Rais wa Zambia Edga Lungu amesema kuwa kwa sasa ni lazima kila mtu apimwe hali yake ya ugonjwa wa ukimwi nchini humo.
Zambia ni kati ya nchi zenye viwango vya juu zaidi vya ukimwi kusini mwa bara...
Watu zaidi ya 23 wamekufa na wengine zaidi ya 81 kujeruhiwa baada ya treni kuacha njia na mabehewa 6 kuanguka Kaskazini mwa India.
=============================================
India has...
Kukubali kwa CIA kunaondoa utata uliojitokeza tangu enzi ya Bill clinton kama kweli North korea ni tishio kwa marekani, sababu hapo awali ilifahamika ni tishio kwa nchi za Japan na South korea...
Sijawahi kusikia tangu nianze kuelewa na kufwatilia Siasa za USA, Raisi mstaafu akajiingiza kwenye Siasa za raisi mwingine ndani ya muda mfupi kama Obama anavyofanya, hivi ni kwa nini?
Raisi wa Uphilipino ambae nae tayari wameanza kumuita Dikteta baada yakupambana na wauza madawa yakulevya kwa kasi. Ametoa onyo kwa mashirika yanayo chimba madini nchini mwake, hasa kuhusu...
Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari, atarejea nyumbani hivi leo baada ya kupokea matibabu mjini London Uingereza.
Haya ni kulingana na taarifa iliyotolewa na ikulu.
Bwana Buhari mwenye umri wa...
TURKU, FINLAND: Jeshi la Polisi limewakamata watu 5 kwa tuhuma za kuhusika na shambulio la kutumia kisu lililosababisha vifo vya watu 2.
Aidha shambulio hilo linalodhaniwa kuwa ni la kigaidi...
NEW DELHI, Aug. 18 (Xinhua) -- The flood situation in India's eastern state of Bihar continues to be grim as more than 100 people have been killed and over 10 million affected, officials said...
Rais wa Marekani Donald Trump Ijumaa amewaambia maafisa wa ngazi ya juu ameamua kumfukuza mshauri wa sera, Steve Bannon.
Bannon ambaye kuanzia mwanzo wa miezi sita ya malumbano ya kiuongozi...
By Victoria Craw
President Trump has praised Kim Jong Un for making what he called a "very wise and well reasoned decision" to halt missile tests towards Guam.
"Kim Jong Un of North Korea made a...
Msichana wa umri wa miaka 10 ambaye alinyimwa ruhusa ya kuavya mimba na mahakama ya juu zaidi nchini India mwezi uliopita amejifungua mtoto msichana.
Msichana huyo hajafahamu kuwa amejifungua...
Gavana wa jimbo la Amazonas nchini Venezuela amesema zaidi ya wafungwa 37 wameuawa katika kile kilichoitwa ''Mauaji'' ndani ya gereza.
Kikosi maalumu cha jeshi cha wizara ya Mambo ya Ndani ya...
Nchini Ufilipino kumeendelea msako mkali wa nyumba kwa nyumba wa watu wanaojihusisha na biashara ya Madawa ya kulevya ikiwa ni agizo la rais wa nchi hiyo Bw. Duterte. Polisi wameripoti kuwa watu...
RWANDA: Rais Mteule, Paul Kagame anaapishwa leo kuiongoza nchi hiyo kwa miaka 7 ijayo. Sherehe zinafanyika katika Uwanja wa Amahoro mjini Kigali.
> Tume ya Uchaguzi nchini Rwanda ilimtangaza...
Rais Donald Trump wa Marekani amezilaumu tena pande zote kwa ghasia zilizotekea katika maandamano ya Charlottesville, siku ya jumamosi ambapo mwanaharakati anayepinga ubaguzi wa kijamii aliuawa...
Trump answering Reporters questions after a meeting with his Security team..
Trump: ..good things may come out of it(NK conversation) we can also have a bad solution..
Reporter: When you say...
Apple and Samsung are the Coke and Pepsi of smartphones in the U.S. Can anyone break their lock on the market?
Nearly three-quarters of Americans with smartphones use an Apple or Samsung device...
Harare.
Serikali ya Zimbabwe imemuombea mke wa Rais Mugabe kinga ya kidiplomasia dhidi ya kesi ya ushambuliaji inayomkabili nchini Afrika kusini.
Taarifa hizo zimetolewa na maofisa wa polisi wa...
World
North Korea delays Guam missile firing, U.S. says dialogue up to Kim
By Christine Kim and Yeganeh Torbati,Reuters Tue, Aug 15 2:20 PM PDT
Reactions
Sign in to like
Reblog on Tumblr...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.