Kimbunga Harvey kinazidi kuitesa Marekani!
Maeneo ya Marekani bara Ijumaa jioni kilizuka kimbunga kikali na kusababisha mvua kubwa na upepo mkali.
Upepo wa kasi ya hadi 130mph (215 km/h)...
Mexico's government is reaching out to the U.S. to offer help for the victims of Hurricane Harvey in Texas.
Mexican Foreign Minister Luis Videgaray spoke with Texas Gov. Greg Abbott (R) by phone...
Bunge jipya la Katiba nchini Venezuela limepiga kura kwa kauli moja kuunga mkono viongozi wa upinzani kushtakiwa kwa makosa ya uhaini, kwa tuhuma za kuchochea nchi hiyo ikawekewa vikwazo vya...
Korea kaskazini imerusha makombora yake ambayo yalipita Japan kabla ya kudondokea baharini.
Makombora hayo yalisafiri kuelekea mashariki karibu kilomita elfu moja juu ya kisiwa cha Japan cha...
AFRIKA KUSINI: Wanafunzi katika Mji wa Pretoria wamesusia masomo wakitaka kuruhusiwa kuvaa sare zinazobana wakidai za sasa ni mabwanga
======
Pretoria - Pupils at a city school are boycotting...
Raia wa Nigeria Oshi Agabi amezindua kompyuta zinazotumia neva za panya katika kongamano la kiteknolojia la TEDGlobal linaloendelea nchini Tanzania.
Raia wa Nigeria Oshi Agabi amezindua kompyuta...
Waziri wa zamni wa Guinea amehukumiwa kifungo cha miaka 7 gerezani siku ya Ijumaa baada ya kukutwa na hatia ya kutakatisha dola milioni 8.5 zilizotokana na rushwa ambazo waendesha mashtaka wa...
RISHABH R. JAIN and MUNEEZA NAQVI,Associated Press 1 hour 33 minutes ago
ROHTAK, India (AP) — A judge on Monday sentenced a popular and flamboyant Indian spiritual guru to 10 years in prison on...
(Msemaji wa wizara ya mambo ya Nje ya Urussi Maria Zakharova amesema kuwa nchi zinazofanya mazoezi ya kivita katika Peninsula ya Korea (Marekani na S. Korea) inabidi kuwa makini kwa sababu mazoezi...
Korea Kaskazini imerusha makombora matatu ya masafa mafupi , jeshi la Marekani limesema. Makombora hayo yalirushwa kutoka eneo moja katika mkoa wa kaskazini wa Gangwon na kuruka kwa umbali wa...
Rais Donald Trump ameagiza idara ya ulinzi Marekani kusitisha uajiri katika jeshi wa watu waliobadilisha jinsia zao.
Trump aliashiria hatua hiyo ghafla katika ujumbe kwenye mtandao wa kijamii wa...
Shirika la utangazaji la BBC limelaumiwa kwa kuwapandishia maelfu ya wafanyakazi wake mshahara kwa asilimia 10% wakati wafanyakazi wengine wa sekta ya umma kama manesi, zimamoto mishahara yao...
Zaidi ya wafuasi 30 wa kiongozi wa kidini India Gurmeet Ram Singh wameuawa katika Maandamano nchini India baada ya kiongozi huyo kukutwa na makosa ya kubaka wanawake wawili. Wafuasi wake...
Mke wa Rais wa Zimbabwe, Grace Mugabe ameripotiwa kumpiga na kumjeruhi mwanamke mmoja ambaye alimkuta akiwa na watoto wake wawili wa kiume
=========
Joburg woman claims she was assaulted by...
Mahakama kuu nchini Kenya imepinga jaribio la kusistisha marufuku ya mifuko ya plastiki inayotarajiwa kutekelezwa siku ya Jumamosi.
Watengenezaji wa mifuko hiyo wanasema kuwa hatua hiyo...
Tonga's King Tupou VI, shown after his coronation in 2015, has dismissed the prime minister and called an election for November (AFP Photo/Linny Folau)
Tonga's King Tupou VI dissolved the Pacific...
Huwa najiuliza sana kuhusu hii nchi iitwayo Uingereza, hivi waliwezaje kutawala nchi zote hizo hapa Duniani mbona wamechoka hivyo... Yaani zaidi ya lugha hakuna chochote kingine walichonacho hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.