Senator Mitt Romney, ambaye pia alikuwa mgombea Urais wa Marekani mwaka 2012 akichuana na Barack Obama amefanya tukio la ajabu sana kwa historia ya siasa za Marekani, baada ya kupiga kura pamoja...
Shirika la habari la serikali ya Syria, SANA, limeripoti mapema Alhamisi kuwa Israel imeshambulia maeneo kadhaa karibu na mji mkuu Damascus huku shirika hilo likidai kuwa mifumo ya ulinzi wa...
The MERS Coronavirus (MERS Co-V) emerged in 2012 and continues to cause illness and death.
It has been compared to SARS, which caused a pandemic more than 10 years ago, and public health...
Vyombo vya habari vimeripoti kwamba kwa askali askari 15 wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamejeruhiwa vibaya wakati wakifanya majaribio ya silaha.
Kwa mujibu wa habari hiyo, askari hao...
Majeshi ya Russia na Syria yamefanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika Bandari ya Tartus ya Syria katika pwani ya Bahari ya Mediterranea.
Alexander Yuldashev, Kamanda wa mazoezi hayo ya pamoja...
Baada ya Uingereza kujitoa rasmi katika Umoja wa Ulaya tarehe 31 ya mwezi uliopita wa Januari, filihahi suala muhimu yaani mazungumzo baina ya London na Brussels kuhusiana na utambulisho na muundo...
Wadau habari zenu.
Zipo taarifa kwamba uchumi wa dunia unadhibitiwa na 1% tu ya watu wa dunia.Na katika hiyo 1%,inasemekana familia ya Rothschild, hasa Jacob Rothschild inamiliki 99%, ambayo ni...
Aman iwe nanyi wakuu
Naomba kuijua kura ya turufu ambayo ndo nasikia huwa ina amua nani awe rais hata kama wananchi hawaja mchagua
Je kura hiyo huwa inapigwa na nan na akina nan
Nawasilisha...
Ambao mpo kwenye mitandao ya kijamii,youtube au sky news Rais wa marekani yupo live kuzungumzia mgogoro wa Marekani na Iran.
Pia kama una tv unaweza kuangalia CNN,Aljezira .
Tupeane updates...
justices Healey Potani, Mike Tembo, Dingiswayo Madise, Ivy Kamanga and Redson Kapindu
Hawa ni Majaji wa Mahakama ya Kikatiba waliobatilisha matokeo ya Uchaguzi wa Rais hapo jana
Uchaguzi huo...
Wadau.
Wajumbe Seneti Wamehitimisha Kesi Ya Matumizi Mabaya Ya Madaraka na Kulizuia Bunge Kutekeleza Majukumu dhidi Rais Donald Trump kwa kupiga kura ya Kumuondolea Mashtaka hayo.
Shtaka la...
Uongozi wa jimbo la Wuhan mji ambako mlipuko wa Virusi vya Corona ulianzia kule China wametakiwa kuripoti kila siku joto lao la mwili ili kuangalia kama kuna mtu mwenye maambukizi ya virusi vya...
Three people have died after a passenger plane skidded off the runway and broke apart while landing at Istanbul’s Sabiha Gokcen airport, Turkey’s Health Minister Fahrettin Koca said Wednesday...
Chama cha Democratic kimeshindwa kuonyesha weledi katika kuendesha uchaguzi baada ya mfumo wao wa uchaguzi kushindwa kutoa matokeo kwa wakati na kusababisha watu wazue ni kwa sababu mgombea anaye...
Leo nimesoma sehemu jinsi Urusi na India zilivyokubaliana kuuziana Mfumo wa Ulinzi S 400 kwa gharama ya US Dollar Billion 5.
Nikilinganisha na hela yetu ni kama Trillion 11+. Hapa nikilinganisha...
Baada ya kufanyika jana kwa kwa uchaguzi katika jimbo la IOWA huko Marekani kwa nafasi ya mgombea urais wa chama Democrat katika uchaguzi mkuu mwaka huu mpaka sasa matokeo hayajatangazwa.
Je kuna...
Madam Speaker, Mr. Vice President, Members of Congress, the First Lady of the United States, and my fellow citizens:
Three years ago, we launched the great American comeback. Tonight, I stand...
Shirika la habari la taifa la urusi limeripoti kuwa rwanda na urusi zipo kwe mazungumzo ya kushirikiana kwenye nyanja ya tenolojia za kijeshi na kwamba tayari urusi ipo kwenye majadiliano ya...
Comical footage shows a group of revelling Brexiteers attempt to burn an European Union flag during Brexit Day celebrations - but fail "due to European fireproofing regulations".
The group try to...
Wabunge nchini Burkina Faso wamepitisha kwa kauli moja muswada utakaowezesha raia wa kupewa silaha ili kupambana na makundi yenye ya waasi.
Muswada huo ambao sasa unasubiri kutiwa saini na Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.