wateja.
Vyombo vya habari vya ndani vimeripoti kuwa wadukuzi...
Kizazi hiki kinakutana na changamoto nyingi lakini yafuatayo ni mambo machache yanayoharibu maisha ya vijana wengi hapa nchini
°Ulevi wa pombe
°Uvutaji sigara, bange na dawa za kulevya
°Ngono...
Habari wadau..!
Siku za nyuma nilikuwa kama naona nafasi za kujiunga usalama wa Taifa zikitangazwa sijuhi ni kweli au zilikuwa feki?
Je hawa TISS ni vigezo gani vinavyotumika mpaka mtu akaajiriwa...
Kuna upungufu mkubwa wa walimu kwenye shule za umma
Nina mdogo wangu anasoma PCB huko Mwanza anasema haijawahi kumwona mwalimu wa Physics na Chemistry shuleni Toka mwezi wa 7
Mfano
Nilifika...
Naombeni audio ya hizi nyimbo;
1. Leonore ya Bokilo
2. Lala salama Chiku ya Zahir Ali Zorro
3. Selina ya Muhidini Ndolanga
4. Nawashukuru wazazi ya nani sijui lakini Ndolanga yumo.
MCB, benki ya kanisa langu pendwa Katoliki, lakini kitendo mnachonifanyia sasa ni cha kihuni kabisa. Mlisema nikiwa mahali ambapo hakuna tawi la Mkombozi naweza kuweka hela kupitia TPB.
Pesa...
Wewe mtoto kumsaidia mzazi wako nu wajibu wako na kumsaidia ndugu yako ni uamuzi wako sio lazima ila mzazi wako ni lazima mzazi ni haki yake kuhudumiwa na mtoto au watoto wake soma hii
The...
Ukisikia bangi inaumhimu wake fanya Kazi ya mochwari usivute bangi utaelewa !
Uhalisia wa mochwari sehemu ya kwanza
Hapo zamani kazi ya Mochwari attendant ilikuwa siyo ya kusomea (Sauti ya mzee...
Salam wadau.
Naomba kufaham Shirika la ndege lenye bei nafuu kwa trip ya Dar es Salaam kwenda Dubai. Shirika hilo likiwa na huduma ya VISA itapendeza zaidi.
Naomba kuwasilisha wadau
Habari za wakati huu
By nature mimi ni mkimya sana,napenda sana kukaa mwenyewe na huwa nafeel comfortable sana, sipendi kuongea sana ila nikimatch na mtu ni mtu wa kucheka na kuongea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.