Mugabe amesema katika kuadhimisha miaka yake 93 hana mpango wa kuachia madaraka bado mana hajaona wa kurithi nafasi yake na chama chake hakijampata mrithi wake
Watunga Sheria wa USA wanataka kuanzisha uchunguzi kuhusiana na Raisi Obama kusaini kuizuia nchi ya Kenya siku ya mwisho kabla hajaondoka madarakani Silaha za thamani ya zaidi ya Dola (US) milioni...
ZIMBABWE: Umoja wa Ulaya(EU) umeongeza muda wa vikwazo kwa Rais Robert Mugabe na Mkewe, Grace kwa mwaka 1 hadi Februari 20, 2018.
Rais Mugabe ameongoza kuwa hakutaka Donald Trump awe rais wa...
Habari zenu watanzania
Kwanza napenda kudeclare wazi kuwa sina mashiko na ajenda za raisi wa marekani ndugu trump lakini pia sipo hapa kuzungumzia hii mada kwaajiri ya trump ila sisi watanzania...
Bunge la chini nchini Uholanzi limeidhinisha kuhalalishwa kwa kilimo cha bangi.
Mswada huo ulioidhinishwa, utawakinga wakulima wa bangi ambao wanatimiza masharti fulani dhidi ya kuadhibiwa...
Wednesday, October 31, 2012
KIONGOZI WA UPINZANI, RWANDA APATIKANA NA KOSA LA UHAINI
Kiongozi wa upinzani nchini Rwanda Victoire Ingabire (mwenye pingu) amehukumiwa miaka minane gerezani...
Raisi wa 45 D.Trump amesema (kuanzia ~ dakika 1:00) Raisi aliyepita Barack Obama ameacha uozo mkubwa haijawahi kutokea, amesema Obama ameacha uozo ndani na nje ya USA!
Imefikia hatua Afrika kila mtu arudi kwao, haijalishi tena una vibali halali au la, watu wanakuibukia na kuharibu kila kitu, wanakupea kichapo na kuchana vibali na kuiba chochote cha thamani.
Nchi...
- Mchunguji mmoja aliponea chupuchupu baada ya kushambuliwa na umati kwa madai ya kuuzia watoto wa shule dawa za kulevya
- Umati huo ulifika kwa lango la kanisa lake na kutaka kumwona lakini...
Jeshi la China limetangaza kuwa, kuendelea kuwa mbaya hali ya mambo kuhusiana na usalama wa bahari ya eneo, machafuko katika eneo la Asia na Bahari ya Pasifiki na kadhalika misimamo tata ya rais...
Mchezaji wa Brazili akiondoka Uwanjani huku akilia baada ya kuzomewa na kuitwa nyani na washabiki huko nchini Serbia (Ulaya)!
Hapa ndipo ninapowakubali Wazungu, hata ujifanye wewe uko juu kiasi...
Maneno hayo yamesemwa na Mmiliki wa Microsoft Na tajiri namba moja duniani Bwana Bill Gates,
Anasema,"inabidi kuwe na kodi iendanayo na Ujiendeshaji,kwa sasa,mfanyakazi binadamu,anayefanya kazi...
Malaysia imemuita balozi wake nchini Korea Kaskazini kufuatia tofauti zilizojitokeza kati ya mataifa hayo mawili kutokana na kifo cha nduguye Rais wa Korea Kaskazini Kim Jong-un kilichotokea...
ATTENTION! ATTENTION!! ATTENTION!!!
This is to inform all black foreigners living in Pretoria to be on alert as it has been reliably gathered that south African boys are mobilizing themselves from...
Takriban watu watano wameuawa nchini Guinea wakati vikosi vya usalama vilipopambana na wanafunzi waliokuwa wakiandana wakitaka mgomo wa walimu kumalizika.
Wanafunzi walijitokeza kwa wingi na kwa...
Libya's Red Crescent has said that 74 bodies of refugees have washed ashore in the western city of Zawiya on the Mediterranean Sea.
The aid organisation's spokesman Mohammed al-Misrati told the...
"If you want to preserve -- I'm very serious now -- if you want to preserve democracy as we know it, you have to have a free and many times adversarial press," McCain said in the interview. "And...
Kiongozi wa upinzani nchini Rwanda, ametangaza kuunda serikali sambamba na utawala uliopo Rwanda, lakini itakayokuwa ikifanya kazi nje ya nchi.
Thomas Nahimana ambaye ni kasisi wa zamani anayeishi...
Kurzweil said
Wabunge kwa kauli moja wamepitisha sheria inaipa nafasi lugha ya Kiswahili kuwa lugha rasmi sambamba na Kinyarwanda, Kifaransa na Kiingereza. Hivyo Kiswahili kinakuwa lugha rasmi...
Rais Michel Aoun wa Lebanon ameonya kuwa, iwapo utawala haramu wa Israel utachukua hatua yoyote ya kukanyaga uhuru wa kujitawala nchi hiyo ya Kiarabu, basi ujiandae kwa jibu kali.
Bila kutoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.