International Forum

News and Stories from rest of the World
Serikali ya Kenya imekubali kuwaongezea Madaktari kwa dola 550 za kimarekani madaktari wenye mapato ya chini na kuifanya mishahara yao ifikie dola 1,970 za kimarekani kwa mwezi, ikiwa ni hatua ya...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
The Obama administration has the highest approval rating of any country in the world among foreign citizens, according to a new poll conducted by Gallup. Forty-five percent of those polled...
1 Reactions
3 Replies
860 Views
Asema anamhakikishia raisi Jammeh utiifu na Sapoti ya Jeshi zima la Gambia ****************************** Gambia army chief stands by embattled President Jammeh Reuters 10 hours ago ABIDJAN...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
A malware code associated with Russian hackers has reportedly been detected within the system of a Vermont electric utility. The Russians did not actively use the code to disrupt operations of...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Siku chache baada ya Rais wa Korea kaskazini kujinadi kuwa anamalizia mradi wao wa kutengeneza kombora la masafa marefu la kuvuka mabara lenye uwezo wa kutua hadi New York yaani Intercontinental...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
  • Closed
Wazungu wameshaanza propaganda ambazo haswa zinaongozwa na Wayahudi ambao lengo lao ni kutawala Dunia, sasa hivi kuna habari zinapamba moto ambazo zina lengo la kuitayarisha Dunia kisaikolojia...
4 Reactions
36 Replies
4K Views
Nchini Zambia kuna sheria za wafanyakazi zinazowaruhusu wanawake walio katika hedhi kuchukua siku moja ya mapumziko inayojulikana kama 'Mothers day' Wanawake nchini Zambia hawalazimiki kufanya...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Nimesikia kwamba siku ya kuapishwa D.Trump kuwa Raisi wa USA hapo Januari 20. maraisi wote wastaafu wa USA walio hai isipokuwa J.Carter wamesusia kuhudhuria, hii imekaaje? Je, hii siyo dharau...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari ndo hiyo....ime break sasa hivi. More to come.....
0 Reactions
7 Replies
1K Views
The impeachment trial of South Korea’s President Park Geun-Hye got under way Thursday, with her lawyers arguing there is no evidence to back the corruption allegations that threaten to force her...
0 Reactions
0 Replies
467 Views
Hali ni tete nchini Gambia baada ya radio kuzimwa na kutoendelea kutoa matangazo. Pia mwenyekiti wa tume ya uchaguzi yupo na kigugumizi mpaka sasa juu ya nini cha kufanya baada ya Rais aliyepo...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Yahya Jammeh wa Gambia Rais wa gambia Yahya Jammeh ameonya kuwa atakataa jaribio lolote la viongozi wa kieneo kumlazimisha kuondoka madarakani licha ya kushindwa katika uchaguzi na mfanyibiashara...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Trump attacks set intelligence community on edge By Pamela Brown, Shimon Prokupecz and Jim Acosta, CNN Updated 5:14 PM ET, Wed January 4, 2017 JUST WATCHED Trump escalates battle with intel...
0 Reactions
0 Replies
804 Views
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza ametangaza kuwa serikali yake inajiandaa kufungua mshataka baada ya hatua ya Muungano wa Ulaya kuzuwia mshahara wa vikosi vya Burundi vilivyoko nchini Somalia...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Waasi pamoja Rais Kabila wamefikia muafaka ambapo Rais wa sasa Joseph Kabila amekubali kuachia ngazi kabla ya mwisho wa mwaka huu (2017). Source: Aljazeera
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Viongozi wa dini wa Taifa teule ''Israel'' maarufu kwa jina la Rabbi's wamewaonya wamiliki wa Hotel kwa kuwaandikia Barua kuwataka kuyaondoa miti yote ya christmass na kutoweka miti yeyote ya...
1 Reactions
65 Replies
10K Views
Get ready for another year of global tumult By Stephen Collinson, CNN Updated 11:15 AM ET, Mon January 2, 2017 JUST WATCHED Know these 4 political terms for 2017 Brexit could offer an...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Two Moroccan U.N. peacekeepers in Central African Republic (MINUSCA) were killed and another wounded by unknown attackers, Moroccan state news agency MAP said on Wednesday. The attack on the...
0 Reactions
0 Replies
640 Views
Waziri mkuu wa Israeli amefanya kikao na balozi wa Marekani nchini humo baada ya kuamuru afike mbele yake kueleza kwa nini Marekani ilipitisha mswada wa mazungumzo katika Umoja wa Mataifa wa...
7 Reactions
51 Replies
6K Views
Back
Top Bottom