U.S. Army to procure new-build Apache AH-64E attack helicopters
Aug 21, 2019
The U.S. Department of Defense announced on Tuesday that Boeing, one of the world’s largest aerospace contractors...
Katika hali ya Uoga na kulia lia Nchi ya Iran imekuja Juu na kudai Israel isisogelee kabisa na wao kwani haikubaliki ni pale Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel aliposema kuwa Jeshi lake la Maji...
Marekani imefanya jaribio hilo wiki kadhaa baada ya kujiondoa katika makubaliano muhimu na Urusi yaliyopiga marufuku silaha zenye uwezo kama huo za kinyuklia.
Marekani ilijiondoa katika...
Bunge la Uganda limepitisha sheria inayopinga hukumu ya adhabu ya kifo kwa baadhi ya uhalifu, na kufanya marekebisho katika sheria nne tofauti ikiwemo sheria ya kupambana na ugaidi.
Kama sheria...
Korea kusini imeamua kusitisha makubaliano ya kubadilishana taarifa za kijasusi na Japan ambayo yalianzishwa ili kubadilishana taarifa juu ya shughuli za nyuklia na makombora za Korea kaskazini...
Wazalendo huko India wachachamaa; sasa wahamasishana kununua ardhi kwa wingi huko Kashmir na kuwaoa wanawake wa ki-Kashmir kwa wingi sana! Serikali ya Modi imefanya jambo jema kukataa vinchi ndani...
Kufuatia mgogoro kati ya Uingereza na Urusi uliotokana na jaribio la kuuwawa kwa kachero wa Kisuri, Sergei Skripal na binti yake Yulia, ambapo Uingereza iliituhumu Urusi kuhusika na jaribio hilo...
To what extent do bankers possess power over governments? Is the world controlled by the often elected officials who are said to control it, or do businessmen, especially bankers, rule the world...
Hatimaye Rais Yoweri Museveni wa Uganda na Paul Kagame wa Rwanda wamesaini makubaliano ya amani na kumaliza tofauti zao.
Idhaa ya Kiswahili ya DW iliripoti kuwa makubaliano hayo yalitiwa saini...
Mahakama nchini Afrika Kusini imetupilia mbali matokeo ya uchunguzi uliowasafisha maafisa wa serikali kwa tuhuma za rushwa kuhusu manunuzi ya zana za kijeshi zilizogharimu mabilioni ya fedha...
Australia. Mahakama Kuu nchini Australia imetupa rufaa ya kupinga hukumu ya miaka sita kwa Kardinali wa Kanisa Katoliki, George Pell.
Kardinali Pell alihukumiwa kifungo cha miaka sita jela baada...
China imeionya Marekani kwamba haiogopi vita vya kibiashara, na kutishia kuziongezea bidhaa za Marekani ushuru unaofikia dola bilioni 3, katika kulipiza kisasi hatua za Rais Donald Trump dhidi ya...
Pasipo na shaka miaka ya mwanzoni ya 1990s ulikuwa dhahiri kabisa afrika kusini utapata Uhuru wake, mwingereza alichofanya ni kuachia kilo na Nuru ya Jamii ya waafrika aliefungwa jela miaka 25...
Mahakama ya kijeshi nchini Cameroon imemuhukumu kifungo cha maisha jela, kiongozi wa vuguvugu la eneo linalozungumza kingereza, Julius Sisiku Ayuk Tabe, hukumu ambayo wadadisi wa mambo wanasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.