International Forum

News and Stories from rest of the World
Maelfu ya Watu Waandamana Mjini Moscow Maelfu ya watu wameandamana mjini Moscow, Urusi hii leo, Jumamosi katika kile kinachotajwa kuwa maandamano makubwa sana kufanyika yenye lengo la...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Bwana Trump amesema nchi yake haitafanya biashara na huawei tena na sasa amesitisha vibali vyote vya makampuni ya teknolojia yaliyoomba ili yaiuzie vifaa Huawei. Kwa sasa Trump amesema ile ruhusa...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Pakistan imetangaza hatua ya kumfurusha mwanadiplomasia wa ngazi ya juu wa India na kusitisha biashara kati yake na India kufuatia mzozo wa eneo la Kashmir. Wakati huo huo Umoja wa Mataifa, UN...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Mara mbili kila mwezi, siku za jumapili panakuwa hamna magari kabisa barabarani ili kuruhusu watu wapate fresha air walau mara mbili kwa mwezi na kujiepusha na mimoshi ya magari
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Russians Say Soviet Rule Was ‘Closer to People’ Than Current Regime Andrei Nikerichev / Moskva News Agency More people in Russia view the late Brezhnev era of the Soviet Union as “close to the...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu, Hii ni mara ya kwanza kuona jumuiya ya kimataifa ikitoa statement kama hii against kiranja mkuu Marekani. Siasa za dunia zinabadilika au ushawishi wa Marekani upo compromised?
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Uingereza imesisitiza hivyo baada ya Iran kuomba mazungumzo kuwa wabadilishane meli kila pande iliyoteka, "We are not going to barter: if people or nations have detained UK-flagged illegally then...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Mapema tu kiduku keshafanya yake huko
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Houthi presence in the region helps Iran's weapon smuggling in the Red Sea – a route that often ends with Hamas Cracks are beginning to emerge in the regional alliance the United States had...
0 Reactions
1 Replies
580 Views
Iran na Qatar zasaini hati ya maelewano ya ushirikiano wa ulinzi wa mpakani Aug 06, 2019 07:43 UTC Kamanda wa kikosi cha walinzi wa mpakani cha jeshi la Polisi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na...
6 Reactions
19 Replies
2K Views
Wale wapinga Marekani na wanaosema Super Aircraft Carriers ni rahisi kuzizamisha someni hii.
0 Reactions
2 Replies
968 Views
National Archives releases Reagan's racist call with then-President Nixon, ex-Reagan library director says By Kate Sullivan, CNN Posted at 0418 GMT (1218 HKT) July 31, 2019 Washington (CNN) —...
0 Reactions
56 Replies
7K Views
Maandamano ya siku tatu katika Uwanja wa Ndege wa Hong Kong yaanza rasmi Wanaharakati wanaodai demokrasia wameanzisha maandamano mengine ya siku tatu hii leo Ijumaa, katika uwanja wa ndege wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakenya mnafeli wapi jirani zetu?
0 Reactions
4 Replies
602 Views
Watu 17 wanaodaiwa kuwa ni Magaidi wauawa nchini Misri Maafisa wa usalama nchini Misri wamewauwa magaidi 17 jana Alhamisi wakati wa operesheni kubwa ya kuwasaka washukiwa wa mripuko wa bomu la...
1 Reactions
2 Replies
870 Views
Idadi kubwa ya wahamiaji wakamatwa katika mji wa Mississippi Marekani Katika harakati za kupambana na uhamiaji haramu maafisa wa uhamiaji wa Marekani wamewakamata karibu wahamiaji 700 wasiokuwa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Naona China anaugulia maumivu ya Trade War Moyoni.
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Dakta Zarif: Nimewekewa vikwazo baada ya kukataa pendekezo la kukutana na Trump Aug 05, 2019 11:50 UTC Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria safari yake ya mwezi...
7 Reactions
24 Replies
3K Views
Back
Top Bottom