International Forum

News and Stories from rest of the World
1 Reactions
2 Replies
819 Views
Apparently the Director of Communication cut and paste word to word from President George Bush's inauguration speech.
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Hii video ni ya habari inayobamba kwa sasa Marekani. Inawaonyesha vijana wanne wa Kinugu wakimtesa kijana wa Kizungu ambaye pia ni mlemavu wa akili. Kwenye video wanasikika wakimtukana Trump...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
IVORY COAST: Waziri Mkuu Daniel Kablan Duncan amejiuzulu kufuatia kupitishwa kwa katiba mpya na uchaguzi wa bunge wa mwezi uliopita. - Rais Alassane Ouattara awavua vyeo mkuu wa Jeshi na wa...
0 Reactions
0 Replies
845 Views
Jamaa wameingia mtaani, wameteka watu na Makao Makuu ya Jeshi LA Nchi hio. Waziri wa Ulinzi Anaendelea ku- negotiate nao, wanataka salary ya Dollar 8000 na Nyumba kwa kila MTU. Rais amehutubia...
8 Reactions
84 Replies
8K Views
Sasa inaonekana dhahiri, hali si shwari kati ya vyombo vya Usalama na Ujasusi chini Marekani na Donald Trump. Jana viongozi karibu wote wa vyombo vya usalama na Ujasusi, yaani National Security...
7 Reactions
63 Replies
9K Views
Fort Lauderdale airport shooting: Multiple people shot dead by Florida gunman Fort Lauderdale airport shooting: Five people shot dead by Florida gunman Image copyrightAP Image captionShooting...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
She's rarely seen on an official engagement without a small box clutch, often carried in front of her with both hands, and now etiquette experts have revealed that the Duchess of Cambridge's...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwana wa Osama bin Laden aorodheshwa na Marekani miongoni mwa magaidi wanaosakwa na Marekani Marekani imesema kuwa imemuorodhesha mwana wa mwisho wa Osama Bin Laden, Hamza, katika orodha ya...
2 Reactions
43 Replies
8K Views
Jenerali MUSA SAVAGE na Jenerali Badjie wamemgomea Rais wa Gambia Bwana Yahya Jammeh, wakisema tarahe 19 January 2017 wataanza kumtii Rais mteule ADAMA Barrow, linataarifu Gazeti la FREEDOM la...
33 Reactions
126 Replies
16K Views
Rais wa zamani wa Iran Ayatollah Hashemi Rafsanjan amefariki dunia Rafsanjan aliyekuwa na umri wa miaka 82 amefariki dunia akiwa hospitalini kutokana na mshtuko wa moyo Mashirika ya habari ya...
1 Reactions
4 Replies
36K Views
Check out @realDJTrrump's Tweet:
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Mahakama mjini Nanjing, China, imewafunga jela wanaume wawili waliowatapeli wateja kupitia benki bandia, vyombo vya habari vya serikali vimeripoti. Wanaume hao waliotambuliwa kwa majina Zeng na...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
WASHINGTON — President Vladimir V. Putin of Russia directed a vast cyberattack aimed at denying Hillary Clinton the presidency and installing Donald J. Trump in the Oval Office, the nation’s top...
1 Reactions
1 Replies
676 Views
Rais mtarajiwa wa Marekani, bwana Trump ameamua kuhakikisha kuondoa chochote chenye harufu ya rais anayeondoka bwana Obama. Ametoa agizo mabalozi wote walioteuliwa na Obama kuachia nyadhifa zao...
1 Reactions
44 Replies
6K Views
Money is made in the Private Sector and not the Public. - President Akufo-Addo #GHInaugurationUpdate #AFCON2017 on Twitter
0 Reactions
1 Replies
915 Views
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Rais wa Ufaransa Francois Hollande amependekeza kwamba Urusi inafaa kushtakiwa kwa uhalifu wa kivita kutokana na mashambulio ya mabomu yanayotekelezwa na ndege za kivita za taifa hilo Aleppo...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Obama alisema hayo mapema jana Jumapili wakati akiendelea kuwashawishi wamarekani wamchague Bi Clinton awe rais. Obama alisema kuwa kwa miaka na miaka hawajawahi kuwa na rais mwanamke na hii...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Back
Top Bottom