Berlin, Ujerumani. Muuguzi nchini Ujerumani anayetumikia kifungo cha maisha kwa kuwaua wagonjwa sita, imebainika aliwaua wengine 84.
Idadi ya watu aliowaua imemwingiza katika rekodi ya mwanamke...
Jiji kuu ni pyongyang
Serikali - kiongozi mkuu
Ufalme - gojoseon
Nchi hii ilijitangazia uhuru ikiwa bado chini ya utawala wa Japani 1/4/1919
Ukombozi kutoka utawala wa Japani ilikuwa ni 15/8/1945...
Mahakama ya Katiba ya Guatemala imesitisha uamuzi ulitolewa na raisi Jimmy Morales Kumfukuza mkuu wa ujumbe wa kupambana na rushwa wa Umoja wa Mataifa nchini humo, ambaye aliitisha uchunguzi...
Kim Jong-un katika shule ya ulinzi na sayansi akikagua vifaa .Picha hiyo ilionyesha makombora ya Hwasong 13 na Pukguksong-3.
Korea Kaskazini imeonekana kufichua maelezo ya...
Watu wasiopungua 28 wamefariki dunia kutokana na maporomoko ya udongo yaliyotokea jana huko Kolwezi, mkoani Lualaba, kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo.
Gavana wa sehemu hiyo Richard...
Mamilioni ya samaki waliokufa wamepatikana kwenye ukingo wa mto wa Keelung ,Taiwan nchini China.
Kulingana na idara ya kulinda mazingira ya Taipei joto kali lilipunguza kiwango cha oksijeni ndani...
Leo ni siku ya nne kimbunga Harvey kinaipiga Marekani kwenye majimbo mawili ya Texas na Louisiana. Ingawa mpaka sasa waliopoteza maisha wanakisiwa kufika 21, idadi hii ingeweza kuwa maradufu kama...
Hii ni baada ya msichana huyo kuvaa nguo zinazofanania na sare za jeshi
===========================================
The photo of a Nigerian lady being reportedly stripped and molested by...
Wadau kisiwa cha Guam kimejipatia umaarufu mkubwa karibuni kufuatia mzozo unaozidi kukua baina ya DPRK na USA. Mzozo huo umefikia hatua ya DPRK kutishia kukishambulia kisiwa hicho kwa makombora...
SAA kubwa nchini uingereza iliopewa jina "Big ben" inayokaa Elizabeth Tower, Itazimwa kwa maboresho mnamo agosti 21 mwaka huu kwa muda WA miaka mi4 mpaka 2021. SAA hiyo INA uzito WA tani 13.7...
NORTH KOREA
Korea kaskazini imesema kwamba mwaka huu haitafanya maonyesho yake ya anga 'Wonsan Air Festival ' ambapo ndege zake za kadhaa (Su-25, Mig-21, Mig-29) hufanya maonyesho ya anga.
Hilo...
USA imeitaka china kutumia ushawishi wake kwa korea kaskazini kuitaka nchi hiyo kurudi katika meza ya majadiliano kuhusu mpango wao wa silaha za nyuklia
Marekani inaamini china ina uwezo wa...
Rais Muhammad Buhari ameongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kwa mara ya kwanza tangu atoke kwenye matibabu nchini Uingereza kwa takribani miezi mitatu mfululizo.
BuhariSoma anatakiwa kufanya...
Seoul, Korea Kusini. Mahakama moja nchini Korea Kusini imemhukumu kifungo cha miaka mitano jela Mkurugenzi Mkuu na mrithi wa Samsung, Lee Jae-yong baada ya kutiwa hatiani kwa rushwa na matumizi...
By Jeffrey Heller,Reuters 2 hours 12 minutes ago
By Jeffrey Heller
JERUSALEM (Reuters) - Prime Minister Benjamin Netanyahu said on Monday that Iran is building sites to produce precision-guided...
Sehemu ya mahojiano ya Paul kagame imenikumbusha thread yangu iliyonipatia "maadui" wengi humu JF.
"..So even when I went to the commanders of the college and told them I had to cut short my...
LUIS MARTINEZ, ELIZABETH MCLAUGHLIN AND TARA FOWLER,Good Morning America 11 hours ago
North Korean leader Kim Jong Un has said that his country's most recent missile launch is "a meaningful...
Chuo Kikuu kimoja nchini Afrika Kusini kimesema kwamba kilituma kimakosa jumla ya randi milioni 14 ambazo ni sawa na dola milioni moja za Marekani katika akaunti ya benki ya mwanafunzi mmoja...
Polisi nchini Rwanda wamekanusha kwamba wanamzuilia mwanamke aliyetaka kuwania urais katika uchaguzi uliofanyika mapema mwaka huu.
Taarifa zilikuwa zimeenea mitandao ya kijamii nchini humo kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.