Idadi ya vifo kutokana na maandamano ya vurugu katika jimbo la mashariki mwa Indonesia la Papua imeongezeka hadi 24, huku wengine 72 wakijeruhiwa.
Mamia ya waandamanaji waliokasirika siku ya jana...
Rais wa Iran ameonya kuwa vikosi vya nje vinatishia usalama wa eneo la Ghuba, baada ya Marekani kusema inatuma wanajeshi katika eneo hilo.
Hassan Rouhani amesema vikosi vya nje siku zote...
SEPTEMBER 25, 2019.
Prime Minister Benjamin Netanyahu has another chance to form a government after failing to do so following the April election.
President Reuven Rivlin formally gave Netanyahu...
Haya ndio madhara ya hawa jamaa zetu Wazungu kujifanya kila mtu na hamsini zake hata kama mnaishi nyumba moja. Jamaa kaoza ndani ya bweni kwa miezi miwili bila Wanafunzi wenzake kufahamu ila...
Hii ni Interview ilifanyika mwaka 1989 kwenye kipindi cha Oprah Winfrey, mwanadada wa Kiyahudi akikiri wazi kuwa katika sect yao wanaabudu shetani na huwa wanawatoa watoto kafara kwa ajili ya...
Nchi ya Indonesian ndio nchi yenye idadi kubwa ya waislam duniani ila imeushangaza ulimwengu kwa maandamano ya kupinga sheria Mpya ya ndoa na mahusiano ,
Sheria hiyo inakataa kufanya mapenzi...
Mahakama ya Frankfurt imetangaza kuwa mning'inio (hangover) ni ugonjwa na ni kinyume na sheria Nchini humo kudai vyakula au virutubisho vinaweza kuponya ugonjwa
Kesi hiyo ilimuhusisha 'Mtengeneza...
Wana jukwaa habari za majukumu ya kila siku?
Nimeona niweke mjadala huu ambao unalenga Utawala wa sheria pamoja na majukumu ya washauri wa Rais.
Mafanikio yoyote ya uchumi duniani yanategemea...
Huyu jamaa ni mkorofi sana,
Kaenda na mabaki ya ndege ya Irani ambayo haina rubani (Drone) akamuuliza waziri wa Iran kama anaikumbuka na akasema ni lazima aikumbuke kwasababu ni yao. Akatuma...
Watoto wachanga nane wamepoteza maisha, baada ya moto kuwaka kwenye Wodi la wazazi eneo la Mashariki mwa Aljeria usiku wa kuamkia leo.
Taarifa iliyotolewa na kamanda wa kikosi cha zimamoto na...
Harare, Zimbabwe.
Wakati mwili wa Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe ukisubiri mwezi mmoja kuzikwa rasmi imfahamika kuwa kiongozi huyo alifariki dunia kutokana na kuugua ugonjwa wa...
SEPTEMBER 25, 2019
The Central Election Committee announced on Tuesday night that Prime Minister Benjamin Netanyahu's Likud party gained 32 Knesset seats, at the expense of the ultra-Orthodox...
Kila kukicha dunia inalalamika ,ulaya inalalamika,marekani inalalamika ,.
Hii Iran inanini? tatizo kubwa hasa inayoisumbua dunia kuhusu Iran ni nini mpaka unatafutwa muungano wa kijeshi kuikabili...
Septemba 24, 2019
Mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Rwanda amedunguwa kisu na kuuawa, chama chake cha FDU-Inkingi kinasema.
Syridio Dusabumuremyi, mratibu wa chama hicho cha upinzani...
Angela Merkel, Emmanuel Macron, and Boris Johnson have taken the US line on the attacks on Saudi oil facilities, saying it was "clear" Iran was behind the strikes. However, the three leaders...
Baada ya mashambulizi ya wasiojulikana kwenye vituo vya kuzalisha mafuta Saudi Arabia imefahamika kuwa Marekani watapeleka wanajeshi maelfu huko Saudi Arabia na United Arab Emirates.
Hawa...
Trump calls for end to stigmatisation of LGBTQ people
US President Donald Trump speaks during the 74th Session of the United Nations General Assembly at UN Headquarters in New York, on September...
Ujinga kitu kibaya sana! Marekani alimuuzia Saudi Arabia mfumo wa ulinzi wa anga was Patriots kwa mabilioni ya dola ambao kuna kila dalili kuwa umepitwa na wakati!!
Mfumo huo haujaweza kumsaidia...
Mahakama Kuu ya Uingereza (Supreme Court) yaeleza uamuzi wa Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson kulifunga Bunge kwa wiki tano ni kinyume cha sheria (unlawful).
====================
The UK...
24 SEPTEMBER 2019.
After two-hour meeting, Rivlin calls on party leaders to put nation first even if they end up paying personal price
Prime Minister Benjamin Netanyahu and Blue and White leader...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.