International Forum

News and Stories from rest of the World
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesema upo uhusiano kati ya mabadiliko ya hali ya hewa na nzige waliovamia nchini Ethiopia na katika eneo la Afrika Mashariki. Guterres...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kukombolewa Khan Tuman; ushindi muhimu nchini Syria Jan 31, 2020 11:59 UTC [https://media] Vikosi vya jeshi la Syria vimelikomboa eneo la Khan Tuman katika operesheni za kuyatimua makundi ya...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Dar es Salaam. Siku mbili baada ya Bunge la Seneti kumuondolea mashtaka yaliyokuwa yakimkabili Rais wa Marekani, Donald Trump amewafukuza kazi maofisa wake waandamizi wawili waliotoa ushahidi...
1 Reactions
52 Replies
5K Views
Wizara ya Ulinzi nchini Marekani (Pentagon) imetahadharisha juu ya ongezeko la kujiua maafisa wa jeshi la anga la nchi hiyo. Katika indhari mpya ya Pentagon kuhusiana na ongezeko la kujiua askari...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Mwanajeshi huyo ameingia eneo la madukani huku akiwa na bunduki iliyojaa risasi, akaanza kumiminia kila yeyote bila kujali nini wala nani, na mpaka sasa wana usalama wanapambana naye... A Thai...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Baada za kupamba moto mivutano baina ya Moscow na Ankara kuhusiana na hali inayotawala huko kaskazini mwa Syria, Rais wa Uturuki ametangaza kuwa, nchi yake haitambui rasmi suala la kuunganishwa...
2 Reactions
29 Replies
4K Views
Leo ule mchakato wa uingereza kujitoa umoja wa ulaya unakamilika rasmi na hivyo rasmi uingereza haitokuwa mwanachama wa ulaya ifikapo saa nane usiku kwa saa afrika ya mashariki. BBC inaripoti...
6 Reactions
24 Replies
3K Views
Nimefuatilia changamoto inayoikumba China katika kukabiliana na virus vya Corona nikajiuliza hivi hii ingetokea hapa kwetu ingekuwaje. Ninavyoamini China ni kati ya nchi iliyoendelea sana katika...
1 Reactions
5 Replies
993 Views
NA MOHAMMED ABDULRAHMAN Suala la Libya bado limetugawa wengi. Tukijiuliza nini suluhisho, nini mustakbali wa taifa hili. Majuma machache Yaliopita, viongozi wa karibu nchi 12 na Wakuu wa Umoja...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Salaaam wakuu Kuna tetes kwamba china imepeleka ombi mahakaman kuomba wapewe ruhusu ya kuwachoma sindano ya sumu wote walio athirika na virus vya corona coz wameshindwa kuvizuia kusambaa na iyo...
1 Reactions
54 Replies
7K Views
Rais Donald Trump amewafuta kazi maafisa wawili waandamizi waliotoa ushahidi dhidi yake katika kesi ya kutokuwa na imani naye iliyokuwa inamkabili. Balozi wa Marekani kwa Muungano wa Ulaya...
1 Reactions
6 Replies
974 Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege la Qatar Airways amesema kuwa, shirika hilo liko katika mazungumzo ya kununua asilimia 49 ya hisa ya shirika la taifa la uchukuzi la RwandAir. Kununua hisa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kikosi cha Jeshi cha Anga za Juu cha Marekani ambacho ni tawi jipya la Jeshi la Marekani kimefanya jaribio la kombora la balistiki la Minuteman III. Kikosi hiki cha masuala ya kijeshi katika...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Kiongozi wa Al-Qaeda katika Rasi ya Uarabuni AQAP ameuawa na vikosi vya Jeshi la Marekani. Rais wa Marekani Donald Trump amethibitisha. Qasim al-Raymi, ambaye ameongoza kundi hilo tangu mwaka...
1 Reactions
40 Replies
5K Views
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani, WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus ameonya kuwa ulimwengu unakabiliwa na uhaba wa vifaa maalum vya kufunika uso pamoja na vifaa vingine vya kujikinga na virusi vya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Rais wa Malawi, Peter Mutharika amekosoa uamuzi wa Jumatatu wa Mahakama ya Kikatiba kuwa ulikuwa wenye kujaa dosari ambazo zilipaswa kurekebishwa. Akizungumza kwa mara ya kwanza tangu kutolewa...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuanzia leo nakuendelea nitakuwa nawaletea majina ya mataifa ya Afrika alphabetically na historia ya waasisi wa mataifa hayo. 1.ALGERIA. Ahmed Ben Bella alizaliwa 25 Dec 1916 alimuoa Zohra...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Serikali ya Rwanda inajadiliana na Qatar Airways kuwauzia hisa 60% ikiwemo kuwauzia na uwanja wa ndege. Hii imekuwa faida kwa Qatar kwani Kuna njia hawaruhusiwi kupita Ila RwandaAir wanaenda...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
The endangered pangolin may be the link that facilitated the spread of the novel coronavirus across China, Chinese scientists said Friday. At least 31,000 people have been infected and 630 killed...
0 Reactions
3 Replies
871 Views
Wachimbaji wawili wa dhahabu wamekufa na wengine karibu 20 wamenaswa chini ya ardhi nchini Zimbabwe baada ya miamba ya migodi nchini humo kuporomoka. Watu hao walikuwa wakifanya kazi kinyume cha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom