International Forum

News and Stories from rest of the World
(CNN)Dozens of people, including at least ten children, have been killed and more than 200 injured in a suspected chemical attack in northern Syria, multiple activist groups claim. Airstrikes hit...
0 Reactions
0 Replies
527 Views
Kabare (left) and Musinga (right) This photograph portrays two men, who played a very important role in the history of Rwanda in the 20th century. On the right side, you see Musinga, the king of...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Zaidi ya watu 250 wamethibitika kufariki katika maporomoko ya ardhi yaliyotokea katika mji wa Mocoa, Colombia siku ya Jumamosi. Kati ya waliofariki zaidi ya 60 ni watoto huku familia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Rais wa Colombia ametangaza hali ya dharura kiuchumi kijamii na ki mazingira wakati wahanga wa kwanza wa maporomoko ya ardhi huko Mocoa wakizikwa. Juan Manuel Santos amesema serikali inakusanya $...
0 Reactions
1 Replies
962 Views
Taarifa kutoka Somalia zinasema maharamia wa Kisomali wameiteka meli ya mizigo ya India. Kumezuka utata kuhusu eneo halisi ambako meli hiyo ya kutoka India ilikotekwa. Baadhi ya vyombo vya...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
I've stayed late into the night watching the movie "Sometimes in April", I can say it's a heartbreaking tearjerker kind of a movie. And it only depicts the massacre from the eyes of one family...
7 Reactions
154 Replies
11K Views
The Israeli and American militaries successfully completed a series of missile-interception tests for the David’s Sling defense system, marking a significant milestone for the program’s...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Syria imetuma ujumbe mzito kwa Israeli kupitia Urusi kwamba makombora ya Scud yatarushwa kuelekea Israel iwapo nchi hiyo itaendelea na mashambulizi yake ya anga ndani ya Syria. Ujumbe huo...
5 Reactions
138 Replies
21K Views
Awapa sumu na kuwaua watu 20 kwenye madhabahu Pakistan Takriban watu 20 wameuawa na wengine kujeruhwia kwenye madhababu yaliyo mji wa Sargoda, mkoa wa Punjab nchini Pakistan. Naibu kamishna wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MAREKANI: Maafisa wa Usalama wanaamini vikundi vya kigaidi vimegundua mbinu mpya ya kuweka milipuko ktk vifaa vya umeme kama Laptop. Uchunguzi wa FBI unaonyesha kuwa utaratibu wa kawaida wa...
1 Reactions
2 Replies
826 Views
Wanachama wa CDU wamchagua tena Merkel Kansela Angela Merkel amechaguliwa tena kukiongoza chama chake cha kihafidhina cha Christian Democratic Union, CDU, na kugombea muhula wa nne madarakani...
0 Reactions
0 Replies
774 Views
MAREKANI: Daktari aliyekua akikuza makalio ya Wanawake amefungwa miaka 10jela baada ya kupatikana na hatia ya kusababisha kifo. Alikuwa akitumia mchanganyiko wa malighafi za kutengenezea...
1 Reactions
35 Replies
12K Views
TANZIA: AHMED KATHRADA HATUNAYE Mpinga ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini ya enzi hizo, AHMED KATHRADA amefariki dunia leo, akiwa hospitali jijini Johannesburg. AHMED Mohamed KATHRADA, rafiki...
8 Reactions
31 Replies
5K Views
With the consequences of Brexit and an increasingly inward-looking United States still unfolding, 2017 is likely to be an economically tumultuous year. Some African countries, however, could see...
0 Reactions
2 Replies
995 Views
Kuna watu inawezekana hawatakiwi mbiguni wala duniani? yuko kwenye coma since 4/01/2006 todate! "Ogopa maombi ya mwenye kudhulumiwa"
0 Reactions
47 Replies
21K Views
Kama mtanzania najivuania na natoa pongezi za dhati kwako, Mungu akutangulie katika majukumu yako. Dr Mwele ataanza kazi rasmi WHO kuanzia kesho akiwa anaishi Congo, Brazzaville... Kama...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Maafisa wa ngazi za juu wa idara za usalama na itelinjensia za Washington wamekiri kuwa Korea Kaskazini ina uwezo wa kuwaangamiza mamilioni ya Wamarekani iwapo itafanya shambulizi moja la silaha...
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Waendesha mashtaka wamesema wataomba idhini ya kumkamata aliyekuwa rais wa taifa hilo Park Geun-hye, kwa mchango wake katika kashfa ya ulaji rushwa nchini humo. Alipoteza kinga ya rais dhidi ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Rubani amefariki kwenye ndege iliyokuwa safarini kutoka Dallas kwenda Albuquerque huko New Mexico, kwa mujibu wa shirika la American Airlines. Ndege hiyo aina ya Boeng 737-800, ilikuwa imesalia...
3 Reactions
43 Replies
8K Views
Mahakama Kuu ya Western Cape nchini Afrika Kusini leo imeruhusu Matumizi na kilimo cha Bangi. Hivi bangi ni madawa ya kulevia au nini.Maana hapa kwetu wanaita bangi madawa ya kulevyia.Na hii...
6 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom