International Forum

News and Stories from rest of the World
Wanajeshi wauwawa katika shambulio la Al-Shabaab kwenye kambi ya jeshi nchini Somalia Kiasi watu 10 wameuwawa kwenye mapigano kufuatia shambulizi la kundi la kigaidi la Alshabab ndani ya kambi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
https://www.rt.com/business/466133-huawei-launches-own-os/ Nadhani inabidi ifike mahali binadamu tuheshimiane. Katika hali ya kupambana kibiashara na Us ..China kaanza kumjibu Us kimya kimya...
35 Reactions
267 Replies
20K Views
Makombora yaliyorushwa na waasi wa Kihouthi katika mji wa Aden ulio kusini mwa Yemen pamoja na mashambulizi kadhaa ya kujitoa muhanga yameuwa zaidi ya watu 60 hivi leo na kuwajeruhi wengine...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Gazeti la Marekani: Jeshi la IRGC la Iran ni jinamizi kwa Trump Jul 26, 2019 07:12 UTC Gazeti la National Interest linalochapishwa nchini Marekani limelielezea Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Convetion Center na pacha wake Radisson Bleu Hotel.
6 Reactions
42 Replies
5K Views
Iran kashaanza kuingia woga,muda si mrefu ataanza kupiga simu Washington. Hii inanikumbusha kipindi kile cha Saddam alipoona vyombo vipo baharini akaanza kupiga simu Washington kuomba maongezi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau akutwa na hatia Ikiwa inasalia miezi miwili tu hadi uchaguzi wa bunge nchini Canada. Kamati ya bunge la nchi hiyo inayoshughulikia maadili imemkuta na hatia...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtu mmoja amekamatwa alipojaribu kuwachoma kisu wapita njia Polisi nchini Australia inasema bibi mmoja amechomwa kisu na mtu aliyejaribu kuwachoma wapita njia wengi zaidi katika eneo la kati la...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Sio rahisi kumuona emperor of Japan Trump alikutana nae ,huko UK maandalizi ya Mr Trump hiyo schedule ukioona sio ya kawaida.Kweli Trump ni jeshi la mtu mmoja
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Polisi nchini Zambia wamewakamata na kuwashikilia watu 30 waliokuwa wakiandamana katika mitaa ya Mji wa Chamboli Wananachi wenye hasira kali walianza kufanya ghasia baada ya Askari wa Polisi...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
China Dump Nuclear Waste In Sudan Desert This is absolutely Tragic. It looks like China may "allegedly" dumped Nuclear Waste in the Sudan Desert. And the sad thing is more and more stories are...
0 Reactions
2 Replies
986 Views
Korea Kaskazini Yaonya Dhidi ya Kupelekwa kwa Makombora Mapya Nchini Korea Kusini Korea Kaskazini imesema leo kuwa jaribio lolote la Marekani la kupeleka mifumo ya makombora ya masafa ya kati...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Serikali ya Marekani inaunga mkono fikra ya Uingereza kujitoa katika Umoja wa Ulaya bila ya makubaliano. Mshauri wa masuala ya usalama wa rais Donald Trump wa Marekani amesema alipokuwa ziarani...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Article 370 ya Katiba ya India iliipa Jammu and Kashmir hadhi fulani ya kujitawala (autonomy) kama ilivyo Zanzibar kwa Tanzania. Ili kumaliza chokochoko za kila mara huko Kashmir, imetoka...
3 Reactions
75 Replies
9K Views
Mazyar Ebrahimi: Iran ilinitesa na kunilazimisha kukiri kuwa Jasusi wa Israel Mazyar Ebrahimi anasema aliteswa kwa siku 40 mfululizo usiku na mchana. Aliyekuwa mfanyabiashara mwenye mafanikio...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mahakama ya Moscow yafuta Uamuzi wa Kamisheni ya Uchaguzi Sergei Mitrokhin Mahakama moja katika mji mkuu wa Urusi, Moscow imefuta uamuzi wa kamisheni ya uchaguzi wa kumzuia mgombea wa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakati huo huo Chama cha ANC chenye viti vingi bungeni kimeamua kumfukuza Meya wa mji wa Durban, Zandile Gumede. Hivi sasa yuko chini ya uchunguzi wa utakatishaji fedha na rushwa katika kesi ya...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mamia ya magari ya kivita yakiwa yamebeba mamia ya Askari wa kutuliza ghasia toka China Bara yameshudiwa yakielekea kisiwa cha Hong Kong ikitabiriwa yanaenda kuzima maandamo yaliyo sababishwa na...
7 Reactions
47 Replies
5K Views
Back
Top Bottom