Umoja wa Afrika umemtaka Rais wa Marekani, Donald Trump kuomba radhi baada ya kutoa kauli inayolikashifu bara la Afrika.
Taarifa hiyo ya AU imesema kuwa kauli hiyo ya Trump ni udhalilishaji dhidi...
Wamarekani wengi wanaamini kwamba, Donald Trump ni mbaguzi wa rangi
Aug 05, 2019 08:17 UTC
Uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni nchini Marekani unaonyesha kuwa, zaidi ya nusu ya wananchi wa...
"Kanda mpya za sauti zilizopatikana katika maktaba ya kumbukumbu ya rais wa zamani Richard Nixon zimefichua mazungumzo ambapo rais mwingine wa zamani Ronald Reagan aliwaita waafrika “nyani” katika...
A man armed with a rifle opened fire at a Walmart store in El Paso, Texas, on Saturday, killing 20 people and wounding 26 others as panicked shoppers and employees scurried for cover before the...
Independent: Wanawake wamepuuzwa katika mfumo mpya wa utawala Sudan
Aug 05, 2019 12:12 UTC
Wanawake wa Sudan walikuwa nembo ya maandamano dhidi ya al Bashir
Gazeti la Independent linalochapishwa...
Taarifa kutoka katika mamlaka za Brazil zinaeleza kuwa wafungwa hao wameuawa katika ghasia hizo zilizozuka katika gereza la Altamira
Wafungwa hao waliwasha moto katika maeneo ya kuingilia...
New Zealand. Wakati Tanzania utoaji wa mimba ni kosa la jinai, New Zealand inatarajiwa kufanya mabadiliko mapya ya sheria yatakayoruhusu kitendo hicho.
Mswada huo uliwasilishwa bungeni leo...
Iran imeikamata meli nyengine ya mafuta katika Ghuba, kulingana na vyombo vya habari vya Iran . Kamanda wa Jeshi la Iran la Revolutionary Guard alinukuliwa akisema kuwa wanamaji wa taifa hilo...
Only hours after a shooter opened fire in El Paso, Texas, a second shooting is being reported in the United States.
First reports indicate that a live shooter opened fire in a bar located in...
Russia will be forced to take retaliatory measures due to Finland and Sweden’s cooperation with NATO, the head of the Russian Ministry of Defense Sergey Shoygu announced at the board of the...
Trump atishia kuwaachilia magaidi wa Daesh warejee katika nchi za Ulaya
Aug 02, 2019 11:57 UTC
Marekani imekuwa na nafasi muhimu katika kubuni na kueneza shughuli za makundi ya kigaidi likiweo la...
Kuelekea maandalizi ya mkutano wa Jumuiya ya umoja wa nchi za kusini mwa Afrika SADC Utakaoanza mwezi huu, Marekani imemuwekea vikwazo Balozi wa Zimbabwe nchini Tanzania bwana Anselem Sanyatwe kwa...
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani bwana Pompeo ameionya Uturuki isiziweke kwa mkao wa matumizi silaha aina ya S400 ilizonunua kutoka Urusi, maalumu kwa kutungua kitu chochote kinachopita angani...
Mfalme wa Jordan akataa kukutana na Netanyahu na hata kuzungumza naye kwa simu
Aug 04, 2019 08:12 UTC
Mfalme Abdallah II wa Jordan amekataa ombi la Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala...
Takribani watu 11 wamefariki na wengine 3 hawajulikani walipo baada ya boti 3 kuzama kutokana na dhoruba baharini.
Watu 63 wameokolewa kutoka baharini baada ya mawimbi makubwa kupindua boti hizo...
Rais theodora obiang atimizi miaka 40 madarakani.Aliingia madarakani mwaka 1979 kwa kumpindua mjomba wake na kisha alimnyonga.Anasifika kwa ukatili na ufisadi mkubwa kwani amejilimbikizia mali za...
Two South Africans killed in Tanzania plane crash
A screen grab of a map showing Tanzania and surrounding neighbours. A light plane crashed in western Tanzania on July 3, 2019, killing two South...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.