Watu walikuwa na mashaka kama korea ya kaskazini kweli alikuwa ana uwezo mkubwa wa kushambulia kwa kutumia silaha za nuklia! Lakini kwa kishindo cha juzi, mjadala umefungwa! Marekani wamelazimika...
World
By Robin Emmott,Reuters 17 hours ago
By Robin Emmott
TALLINN (Reuters) - Germany said on Thursday that Russia was planning to send more than 100,000 troops to war games on NATO's eastern...
Umoja wa mataifa umesema kwamba ugonjwa wa kipindupindu umeendea kwa kasi kubwa katika kambi za makaazi ya watu Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.
Inasemekana kwamba zaidi ya matukio 530 ya ugonjwa...
Patrick Allan
Tuesday 2:02pm
Filed to: EXPLAINER
254.0K
18413
“Crossroads Baker” test of July 25, 1946 at Bikini Atoll. Photo via U.S. Government.
On Sunday, North Korea detonated what they...
Wakati jeshi la serikali ya Syria Likishangilia ushindi wa kihistoria kwa kuwafurusha Isis Kwenye mji wa Deir -Ez -zor...
mara ghafla...
Ndege za jeshi la Israel Zinavamia Syria na kuua...
Korea Kaskazini yasherehekea majaribio ya bomu la nyuklia
Sherehe kubwa zimefanyika nchini Korea Kaskazini kuwaenzi wanasayansi waliofanikisha majaribio makubwa zaidi ya bomu la nyuklia kuwahi...
Brazil imewafungulia rasmi mashtaka Marais wastaafu wawili, Dilma Rousseff na Luiz Inacio Lula da Silva.
Mwendesha mashtaka mkuu wa Brazil Rodrigo Janotl, siku ya Jumanne alisema kuwa wanachama...
All eyes are on Hurricane Irma as it rampages through the Caribbean, but it's not alone.
Tropical storms Jose and Katia strengthened Wednesday afternoon, bringing the number of hurricanes...
Rais mteule Joao Lourenco (Pichani) kutoka chama cha MPLA, anatarajiwa kuapishwa kama rais wa kwanza kwa kuchaguliwa kidemokrasia Angola tangu mwaka 1979, Sept 25 mwaka huu.
Angola wametangaza...
Maelfu ya watu wamendama katika viunga vya Mji Mkuu, Lome wakishinikiza mabadiliko ya Kikatiba yatakayoweka ukomo wa mihula ya Urais.
Aidha maandamano kama haya yameibuka katika miji mingine...
Korea ya Kaskazini imekumbwa na matetemeko takrkbani mawili leo katika kinachodhaniwa kuwa jaribio la 6 la bomu la nyuklia.
Japan wamesema wana uhakika ni jaribio la nyuklia baada ya kutuma...
Abiria tisa wamezua taharuki kwenye kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Zaventem, nchini Ubelgiji baada ya mmoja wao kutamka matamshi yaliyosikika ‘Allah Akbar’ kwa sauti kubwa mara kadhaa...
Baada ya kutoa hukumu ya kutengua matokeo ya uchaguzi mkuu wa Kenya, Jaji Mkuu wa Kenya Maraga anafaa kupewa tunzo la Nobel Prize ya mwaka 2017. Sababu kubwa kwa mheshimwa huyu kupewa nishani...
Katika mpango wakuwataka vijana kubuni ajira wenyewe bila kutegemea kuajiriwa, Shirika la Popoli Frateli katika mji wa Uvira mkoa wa Kivu ya Kusini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo...
Kwa kitendo cha kibri cha Rais wa Korea Kaskazini cha kutest hii leo Hydrogen Bomb ambalo lina nguvu kubwa zaidi ya Atomic Bomb anastahili adhabu kali kuliko zote zilizowahi kutolewa Duniani...
Kwa kipindi cha miezi michache iliyopita Korea ya Kaskazini imekuwa ikifanya majaribio ya kurusha makombora ambayo inasemekana yanaweza kufika Marekani.Makombora hayo yanaweza kubeba nuklia...
ZAMBIA YAPIGA MARUFUKU MAKANISA KUUZA MAFUTA YA UPAKO
Serikali ya Zambia imeyataka makanisa nchini humo kuacha kuuza mafuta na maji ya upako, matendo ambayo yameenea katika baadhi ya makanisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.