Korea kaskazini imeeleza kwamba ndege za Marekani zimefanya zoezi la kutaka kuwashambulia kwa kushtukiza (surprise strike drill).
B1-B bomber
Marekani imerusha ndege zake B-1B zenye uwezo wa...
Wakati mapambano dhidi ya virusi vya Corona vilivyoua Watu 304 China yakiendelea, Serikali ya China imetangaza mlipuko mpya wa homa ya mafua ya ndege yanayosababishwa na kirusi cha H5N1, kuku 4500...
Rais wa Marekani Bw. Donald Trump leo ametangaza mpango mpya wa amani ya Mashariki ya kati baina ya Israel na Palestina.
Katika mpango wake huo ambao ameuita "Deal of Century" Trump amesema...
Daaaah ugonjwa ni kitu kibaya ndugu zangu haswa huo unaokula umati
Nchi haizalishi inakua busy kuhudumia mamilioni ya wagonjwa yaani unakua busy tu kupambana na ugonjwa
Yaani hadi nimeionea...
Kesi inayohusu uchaguzi wa Rais nchini Malawi iko hewani AZAM TV channel 0381 TIMES TV, kesi hii ni funzo kwa wanasheria, tume ya uchaguzi na wanasiasa wa Tanzania, siyo ya kukosa kuangalia...
Serikali za Uganda na Rwanda, Jumapili zilikubaliana kubadilishana wafungwa, katika juhudi za kupunguza uhasama baina yao, baada ya kushutumiana kwa mda mrefu na kufanyiana ujasusi unaotajwa na...
Hawa jamaa akili zao wanazijua wenyewe! Yaani wanatengeneza bendera za Marekani, Uingereza, na Israel purposely kwa ajili ya kuzigawa kwa supporters wa Serikali ili wazichome hadharani kwenye...
Rais wa Mamlaka ya Palestina Mahmoud Abbas amesitisha mahusiano yote na Marekani na Israel, yakiwemo yanayohusiana na usalama, baada ya kuupinga mpango wa amani ya Mashariki ya Kati uliopendekezwa...
Mkuu wa CIA nyuma ya mauaji ya Soleimani na yeye auliwa katika ndege iliyodunguliwa huko Afghanistan.
Vyanzo vya ujasusi vya Urusi vimedai kwamba Michael D'Andrea, Mkuu wa shughuli za CIA nchini...
Kwa wale mnaofuatilia case ya Trump kuondolewa madarakani .Senators voted no witness kwa hiyo wanakura za kutosha kutomhukumu Trump na kumuondoa .Kwa Democratic Party na media ni kilio maana...
Unajua buana kujifanya fanya na kujimwambafy sometime kuna faida ila sometime unaweza umbuka,..sasa china jeur zote hzo ..kua mnamfukuzia Mmarekan nyuma nin nanini..kudindishiana kila siku na...
Ule ukuta maarufa Kama Trump's wall border waezuliwa na upepo leo... Safari hii sidhan kama ni wamexico watalipia hii hasara iliyotokea
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais wa Nigeria ameunda tume ya kuchunguza kuhusu taarifa iliyotolewa na Marekani kuwa nchi hiyo inakiuka haki za Binadamu na kwamba Itawekewa vikwazo vya raia wake kutoingia Marekani.
Kwa mujibu...
Waanajeshi wa Marekani walioumia ktk shambulio la mako,bora ya balistic ya Waajemi huko Iraq imefikia 64 kwa taarifa ya jana Ijumaa, 31 January 2020. Hiyo inajiri baada ya idadi kuwa yabadilika...
A nurse wearing a protective suit and face mask treating the sick in Wuhan has claimed that 90,000 people have already been infected by the coronavirus in China – far more than the figure of just...
An American film that was shown in 2011 speaks of a Coronavirus-like virus that begins spreading from China to spread to the rest of the world!
The strangest thing is that at the end of the movie...
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imesema itaendelea na kazi zake bila kuogopa baada ya Marekani kutishia kuwashtaki majaji na maofisa wake endapo raia yeyote wa Marekani atashtakiwa kwa...
Tensions between U.S. and Russia military forces over gaining control over key oil fields in northeastern Syria are intensifying, as American troops on Sunday blocked a Russian convoy trying to...
US President Donald Trump is set to be acquitted in his impeachment trial after senators voted against calling witnesses or admitting new evidence
Senate will vote on Wednesday 5 February on...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.